Wanaharakati tumieni hekima: Maria Sarungi kulifananisha kanisa katoliki na nyeti za kiume ni dhihaka kwa wakatoliki

Mchochezi tu wewe huna lolote. Kama hujui fasihi kaa kando. Hiyo ni lugha ya kawaida kabisa na wanafasihi wanelewa ujumbe wa mwandishi!
 
Mkuu! Kuna mtu aliwahi tamka maneno! "Nguruwe kaingia Msikitini" akiwa na maana ya lowassa kuingia chadema!
Aliwajibishwa kwa kutumia maneno ya dhihaka kwenye taasisi za dini!
Wajinga wale wale tu!
 
Huna akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…