Wanaharakati wa Jamhuri ya Twitter

Get a ghostwriter.
 
Duh umeongea point
 
For sure this is rubbish.
Uncle ni dikteta. It takes time to get rid of one...
 
JokaKuu wewe ushawahi kuandamana popote pale?

Au huwa unaandamana JF tu?
Ngosha hajaribiwi ni kweli wala hukukosea. Yuko radhi kuua ili asijaribiwe! Bora hata Mungu anaweza kujaribiwa lakini siyo Ngosha. Mungu anaweza kuwa na uvumilivu lakini Ngosha ataamuru upigwe risasi mchana kweupe. Lakini haya yote ni kwa faida ya nani? Ni kwa faida ya mamilioni ya watanzania? Nyani siku hizi na wewe uko kwenye kundi la wale wasioenda shule wanaodhani kudai demokrasia ni faida ya viongozi wa upinzani! Hili kundi linadhani uchaguzi usipokuwa huru basi ni Lissu and co. wamepata hasara! Wanadhani nchi isipokuwa na demokrasia basi wanaokomolewa ni ''makamanda''! Wanadhani CCM wakiiba kura na matapeli kama Gwajima wakiingia bungeni basi kina Halima Mdee wamekiona cha moto! Ama kweli mwafika haachi asili yake hata asome au apate exposure ya namna gani!
 
Ingia barabarani kamanda.
Waambie polisi wakae pembeni, aje Magu na genge lake kina Bashiru, Polepole nk kisha wathibitishe kuwa wao hawajaribiwi. Hapo tutajua nguvu yake halisi sio hiyo ya kuagiza wengine wamteteee.
 
Pole kamanda.
 
Kina kigogo wakawambia atakuwa na kituo chake cha kujumlishia matokeo kwahiyo atahack nec na matokeo yote yatakuwa yanatangzwa kulingana na yale ya kigogo yakionesha Lisu kashinda,
Mlishangilia na kufurahi nikajisemamea moyoni kwamba duh., kweli mbowe ana wafuasi
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Keyboard warriors
 
Unafurahia kuona vyombo vya dola vinapotumika kukandamiza wapinzani wasio na silaha?
 

inamkera nan sasa
 
Uandamane?!!

Unaandamana vipi ilihali POLISI wanatumia nguvu kuyadhibiti maandamano?!!!

Labda ikitokea POLISI wanaruhusu maandamano hayo...

Labda...
Labda...
Labda....

Otherwise ni kujitakia KILEMA CHA BURE....

Ninakumbuka kipindi kile Mzee wetu Lowassa "anachinjwa" pale WHITE HOUSE Dodoma Binafsi niliwaongoza UVCCM wenzangu pale nje ya ukuta baina ya KITUO CHA MAFUTA na NYERERE SQUARE...nilikuwa ninaimba nao...nilikuwa ninampinga mwenyekiti wetu Kikwete kumkata Mh.Lowassa bila ya kumuwekea ALAMA Katika kikao cha kamati ya maadili kabla ya kulipeleka JINA NEC...tulipinga kwa KUCITE vifungu vya katiba yetu ya CCM....

Polisi walikuwa wamejazana pale nje na kutuangalia tu...nasi tulikuwa tuko KIAMANI zaidi....hatukufukuzwa....hatukupigwa....

Yaani sijui ingekuwaje Kama ingetokea kipindi hiki cha mwenyekiti wetu JPM..?!!!!🤣🤣🤣

Kubwa ni kuwa kila zama na KITABU CHAKE....
Hizi ni zama za mh.Mwenyekiti JPM...

Ni wajibu wetu kumuelewa na kumtii hivyo ALIVYO!!!

MAENDELEO HAYANA VYAMA.
 
Virungu hukuchezea?
Mkuu nguvu na dhamira ya kudhuru wapingani Ni Kubwa ilia ipo siku itabaki historia Kama kwa Hitler, musolin, stalin, kaburu Botha, hata kwa ghadafi, bouteflika, Al bashiri, Mugabe, na yule Mobutu.
 
Jamani nisaidieni....

Hivi yule zwazwa KIGOGO 2014 ni binadamu ama JINI?!!

Kama ni binadamu...je ni mtu was namna gani na amefanya kazi sehemu zipi?!!

Nisaidieni kujua jamani kwani ni mtu gani yule hata akisomewa ALBADIRI haimkumbi na inadunda tu?!!!

Maendeleo hayana vyama
 
Wanapoitisha mandamano huwa wanategemea wale wa CCM ndio waingie barabarani eti na wao ndio waingie barabarani,

Sasa mandamano ya Aina hiyo Wapi na wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…