Wanaharakati wa Twitter wajuaji wa kila kitu, wanafanya kazi muda gani?

Wanaharakati wa Twitter wajuaji wa kila kitu, wanafanya kazi muda gani?

PhD

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2009
Posts
4,692
Reaction score
3,891
Naam kuna kakikundi kapo twiter kanaongozwa na binti wa waziri mstaafu profesa wa kijaluo, pia kuna jamaa lingine laitwa MMM na mwingine Ole mtetea na wngineo. Swali la kujiuliza hawa watu wanaojidai kupigania demokrasia mbona wao hawaheshimu uhuru wa wenzao kujieleza?.

Wanapenda maoni yao ndio yakubaliwe na kila mtu. Lakini pia wanafanya kazi za kuongeza kipato muda gani? Au ndio tuamini kuwa kula yao inatokana na migogoro ya kimtandao na huko ndio wanalipwa.
 
Naam kuna kakikundi kapo twiter kanaongozwa na binti wa waziri mstaafu profesa wa kijaluo, pia kuna jamaa lingine laitwa MMM na mwingine Ole mtetea na wngineo. Swali la kujiuliza hawa watu wanaojidai kupigania demokrasia mbona wao hawaheshimu uhuru wa wenzao kujieleza?.

Wanapenda maoni yao ndio yakubaliwe na kila mtu. Lakini pia wanafanya kazi za kuongeza kipato muda gani? Au ndio tuamini kuwa kula yao inatokana na migogoro ya kimtandao na huko ndio wanalipwa.
Utakua umepewa za uso huko ,umekimbilia jf kupata hifadhi ya moyo,

Alafu Kama mtu ajawahi kukuomba kumsaidia matumizi ya MOJA KWa MOJA nyumbani kwake , why kuhoji chanzo Cha mapato yake?

Watu wanawekeza mkuu, daily wamkuta kwenye kijiwe Cha kahawa ila saa ,dakika vyanzo vyake vinaingiza pesa tu
 
Utakua umepewa za uso huko ,umekimbilia jf kupata hifadhi ya moyo,

Alafu Kama mtu ajawahi kukuomba kumsaidia matumizi ya MOJA KWa MOJA nyumbani kwake , why kuhoji chanzo Cha mapato yake?

Watu wanawekeza mkuu, daily wamkuta kwenye kijiwe Cha kahawa ila saa ,dakika vyanzo vyake vinaingiza pesa tu
Good
 
Martini alichangisha watu pesa ya soda ili aendelee kuripoti kesi ya Mbowe. Kwake yeye Mbowe kuendelea kuwa gerezani kunamfanya kuwa relevance kwenye mtandao. Maria tunafahamu wanaompa udhamini toka nje kesi ya Mbowe ikiisha maslahi yake na wazungu yameisha. Kama vile maslahi ya kigogo yalivyoisha na foundation zilizokuwa zinampa pesa kuongea dosari za magufuli.

Watanzania amkeni haya majitu yasiwatumie tulijenge Taifa letu.
 
Back
Top Bottom