Wanaifananisha Shogun na Game Of Thrones

Wanaifananisha Shogun na Game Of Thrones

Wajapan wanakuaga na vitu vizuri sana
Kichwani mwangu nishajiambia muvi yoyote kutoka japan juo iko bomba. Hata story nyingi za muvi z wazungu hua wanawaiga au kuchukua stori za wajapan.
Anime zao mara nyingi hua ni kali sana hasa upande wa stori.
Eg.. Ukiangalia Attack on titan hutatamani iishe... Very interesting
 
Kichwani mwangu nishajiambia muvi yoyote kutoka japan juo iko bomba. Hata story nyingi za muvi z wazungu hua wanawaiga au kuchukua stori za wajapan.
Anime zao mara nyingi hua ni kali sana hasa upande wa stori.
Eg.. Ukiangalia Attack on titan hutatamani iishe... Very interesting
Japan anime sijakutana na mbovu hata moja
 
Kitu pekee nilihisi ni kuwa Sansa ni nI mfano wa Malkia Victoria ukisoma vizuri historia yake na the whole Game of throne utaona imekalia hapo
 
GOT ni level ingine kabisa Kila itakapofananishwa nitasimama kuisemea
Imagine scene kama Ile pale Tyrion anamuaga Varys ili aliwe na Dragon "Was me"
Imagine John ana mstudy Queen na kujua wakati gani amfanyie execution
Battle of the bastards
Battle of black water
Battle of queens
Poet ya Euron aliyemtongoza Cercei mbele ya Jermie Lannister the kingslayer [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Ser Bronn of Blackwater, Master of Coin, lord of HighGarden, Warden of South. [emoji2]
 
Utaipenda kanavutia sana hasa ukiwa unamsikiliza lady Mariko sama akiongea kijapan. Ila bado haijafika level ya GOT
Cult members wa GOT [emoji2]Hamtaki kukubali GOT kupitwa ubora na series yeyote...

Mko ka waamuni wa KIBWETERE. [emoji1787][emoji1787]
 
Tokugawa Shogunate...

Kuna haka ka-Miniseries kametoka kwenye Chanel ya FX, watu mitandaoni wamekua wakiifananisha au kusema kwamba imezidi ubora GOT.

Binafsi nimeitazama hii series nakubali Writing, Cinematography, Culture depiction na Acting ni ya hali ya juu. Yaani ukikaangali haka kaseries hadi unajihisi umekua Mjapan. Sasa hivi najiita Da'Vinci-sama😎

View attachment 2972102
Btw mm kama mpenzi wa GOT nimetazama hii series zaidi ya mara mia... Ukweli haina hadhi ya kufananishwa wala kuisogelea Game of thrones.

Sema FX wajanja wametumia mbinu ya kuifananisha na GOT ili kupata attention ya watu. Mm mwenyewe walinipata kwa namna hii.. Maana niliona wanasema wanataka kuachia series yenye kuzidi ubora GOT.

View attachment 2972104

Kwa muono wangu series ni nzuri ila haijafika level za GOT.
Je kwa mlioitazama hii series mna maoni gani??
View attachment 2972105
Kutazama mara mia ni uongo?
Huna kazi??
Haina hata miezi mi5 wewe mara mia???
Aaah wapi
 
I watch TV shows all the time. Ila linapofika suala la Game of thrones, i draw the line!

History comprising of dragons is just not my genre. Sijawahi angalia hata episode moja ya Game of thrones. So nikitaja series bora za muda wote kwangu, usitegemee kuisikia!
 
Glad you asked coz You kno wI like to explain😎😎

Ipo hivi...
Spoils of wars hua inamaanisha vitu fulani vilivyochukuliwa vitani. Eg; Tz ikipigana na Kenya ikashinda vita basi ichukue vitu itakavyoona vinafaa labda tuseme michele, mifugo,pesa, dhahabu nk. So vitu hivyo vilivyotoka vitani ndio huitwa spoils of wars!

Kama uliangalia vizuri hiyo episode, Jaime &Bronn akiwa na jeshi lake la Lannister walienda kuvamia mji wa High Garden nyumban kwao Lady Olena na Margery Tyrrell. Jaime akamwambia lady olena serci kanituma nikukamate nikupeleke akutese na kukukata kichwa, ila jaime akasema kwa heshima yako nakupa chaguo ujiue mwenyewe. So olena akanywa sumu, but just before that alimwambia jaime "Tell serci i want her to know that it was me" kwamba yeye olena ndio alimuua Jofrey kwa sumu.

Baada ya olena kufa walichukua madhahabu na vitu vingine vingi wakawa wanarudi navyo. Hivyo vitu ndio spoils of war, hence jina la episode. Daenerys alivyofika na dragon wake alichoma mizigo yote waliyokua wamebeba kutoka high garden
images-39-jpeg.2972164
Good explanation. Actually daenary hakuchoma dhahabu zote. Mali nyengine zilikua zimeshafika kingslanding ndiyo maana cercie akapata pesa za kulipa madeni benki na kununua golden company. Madeni ambayo alikopa baba yao bada ya kukauka kwa machimbo kastaly rock. Lile jeshi ambalo bora samuel tally ameua watu wengi
 
Back
Top Bottom