Wanaifananisha Shogun na Game Of Thrones

Wanaifananisha Shogun na Game Of Thrones

Lord Bares hapa karata zake hazikufanya kazi kwa the Starks ila jamaa alitaka kuitawala North kwa ulaghai sema ni Ile kusema huwezi tumia same method kucheza na akili za watu.
Kwa Bahati mbaya Sansa alikuwa ana rekodi Kila kitu alichokuwa akifanya hivyo alimjua vizuri ila Arya ye hakuhitaji mda mwingi kumjua as Alisha deal na yule jamaa faceless man (hagar)
Jaqin Hagar ni 🔥🔥🔥
 
Shogun ni nzuri ila haifikii GT hata robo wazee,Shogun ni kama movie ya kijapan tu inayomuhusu Taronaga.
 
Tokugawa Shogunate...

Kuna haka ka-Miniseries kametoka kwenye Chanel ya FX, watu mitandaoni wamekua wakiifananisha au kusema kwamba imezidi ubora GOT.

Binafsi nimeitazama hii series nakubali Writing, Cinematography, Culture depiction na Acting ni ya hali ya juu. Yaani ukikaangali haka kaseries hadi unajihisi umekua Mjapan. Sasa hivi najiita Da'Vinci-sama😎

View attachment 2972102
Btw mm kama mpenzi wa GOT nimetazama hii series zaidi ya mara mia... Ukweli haina hadhi ya kufananishwa wala kuisogelea Game of thrones.

Sema FX wajanja wametumia mbinu ya kuifananisha na GOT ili kupata attention ya watu. Mm mwenyewe walinipata kwa namna hii.. Maana niliona wanasema wanataka kuachia series yenye kuzidi ubora GOT.

View attachment 2972104

Kwa muono wangu series ni nzuri ila haijafika level za GOT.
Je kwa mlioitazama hii series mna maoni gani??
View attachment 2972105
Kwa mimi Shogun ni bora kuliko game of throne.
Maana huyu jamaa Hiroyuki Sanada hanaga kazi mbovu.
Shogun naipa hadhi sawa na into the badlands.
 
Shongun ni nzuri ila wazee GOT 🙌…….. labda ngoja tusubir muondelezo wake huko mbelenii ila mpaka sasa bado viwango vya GOT havijafikiwa
 
Toronaga-sama
20240430_141356.jpg


Nimeskia HBO na IMAX wanatoa series mpya inayo base kwa John snow peke yake
 
Kama ni fuata mkumbo na sio mpenzi wa HISTORICAL SERIES
ni wengi waliishia SEASON 2
Ila waliojitahidi wakaingia SEASON 3
sasa hapo GOT kamili ndio inaanza ni bandika bandua haipoi haichoshi

Ni kweli SEASON 1 na 2 kwa mtu aneyejifunza kuangaia HISTORICAL seriez
ambaye amesikia STORY za GOT mtandaoni zitakuchosha na unaweza usiendelee 7bu inataka uelewe maneno wanayozungumza
kwenye GOT hakuna kufuata matukio kwenye GOT lazima uelewe line ya maneno wanayozungumza ndio mana wengi wanapenda kuangalia ikiwa na SUBTITLES ili upate kuelewa neno kwa neno
GOT unaweza kuta Nusu ya episode ipo sehemu moja eneo moja wanazungumza tu sasa mtu kama wewe lazima ikuboe sio vitu vyako hvyo
Mtu wa kwanza kunishawishi niangalie GOT aliniambia dah nakutamani kama ndio unaanza kuangalia halafu nikaenda season 1 nika fail
Baadae nikaikuta kwenye PC ya mtu nachukua series ya Breaking bad nikamwambia hivi hii GOT vipi akasema aah iko addictive sana nikasema ngoja nijivute nione itakuwaje
Tangu wakati huo nimeangalia labda mara 20 na hadi Sasa Nina season 7&8 zikiwa zimetulia Kila mda naangalia
 
Back
Top Bottom