Kung fu panda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 748
- 785
Jaqin Hagar ni π₯π₯π₯Lord Bares hapa karata zake hazikufanya kazi kwa the Starks ila jamaa alitaka kuitawala North kwa ulaghai sema ni Ile kusema huwezi tumia same method kucheza na akili za watu.
Kwa Bahati mbaya Sansa alikuwa ana rekodi Kila kitu alichokuwa akifanya hivyo alimjua vizuri ila Arya ye hakuhitaji mda mwingi kumjua as Alisha deal na yule jamaa faceless man (hagar)
Kiufupi shogun cyo level za GTKweli Kabisa.
Naona hata 3 Body Problem ni Kali kuliko Shogun
Kwa mimi Shogun ni bora kuliko game of throne.Tokugawa Shogunate...
Kuna haka ka-Miniseries kametoka kwenye Chanel ya FX, watu mitandaoni wamekua wakiifananisha au kusema kwamba imezidi ubora GOT.
Binafsi nimeitazama hii series nakubali Writing, Cinematography, Culture depiction na Acting ni ya hali ya juu. Yaani ukikaangali haka kaseries hadi unajihisi umekua Mjapan. Sasa hivi najiita Da'Vinci-samaπ
View attachment 2972102
Btw mm kama mpenzi wa GOT nimetazama hii series zaidi ya mara mia... Ukweli haina hadhi ya kufananishwa wala kuisogelea Game of thrones.
Sema FX wajanja wametumia mbinu ya kuifananisha na GOT ili kupata attention ya watu. Mm mwenyewe walinipata kwa namna hii.. Maana niliona wanasema wanataka kuachia series yenye kuzidi ubora GOT.
View attachment 2972104
Kwa muono wangu series ni nzuri ila haijafika level za GOT.
Je kwa mlioitazama hii series mna maoni gani??
View attachment 2972105
Unakumbuka TENET ?Nimedownload zote ninazo mpka sasa,,,, ila ile part one nilicheki kama nusu saa nikazima mpaka leo sijaangalia tenaπ
Tafuta na wayward pinesHivi ni mi peke yangu nimeangalia FROM iko season one na two ni nzuri kiasi chake hasa ukiwa huna Cha kuangalia
Pamoja na Mariko samaHii Shogun ni bonge la movie, kila nikimsikiliza huyo lady Ochiba Nina didindisha
Wanavisauti Fulani hivi... vya porn za kijapanPamoja na Mariko sama
ππππππWatoto wazuri sana waleWanavisauti Fulani hivi... vya porn za kijapan
NitaitafutaTafuta na wayward pines
Mtu wa kwanza kunishawishi niangalie GOT aliniambia dah nakutamani kama ndio unaanza kuangalia halafu nikaenda season 1 nika failKama ni fuata mkumbo na sio mpenzi wa HISTORICAL SERIES
ni wengi waliishia SEASON 2
Ila waliojitahidi wakaingia SEASON 3
sasa hapo GOT kamili ndio inaanza ni bandika bandua haipoi haichoshi
Ni kweli SEASON 1 na 2 kwa mtu aneyejifunza kuangaia HISTORICAL seriez
ambaye amesikia STORY za GOT mtandaoni zitakuchosha na unaweza usiendelee 7bu inataka uelewe maneno wanayozungumza
kwenye GOT hakuna kufuata matukio kwenye GOT lazima uelewe line ya maneno wanayozungumza ndio mana wengi wanapenda kuangalia ikiwa na SUBTITLES ili upate kuelewa neno kwa neno
GOT unaweza kuta Nusu ya episode ipo sehemu moja eneo moja wanazungumza tu sasa mtu kama wewe lazima ikuboe sio vitu vyako hvyo