Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,063
- 12,866
Una uhakika japo kidogo?Life is short itakuwa amekufa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika japo kidogo?Life is short itakuwa amekufa.
Habari all members.
Nimekaa nikatafakari maisha yangu ndani ya jf nikajikuta nawakumbuka baadhi ya members ambao hawaonekani jamvin Kwa muda mrefu sasa.
Kuna members wana mioyo ya pekee Sana. Kwangu mimi wengi humu wamekuwa wema sana kwangu lakin Uzi huu ni maalum Kwa wale ambao siwaoni kabisa jamvin na PM zangu hawazipati.
Yupo wapi life is Short?
Yupo wapi Hawachi?
unaleta utani sehemu isiyohitaji utaniMtu kajiita life is short unategemea nini? (Utani[emoji2])
Sio kwamba hawapo ukute wapo ila wana IDs tofauti hizi wamezi-dump [emoji2781]. Kuna wengine siku hizi wako biased na majukwaa mengine huku kama ulimzoea MMU basi unakuta mahaba siku hizi yako kwenye jukwaa la Entertainment huko au jukwaa Magari tu.
Hata kwenye vitabu vya dini ukisoma hadithi zake za kale kuna matukio yalikua yanaleta utani mahala ambapo wewe msomaji unaona kabisa palipaswa pasiwe na utani..unaleta utani sehemu isiyohitaji utani
Wasio wema tuambiwe piaNa wasio wema.
"Watu walio aili (wabaya) hawana nafasi katika kumbukumbu za Dunia " Shabani RobertWasio wema tuambiwe pia
Wewe katika hao wawili ID yako ni ipi? Maana hapa unawaandaa watu na kitu flani..... Unazikumbuka IDs zako nyingine unajipigia promo.Habari all members.
Nimekaa nikatafakari maisha yangu ndani ya jf nikajikuta nawakumbuka baadhi ya members ambao hawaonekani jamvin Kwa muda mrefu sasa.
Kuna members wana mioyo ya pekee Sana. Kwangu mimi wengi humu wamekuwa wema sana kwangu lakin Uzi huu ni maalum Kwa wale ambao siwaoni kabisa jamvin na PM zangu hawazipati.
Yupo wapi life is Short?
Yupo wapi Hawachi?
Watu wenye status ya "member" huu Uzi hauwahusu. Ninaowatafuta ni wakongwe na Mimi ni mkongweWewe katika hao wawili ID yako ni ipi? Maana hapa unawaandaa watu na kitu flani..... Unazikumbuka IDs zako nyingine unajipigia promo.
Hii comment yako inahusiana vip na thread hii?GENTAMYCINE kijana mpole, mstaarabu ila anaongoza kwa kupigwa vita kila jukwaa.
Huyo akiacha bange mbichi atakuwa kijana mwema.GENTAMYCINE kijana mpole, mstaarabu ila anaongoza kwa kupigwa vita kila jukwaa.
Huyu yupo ila ameacha kuchangia hoja.
Basi ni wewe,Wengi wa wanaobadili ID ni wale wenye uongo mwingi hum.
Hawa niliowataja si miongoni mwao
Inaonekana unawajua sana nje ya jfWengi wa wanaobadili ID ni wale wenye uongo mwingi hum.
Hawa niliowataja si miongoni mwao
Anajua mavitu utasema ni arc angle uriel😂Huyu yupo ila ameacha kuchangia hoja.
Mtu huyu nilikuwa ninamkubali sana kwa kuwa alikuwa analeta vitu vito vya nyuma ya sayansi na teknolojia.