Duu Mimi ndo Mimi miguu ya kuku nilipewa ban nimekuja na ID mpya.huenda corona iliwapitiaa....hivii ni Mimi nimeandika haya au mod mmeniandikia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duu Mimi ndo Mimi miguu ya kuku nilipewa ban nimekuja na ID mpya.huenda corona iliwapitiaa....hivii ni Mimi nimeandika haya au mod mmeniandikia
Acha utani[emoji47]Namba 7&8 ni mtu mmoja..na ametangulia mbele za haki
Tunataniana Mimi na wewe?Acha utani[emoji47]
Nipo nae Buza hukuNa Kidukuliloo aiseee...Jamaa na story zake za uongo sijui yupo wapi
Walikuwa washkaji sana humu JF
1. Humble African
2. Madame B
3. Alexender the Great
4. Chalii Francisco
5. Dragoon
6. Viatu vya samki
7. Miguu ya kuku
8. Mpauko
9. Wa Stendi
10. Baba Swalehe
Umemsahau faizafoxyWalikuwa washkaji sana humu JF
1. Humble African
2. Madame B
3. Alexender the Great
4. Chalii Francisco
5. Dragoon
6. Viatu vya samki
7. Miguu ya kuku
8. Mpauko
9. Wa Stendi
10. Baba Swalehe
Sababu za kutumia majina mengine ni zipi wakati tayari mmesha zoeleka kwa majina yenu makuu?Tupo kwa majina mengine mkuu.
Mbao za MaweNamba 6 na 7 ni huyo huyo kwa sasa yuko benchi kidogo ni miongoni mwa waliokatwa
Maringo yote Yale kumbe Kiduku lilo anavinjari kwa Mpalange?Nipo nae Buza huku
Na kweli jf hii sio ya enzi zile sasa hivi fujo tuWengine wamekuwa ni ndugu wasomaji tu..maana JF..imevamiwa siku hizi..
😛😛😛 nipoo babe
Kuna mmoja ni marehemu hapoWalikuwa washkaji sana humu JF
1. Humble African
2. Madame B
3. Alexender the Great
4. Chalii Francisco
5. Dragoon
6. Viatu vya samki
7. Miguu ya kuku
8. Mpauko
9. Wa Stendi
10. Baba Swalehe
Kuna kama watatu hapo wana ID zaidi ya mojaWalikuwa washkaji sana humu JF
1. Humble African
2. Madame B
3. Alexender the Great
4. Chalii Francisco
5. Dragoon
6. Viatu vya samki
7. Miguu ya kuku
8. Mpauko
9. Wa Stendi
10. Baba Swalehe