WanaJamiiForums tumeonyesha Ubinafsi wetu kwa Pascal Mayalla, tumeshindwa kumpigania kwa kumpamba

WanaJamiiForums tumeonyesha Ubinafsi wetu kwa Pascal Mayalla, tumeshindwa kumpigania kwa kumpamba

Unajua umri wake mkuu? Kwa age yake nadhani its fair to say he lives beyond his future, na kwa bahati mbaya hamna future mbili.
Age ni number tu Kuna wanaifanikiwa mapema lakini wanaishi below 40, Kuna wanaochelewa na kuishi mda mrefu, mbona Barack Obama alipata uraisi akiwa 50s na amestaafu, wakati Trump Ni Raisi wa Marekani akiwa na 70s so no formula kila Jambo na wakati wake. Kikubwa tu ndoto huwa haifi mpaka itimie
 
Age ni number tu Kuna wanaifanikiwa mapema lakini wanaishi below 40, Kuna wanaochelewa na kuishi mda mrefu, mbona Barack Obama alipata uraisi akiwa 50s na amestaafu, wakati Trump Ni Raisi wa Marekani akiwa na 70s so no formula kila Jambo na wakati wake. Kikubwa tu ndoto huwa haifi mpaka itimie
Unaowataja wote ukipitia historia zao utagundua walikuwa focused na wanachokifanya tangu zamani, kwenye hizo age kila mmoja kwa wakati wake urais imekuwa ni peak kwao.
 
Wengine hugombea ili waonekane wapate uteuzi, Sasa Pasco nadhani alimuudhi mzee na lile swali lake ikulu na mzee huweka vitu moyoni, maana Kama tu kumtetea uncle humu JF hakuna anaye mshinda humu, naomba akumbukwe bwana, katambi tu kamshanbulia lisu kateuliwa kugombea ubunge shinyanga
Ha haaaa, lile swali nadhani hakuwa amemjua Meko vizuri. Tatizo alikosea kuanza na yule jamaa kwa visasi ni komesha.
 
Unaowataja wote ukipitia historia zao utagundua walikuwa focused na wanachokifanya tangu zamani, kwenye hizo age kila mmoja kwa wakati wake urais imekuwa ni peak kwao.
But duniani kila mtu na njia yake wote hawawezi kutumia njia moja kufikia malengo yao, kila mtu na path yake
 
Ukweli wanaJamiiForums kwa gwiji wetu Pascal Mayalla tumeonyesha chuki ya wazi ikiwemo mimi, namuomba radhi.

Ingawa Pascal ni CCM ila alikuwa hana ule u CCM kama makada wengine. Pasco ni mhanga wa mambo mengi yaliyotokea kwenye utawala huu ikiwemo kusitishiwa tenda zake muhimu zilizokuwa zikimpa ugali na watoto kwenda chooni. Pamoja na wengi wetu kujua kuwa Pasco alitia nia, tulijitenga naye na kwa hapa hatukuwaza vizuri.

Ingekuwa vizuri sana kwa Pasco kuweo bungeni kuliko mwana CCM yeyote yule na jukwaa letu hili pendwa lingepata sauti kubwa bungeni. Ndiye mwanajamii forum pekee aliyejitokeza hadharani na kuitaja Jamii forum tena kwa herufi kubwa. Hakuna mpinzani wala mwana CCM yeyote aliyewahi na hadi sasa hakuna.

Kumkosa Pasco bungeni ni huku tukijua kuwa alikuwa akiipa Jf kipaumbele cha kwanza kabisa, pia huku sisi tukijibaragaza humu tulishindwa kabisa kumfanya asikike walau hata kwa kumuanzishia vi thread vya kumpamba, tumecheza vibaya. Pia Pasco ni mwana CCM ambaye anaiheshimu sana katiba, hapa jukwaa letu kama ikitokea likaguswa huyu angesimama kidete.

Sauti ya mwanaccm mmoja inasikika pale anapopinga kitu kuliko sauti ya wapinzani 1000. Tumemkosa mwanaccm nyutro na huenda tukaja kuona madhara yake baadaye! Huyu asingeegemea chama! Huyu kati ya chama na JF angesimama na JF!

So sory bro, tumekukosea na nikiri kuwa hakuna tena mwanaccm wa aina yako ambaye tungempata ndani ya bunge lijalo.
Yupo zitto kabwe
 
Ukweli wanaJamiiForums kwa gwiji wetu Pascal Mayalla tumeonyesha chuki ya wazi ikiwemo mimi, namuomba radhi.

Ingawa Pascal ni CCM ila alikuwa hana ule u CCM kama makada wengine. Pasco ni mhanga wa mambo mengi yaliyotokea kwenye utawala huu ikiwemo kusitishiwa tenda zake muhimu zilizokuwa zikimpa ugali na watoto kwenda chooni. Pamoja na wengi wetu kujua kuwa Pasco alitia nia, tulijitenga naye na kwa hapa hatukuwaza vizuri.

Ingekuwa vizuri sana kwa Pasco kuweo bungeni kuliko mwana CCM yeyote yule na jukwaa letu hili pendwa lingepata sauti kubwa bungeni. Ndiye mwanajamii forum pekee aliyejitokeza hadharani na kuitaja Jamii forum tena kwa herufi kubwa. Hakuna mpinzani wala mwana CCM yeyote aliyewahi na hadi sasa hakuna.

Kumkosa Pasco bungeni ni huku tukijua kuwa alikuwa akiipa Jf kipaumbele cha kwanza kabisa, pia huku sisi tukijibaragaza humu tulishindwa kabisa kumfanya asikike walau hata kwa kumuanzishia vi thread vya kumpamba, tumecheza vibaya. Pia Pasco ni mwana CCM ambaye anaiheshimu sana katiba, hapa jukwaa letu kama ikitokea likaguswa huyu angesimama kidete.

Sauti ya mwanaccm mmoja inasikika pale anapopinga kitu kuliko sauti ya wapinzani 1000. Tumemkosa mwanaccm nyutro na huenda tukaja kuona madhara yake baadaye! Huyu asingeegemea chama! Huyu kati ya chama na JF angesimama na JF!

So sory bro, tumekukosea na nikiri kuwa hakuna tena mwanaccm wa aina yako ambaye tungempata ndani ya bunge lijalo.
kwani sisi ni wajumbe?
 
Paschal he is no more necessary he is obsoleted the same as mama Tibaijuka Ngeleja and Change
 
Kuna muda huwa nawaza sana jinsi unavyoishi na raia bila ya kupata jibu ila jibu huwa linakuja mwishoni kwa vile watakavyoku-treat ndio unapata jibu kuwa raia wananichukuliaje na wanasimama upande gani.

Maisha haya aisee. Acha tu...!
 
Mzee huwa hasahau Jambo yule, na mtu ka huyo Ni kuwa naye tu makini. Ila mbona wengine huwa ana wasamehe tu jamani
Nadhani kutokana na mood swings za Meko wengine anawatema, kama alivyosema mwenyewe, 'itategemea ameamkaje'
 
Angepita kirahisi mno kama angegombea huko Simiyu au Buchosa..

Sasa unagombea Kawe? Seriously?
Ila The Boss,nakumbuka kipindi Magu anaingia madarakani ulielezea sana umuhimu wa kununua Ndege na nikaona mheshimiwa kafuata ushauri wako but ghafla nikaona unaponda tena ununuzi wa ndege,shida ilikuwa nini
 
Ila The Boss,nakumbuka kipindi Magu anaingia madarakani ulielezea sana umuhimu wa kununua Ndege na nikaona mheshimiwa kafuata ushauri wako but ghafla nikaona unaponda tena ununuzi wa ndege,shida ilikuwa nini


Hebu nikumbushe labda niliongea kitu tofauti..
Kununua ndege ni kitu kizuri Ila unanunua Kwa style gani?
Why ulipe cash??
Je tuna wataalam behind?.

Lengo ni nini?Kufufua ATC?
Je kufufua ATC bila management overhaul ni sahihi?..

Na unanunua ndege ngapi? Gharama je?
Je ni kipaumbele cha taifa Kwa sasa?..
Hakuna means ingine ya kuanza nayo?
 
Aondoe hofu, jina lilishafika mahali husika, akaze roho kidogo na kuwa na imani na Chama chetu, kinajali kuliko upeo wa fikra za wapinzani.
 
Ukweli wanaJamiiForums kwa gwiji wetu Pascal Mayalla tumeonyesha chuki ya wazi ikiwemo mimi, namuomba radhi.

Ingawa Pascal ni CCM ila alikuwa hana ule u CCM kama makada wengine. Pasco ni mhanga wa mambo mengi yaliyotokea kwenye utawala huu ikiwemo kusitishiwa tenda zake muhimu zilizokuwa zikimpa ugali na watoto kwenda chooni. Pamoja na wengi wetu kujua kuwa Pasco alitia nia, tulijitenga naye na kwa hapa hatukuwaza vizuri.

Ingekuwa vizuri sana kwa Pasco kuweo bungeni kuliko mwana CCM yeyote yule na jukwaa letu hili pendwa lingepata sauti kubwa bungeni. Ndiye mwanajamii forum pekee aliyejitokeza hadharani na kuitaja Jamii forum tena kwa herufi kubwa. Hakuna mpinzani wala mwana CCM yeyote aliyewahi na hadi sasa hakuna.

Kumkosa Pasco bungeni ni huku tukijua kuwa alikuwa akiipa Jf kipaumbele cha kwanza kabisa, pia huku sisi tukijibaragaza humu tulishindwa kabisa kumfanya asikike walau hata kwa kumuanzishia vi thread vya kumpamba, tumecheza vibaya. Pia Pasco ni mwana CCM ambaye anaiheshimu sana katiba, hapa jukwaa letu kama ikitokea likaguswa huyu angesimama kidete.

Sauti ya mwanaccm mmoja inasikika pale anapopinga kitu kuliko sauti ya wapinzani 1000. Tumemkosa mwanaccm nyutro na huenda tukaja kuona madhara yake baadaye! Huyu asingeegemea chama! Huyu kati ya chama na JF angesimama na JF!

So sory bro, tumekukosea na nikiri kuwa hakuna tena mwanaccm wa aina yako ambaye tungempata ndani ya bunge lijalo.
Kauli yako kwamba tumemkosa mtu muhimu, ninakubaliana nayo. Lakini kusema kwamba sisi ndiyo tumemhujumu, hiyo siyo kweli. Sisi hatukuwa wajumbe tuliopiga kura, na wala hatukuwa kwenye NEC iliyoidhinisha nani ateuliwe kugombea. Kwa mawazo yanayofanana na yako, jana nililalamika kwamba sikuamini kuona jina la Gwajima kuteuliwa kugombea ubunge wa Kawe, kuacha wote waliotia nia, pamoja na wale waliomshinda kwenye kura za awali. Nilisema afadhali hata Paskali aliyepata nunge kwenye kura za awali, angeweza kutoa mchango wa maana zaidi bungeni. Sidhani kama sisi wana JF kama tulikuwa na cha zaidi cha kufanya. Labda mawazo mengi yakitokea kwenye mitandao yakasikika na wahusika huenda wakamfikiria hata kwenye viti vya kuteuliwa. Shime kwetu sote tunaokuwa na imani naye. Yeye hutoa mawazo yake, hata kama hukubaliani nayo, na anajitambulisha rasmi kwamba ni yeye bila kutumia jina la bandia. Hii inathibitisha uhalali wa anachofikiria.
 
Back
Top Bottom