Wanajeshi 11 wa Marekani walijeruhiwa katika shambulio la Iran dhidi ya kambi ya Jeshi la wanaanga ya Ain al-Assad

Lakini c tuliwaambia hapa kama wanaficha aibu
Ngoja ipo siku watatupa idadi kamili ya waliouwawa kama 80 Ama 100 ila lazma watatupa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamarekani kwa kuficha aibu ndio wenyewe mpaka leo hawataki kukubali kuwa Russia waliingilia mfumo wao na kumsaidia Trump kushinda,Wakati ukweli uko wazi mitaani.
 
Namkubali US lakini nawaamini IRAN, Hii ni habari mbaya sana kwa utawala wa Rais Trump na hasa kwa kipindi hiki cha Impeachment ikitokea ikawa kweli kuna wanajeshi waliokufa huo utakuwa mwanzo wa mwisho wa Longolongo Trump.
 


Wanaongelea kuhusu wanajeshi wa USA walio umia. Afu wanasema Trump anaficha walio kufa afu watajidai walikufa kwa accident za gari badaye.
 
Tatizo pale camp pia Kuna Askari wa Iraq,kwahiyo Iran walimtonya waziri mkuu wa Iraq ambae nae akawatonya Askari wake nao wakavujisha,kwahiyo wote wakazama kwenye handaki kwa mujibu wa maelezo yao
 
Kibongobongo hao wanajeshi wangerudishwa tu kwenye kambi zao sababu hawajapata madhara yeyote physically zaidi kuathirika kisaikolojia.Rejea mabomu ya Gongolamboto na Mbagala,watu baada ya muda mfupi waliendelea na maisha kama kawaida bila hata kwenda hospital!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…