Wanajeshi 11 wa Marekani walijeruhiwa katika shambulio la Iran dhidi ya kambi ya Jeshi la wanaanga ya Ain al-Assad

Wanajeshi 11 wa Marekani walijeruhiwa katika shambulio la Iran dhidi ya kambi ya Jeshi la wanaanga ya Ain al-Assad

Kumbuka hapo hawajasema ukweli halisi huenda kuna vifo na majeruhi kibao.Tusubiri muda utaongea.
Kwa nchi kama Marekani huwezi kuficha vifo. Maana aliyekufa ni lazima atakuwa na ndugu au familia. Kwa jinsi uhuru wa watu ulivyo mkubwa, hawatakosa kuuleza umma kuwa serikali yao ilidanganya.

Lakini pia tyjue kuwa Rais wa Marekani na hata yule wa Iran, hupokea taarifa kutoka kwa watu wao. Tukio linapotokea ghafla, ni vigumu sana kupata taarifa zote kiundani na kwa jumla.

Kuwepo watu walioathirika kiakili/kisaikolojia kutokana na mabomu, siyo kitu kinachoweza kugundulika mara moja.

Tusipende kujaza hisia kwenye mambo ambayo hatuna uhakika nayo. Kufa kwa Mmarekani au Muirani hakutuongezei kitu sisi kama Taifa. Binadamu hastahili kushabikia wala kufurahia kifo cha mwenzake, japo watu kila siku wanahangaika kugundua silaha bora zaidi za kuwaangamiza wanadamu. Huu ndio ujinga mwingine, wa kiumbe binadamu.
 
Tusipende kujaza hisia kwenye mambo ambayo hatuna uhakika nayo. Kufa kwa Mmarekani au Muirani hakutuongezei kitu sisi kama Taifa. Binadamu hastahili kushabikia wala kufurahia kifo cha mwenzake, japo watu kila siku wanahangaika kugundua silaha bora zaidi za kuwaangamiza wanadamu. Huu ndio ujinga mwingine, wa kiumbe binadamu.
Kwa nchi kama Marekani huwezi kuficha vifo. Maana aliyekufa ni lazima atakuwa na ndugu au familia. Kwa jinsi uhuru wa watu ulivyo mkubwa, hawatakosa kuuleza umma kuwa serikali yao ilidanganya.

Lakini pia tyjue kuwa Rais wa Marekani na hata yule wa Iran, hupokea taarifa kutoka kwa watu wao. Tukio linapotokea ghafla, ni vigumu sana kupata taarifa zote kiundani na kwa jumla.

Kuwepo watu walioathirika kiakili/kisaikolojia kutokana na mabomu, siyo kitu kinachoweza kugundulika mara moja.

Tusipende kujaza hisia kwenye mambo ambayo hatuna uhakika nayo. Kufa kwa Mmarekani au Muirani hakutuongezei kitu sisi kama Taifa. Binadamu hastahili kushabikia wala kufurahia kifo cha mwenzake, japo watu kila siku wanahangaika kugundua silaha bora zaidi za kuwaangamiza wanadamu. Huu ndio ujinga mwingine, wa kiumbe binadamu.
Kwanza Mkuu Hamna Anaekataa Yakwamba Marais Hua Hawapokei Habari Toka Chini Ili Mpaka Ziwafikie Wao ila hata kama wewe ndio rais vuta picha kweli ballistic zitue kwenye kambi zenu halaf wasipatikane hata majeruhi nahisi ni mtoto tu anaeweza kudanganywa na huu uwongo maana athari ya bomu inajulikana hata kama litakua lakutupwa kwa mkono tuu seuze ballistic zaidi ya moja lipige kambi halaf wasipatikane hata walojeruhiwa haiwezekani (HAIWEZEKANI)


Nahisi hapa kweli kuna watu wanashabikia vifo vya wenzao ila kuuficha ukweli hakumaanishi kama hao watu watafufuka ama hawatakufa



US nasikia wazazi washa anza kulia lia huko wanataka wajue uwepo ama kutokuwepo kwa watoto wao.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makao Makuu ya Jeshi la Marekani imesema Wanajeshi 11 wa Marekani walijeruhiwa katika shambulio la Iran dhidi ya kambi ya Jeshi la wanaanga ya Ain al-Assad nchini Iraq Januari 8

Tehran ilirusha makombora dhidi ya kambi za Ain al-Assad (Magharibi) na Erbil (Kaskazini), ambapo baadhi ya wanajeshi 5,200 wa Marekani wanapiga kambi, kwa kulipiza kisasi kifo cha Jenerali wa Iran, Qassem Soleimani

==============================

Published: 17 Jan 2020 | 04:29 GMT

US Central Command has revealed that 11 personnel stationed at an Iraqi airbase which incurred a retaliatory attack by Tehran earlier in January had to be sent out of the country after displaying concussion symptoms.

“While no US service members were killed in the January 8 Iranian attack on Al Asad airbase, several were treated for concussion symptoms from the blast and are still being assessed,” Navy Captain Bill Urban said in a statement on Thursday.

Upon initial examination, eight troops were flown out of the war-ravaged country to a medical facility in Germany for further checks, while three others were taken to Camp Arifjan, a US Army installation in Kuwait.

The temporary removal of the troops was taken “out of an abundance of caution,” Urban said, refusing to divulge any more details about the condition of the servicemen or the extent of their injuries.

“The health and welfare of our personnel is a top priority and we will not discuss any individual's medical status,” he said, noting that the servicemen are expected to return to duty following additional screening.

The base in Iraqi Kurdistan found itself under fire from two volleys of ballistic missiles launched from Iran after a US drone strike near Baghdad on January 3 killed Iranian Major General Qassem Soleimani, the elite Quds Force commander who played a major role in beating Islamic State terrorists in both Syria and Iraq. His assassination has inflamed tensions between Washington and Tehran, and drew a harsh rebuke from Baghdad, prompting the Iraqi Parliament to pass a resolution ordering US troops to leave the country.

Immediately after the attack by Iran, which was reported to have incurred extensive but pinpointed damage on the facility and resulted in no casualties, US President Donald Trump declared that “all is well,” with the Pentagon likewise saying that early warning systems at the base alerted the troops, who wasted no time in seeking shelter.

Source: Russia Today
Kadiri siku zinavyosogea ukweli utajulikana
 
Mimi nilisha sema toka lini US akakubali kichapo anachopewa? Iran huwa hawasemi uwongo na kutokana na Iran 80 wanajeshi wa US wamekufa na 200 wameumia. Hicho kichapo bado Iraq aliwatonya US kwamba missile zinakuja. Je asinge ambiwa na Iraq kuwa Iran atashambulia hizo base mbili ingikuwa balaa 😁 😂 😬
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Poleni Kwa Majeruhi Mloyapata Mliambiwa Hapa Haiwezekani Ballistic Zaidi Ya Moja Zipike Kambi Wanayokaa wanajeshi Hlaf Asijeruhiwe Hata Mmoja

Nb:Itafikia Siku Watataja Idadi Kamili Yawatu Walio Uwawa

US-Anatakiwa Apige Upya Hesabu Zake IRAN Sio Waarabu.....

Sent using Jamii Forums mobile app

Alishapiga hesabu ndio maana mpaka sasa no new sanctions na anawaomba mezani....

kutoka kwangu muajemi wa buza
 
Dah asee kama kweli waliwatonya walikosea mnoooo
Iraq walikosea sana kuwatonya US kuhusu ujio wa vifurushi vya Iran,nilitamani kesho US waokote mizoga kama 2000
Jamaa wanatakiwa wawa ache tu sku yapili maana wangepewa ambush ya maana hapo leo wangekua washafika DC pimbaf hao


All Is Well In Turampet Voice[emoji1][emoji2][emoji23][emoji16][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiongozi hivi troop so mwanajeshi Bali no kikundi cha kama wanajeshi 14 hivi. Na sio mwanajeshi mmoja KWA akili YANGU nadhani itakua ni mwanajeshi 154 hivi ndio walio patwa na majanga ya hizo bomu
Makao Makuu ya Jeshi la Marekani imesema Wanajeshi 11 wa Marekani walijeruhiwa katika shambulio la Iran dhidi ya kambi ya Jeshi la wanaanga ya Ain al-Assad nchini Iraq Januari 8

Tehran ilirusha makombora dhidi ya kambi za Ain al-Assad (Magharibi) na Erbil (Kaskazini), ambapo baadhi ya wanajeshi 5,200 wa Marekani wanapiga kambi, kwa kulipiza kisasi kifo cha Jenerali wa Iran, Qassem Soleimani

==============================

Published: 17 Jan 2020 | 04:29 GMT

US Central Command has revealed that 11 personnel stationed at an Iraqi airbase which incurred a retaliatory attack by Tehran earlier in January had to be sent out of the country after displaying concussion symptoms.

“While no US service members were killed in the January 8 Iranian attack on Al Asad airbase, several were treated for concussion symptoms from the blast and are still being assessed,” Navy Captain Bill Urban said in a statement on Thursday.

Upon initial examination, eight troops were flown out of the war-ravaged country to a medical facility in Germany for further checks, while three others were taken to Camp Arifjan, a US Army installation in Kuwait.

The temporary removal of the troops was taken “out of an abundance of caution,” Urban said, refusing to divulge any more details about the condition of the servicemen or the extent of their injuries.

“The health and welfare of our personnel is a top priority and we will not discuss any individual's medical status,” he said, noting that the servicemen are expected to return to duty following additional screening.

The base in Iraqi Kurdistan found itself under fire from two volleys of ballistic missiles launched from Iran after a US drone strike near Baghdad on January 3 killed Iranian Major General Qassem Soleimani, the elite Quds Force commander who played a major role in beating Islamic State terrorists in both Syria and Iraq. His assassination has inflamed tensions between Washington and Tehran, and drew a harsh rebuke from Baghdad, prompting the Iraqi Parliament to pass a resolution ordering US troops to leave the country.

Immediately after the attack by Iran, which was reported to have incurred extensive but pinpointed damage on the facility and resulted in no casualties, US President Donald Trump declared that “all is well,” with the Pentagon likewise saying that early warning systems at the base alerted the troops, who wasted no time in seeking shelter.

Source: Russia Today

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom