Wanajeshi 11 wa Marekani walijeruhiwa katika shambulio la Iran dhidi ya kambi ya Jeshi la wanaanga ya Ain al-Assad

Wanajeshi 11 wa Marekani walijeruhiwa katika shambulio la Iran dhidi ya kambi ya Jeshi la wanaanga ya Ain al-Assad

Hehehe
Osama alivyolipua ubalozi wa marekani kwa bomu dogo tu la kwenye gari Dar Nzima ilitikisika, sembuse Ballistic missile zaidi ya 10 zitue sehemu halafu asife mtu hata mmoja kwa mshtuko?
US Wanawafanya Watu Wapuuzi Sana Na Wanaofanywa Wapuuzi wanadhihirisha upuuzi wao


Haiwezekani Kambi Ipigwe Asife Mtu Asee Nihaiwezekaniki.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
US Wawatafte wakuwadanganya Ila Sio Mimi Binafsi Hawanipati

Maana Mwanzo walisema Kama Hawapo Baadae Wakasema Walipewa Taarifa

Leo wanasema kama kuna walojeruhiwa

Kiufupi nlipo anza kusikia tu kama walipigwa kambi zao nikaona kama jamaa hawana maajabu kama wanayo tuaminisha

Baaadae wakaja na scenario kwamba walipewa taarifa utake kushambuliwa upewe taarifa itakua vita ama itakua upuuzi
Haya ni majeruhi ya kuweweseka, lakini mlisema waliondoka ko hayo majeruhi wameyapata wapi, tunashindwa kuamini huenda hata hao siyo kuweweseka bali majeruhi wa vidonda kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiufupi US hawakutarajia kama IRAN Angewapa kipigo walichokipokea Nasijaelewa Kwa nn Wanauficha Ukweli

Ila Kiukwel Inaonekanika Wamekufa Kama KUMBI KUMBI....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani source yako ni MpekuziHuru. Dah! Tuna safari ndefu sana kama Taifa.
WEWE HATA UKIMWONA YESU UTASEMA ABDUL N NOMAA UKOJUU KWIKWI
NA HAOOO TENAASEMALINGINE
Screenshot_20200117-192524.png
 
Screenshot_20200117-192546.png
Screenshot_20200117-192552.png
 

Attachments

  • Screenshot_20200117-192558.png
    Screenshot_20200117-192558.png
    62.1 KB · Views: 1


11 U.S. troops injured in Jan. 8 Iran missile strike

A total of 11 US troops have been medically evacuated to US military hospitals in Kuwait and Germany to be treated for traumatic brain injury

Aisee...🤔🤔🤔
 
Duh! kwa jinsi maayatollah wa Kimanzichana walivyovamia huu uzi angekufa hata koplo mmoja wa kimarekani wallahi ingebidi tukimbie hili jukwaa forever
Dah! JF raha sana...😊😊😊
 
Hivi siku ngapi zimepita.
Makao Makuu ya Jeshi la Marekani imesema Wanajeshi 11 wa Marekani walijeruhiwa katika shambulio la Iran dhidi ya kambi ya Jeshi la wanaanga ya Ain al-Assad nchini Iraq Januari 8

Tehran ilirusha makombora dhidi ya kambi za Ain al-Assad (Magharibi) na Erbil (Kaskazini), ambapo baadhi ya wanajeshi 5,200 wa Marekani wanapiga kambi, kwa kulipiza kisasi kifo cha Jenerali wa Iran, Qassem Soleimani

==============================

Published: 17 Jan 2020 | 04:29 GMT

US Central Command has revealed that 11 personnel stationed at an Iraqi airbase which incurred a retaliatory attack by Tehran earlier in January had to be sent out of the country after displaying concussion symptoms.

“While no US service members were killed in the January 8 Iranian attack on Al Asad airbase, several were treated for concussion symptoms from the blast and are still being assessed,” Navy Captain Bill Urban said in a statement on Thursday.

Upon initial examination, eight troops were flown out of the war-ravaged country to a medical facility in Germany for further checks, while three others were taken to Camp Arifjan, a US Army installation in Kuwait.

The temporary removal of the troops was taken “out of an abundance of caution,” Urban said, refusing to divulge any more details about the condition of the servicemen or the extent of their injuries.

“The health and welfare of our personnel is a top priority and we will not discuss any individual's medical status,” he said, noting that the servicemen are expected to return to duty following additional screening.

The base in Iraqi Kurdistan found itself under fire from two volleys of ballistic missiles launched from Iran after a US drone strike near Baghdad on January 3 killed Iranian Major General Qassem Soleimani, the elite Quds Force commander who played a major role in beating Islamic State terrorists in both Syria and Iraq. His assassination has inflamed tensions between Washington and Tehran, and drew a harsh rebuke from Baghdad, prompting the Iraqi Parliament to pass a resolution ordering US troops to leave the country.

Immediately after the attack by Iran, which was reported to have incurred extensive but pinpointed damage on the facility and resulted in no casualties, US President Donald Trump declared that “all is well,” with the Pentagon likewise saying that early warning systems at the base alerted the troops, who wasted no time in seeking shelter.

Source: Russia Today

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Concussion symptoms " hata wewe ukipimwa unayo na visababishi ni vingi. Kama hayo ndio matokeo ya kuifanya Iran ishangilie kutimiza lengo; kama hayo ndio matokeo bora kabisa ya jeshi la Iran sawa.
Kinachozungumzwa hapa ni kwamba kuna vitu Us anaficha. Me sijui umekwama wapi kuelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taarifa ya mwanzo ilikuwaje?

Hivi unakumbuka wakati Japan amezamisha Meli ya US iliyokuwa na Sailors 900 marekani alitoa taarifa gani?
Hawapo watasemaje? Wasingizie watu wamekufa wakati hawajafa? Pili, tunavyoijua Marekani isingewezekana wanajeshi wake wafe halafu shughuli zifanyike kimya kimya haipo hiyo kitu. Ni lazima CNN na vyombo vingine wangeihabarisha dunia na majeneza tungeyaona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamba wewe ni mgeni na marekani? Kama ilizamishwa meli yake iliyokuwa na sailors zaidi ya 1200 then watu wakaambiwa kwamba hakuna chochote kilichotokea wakati walikufa wanajeshi zaidi ya 900. Halafu week 2 baadae ndio yakatokea yale ya Hiroshima na Nagasaki.
Tafasiri rahisi ya hiyo defn ni "kuweweseka"; in short wanajeshi 11 wa Marekani wameonesha dalili (symptoms) za kuweweseka baada ya ile milipuko halafu watu humu wanashangilia ushindi wa Iran! Ha ha ha!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo umekomaa na neno majeruhi majeruhi kwa tafsiri ya majeruhi unayoielewa wewe. Umeambiwa "majeraha" waliyopata hawa ni dalili (symptoms) za "concussion"; narudia tena DALILI. Sasa wewe ulitegemea "concussion symptoms" zionekane siku ileile? Ni tatizo linalo-develop taratibu! Ok, basi tuipe ushindi Iran tumalize ubishi.
Wamepataje majeraha wakati tuliambiwa kambi hazikuwa na wanajeshi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawapo watasemaje? Wasingizie watu wamekufa wakati hawajafa? Pili, tunavyoijua Marekani isingewezekana wanajeshi wake wafe halafu shughuli zifanyike kimya kimya haipo hiyo kitu. Ni lazima CNN na vyombo vingine wangeihabarisha dunia na majeneza tungeyaona.
Waandishi wa habari walizuiwa wasiingie Ile base kwa wiki nzima. Unazani walikua wanaficja Nini kama sio maiti hizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makao Makuu ya Jeshi la Marekani imesema Wanajeshi 11 wa Marekani walijeruhiwa katika shambulio la Iran dhidi ya kambi ya Jeshi la wanaanga ya Ain al-Assad nchini Iraq Januari 8

Tehran ilirusha makombora dhidi ya kambi za Ain al-Assad (Magharibi) na Erbil (Kaskazini), ambapo baadhi ya wanajeshi 5,200 wa Marekani wanapiga kambi, kwa kulipiza kisasi kifo cha Jenerali wa Iran, Qassem Soleimani

==============================

Published: 17 Jan 2020 | 04:29 GMT

US Central Command has revealed that 11 personnel stationed at an Iraqi airbase which incurred a retaliatory attack by Tehran earlier in January had to be sent out of the country after displaying concussion symptoms.

“While no US service members were killed in the January 8 Iranian attack on Al Asad airbase, several were treated for concussion symptoms from the blast and are still being assessed,” Navy Captain Bill Urban said in a statement on Thursday.

Upon initial examination, eight troops were flown out of the war-ravaged country to a medical facility in Germany for further checks, while three others were taken to Camp Arifjan, a US Army installation in Kuwait.

The temporary removal of the troops was taken “out of an abundance of caution,” Urban said, refusing to divulge any more details about the condition of the servicemen or the extent of their injuries.

“The health and welfare of our personnel is a top priority and we will not discuss any individual's medical status,” he said, noting that the servicemen are expected to return to duty following additional screening.

The base in Iraqi Kurdistan found itself under fire from two volleys of ballistic missiles launched from Iran after a US drone strike near Baghdad on January 3 killed Iranian Major General Qassem Soleimani, the elite Quds Force commander who played a major role in beating Islamic State terrorists in both Syria and Iraq. His assassination has inflamed tensions between Washington and Tehran, and drew a harsh rebuke from Baghdad, prompting the Iraqi Parliament to pass a resolution ordering US troops to leave the country.

Immediately after the attack by Iran, which was reported to have incurred extensive but pinpointed damage on the facility and resulted in no casualties, US President Donald Trump declared that “all is well,” with the Pentagon likewise saying that early warning systems at the base alerted the troops, who wasted no time in seeking shelter.

Source: Russia Today
When Trump was "trumping" his lies the other day, he categorically denied! Trump the liar,Trump the crook.
 
Acha uchizi wewe unafkiri concusion sio jeraha. Concusion ni traumatic brain injury. Yaani lazima bichwa igongwe na kitu kutoka nje ndo update concusion.
Tatizo umekomaa na neno majeruhi majeruhi kwa tafsiri ya majeruhi unayoielewa wewe. Umeambiwa "majeraha" waliyopata hawa ni dalili (symptoms) za "concussion"; narudia tena DALILI. Sasa wewe ulitegemea "concussion symptoms" zionekane siku ileile? Ni tatizo linalo-develop taratibu! Ok, basi tuipe ushindi Iran tumalize ubishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom