Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,971
- 13,608
Halafu kuna media zinapata ufadhili wa George Soros hasimu wa Trump km Bloomberg ,cnn etc zingetoa habari mapema tu alfajiri!... great observation! Ilham Umar saa hizi angesha-post vibaya sana kwenye social media na kuwasilisha hoja binafsi kwa Nancy Pelosi ili kumkomoa Trump.