Wanajeshi 3000 hadi 4000 wa Rwanda wanashirikiana na waasi wa M23 katika mapigano mashariki mwa Kongo

Tatizo la Wanyarwanda ni tabia zao chafu za kutaka kutawala wengine. Ili Congo itulie lazima imalize huu uasi kwa njia ambayo hautajirudia.
Sio kweli

WaKongo Mobutu walishindwa kumtoa akiwaonea watusi wa Kongo na qwakongomani

Watusi wakamvalia njuga wakamtoa
Kwa gharama kubwa ya damu zao

Vinginevyo Mobutu asingetoka wawashukuru watusi wa kongo hata walau kuwatambua tu kuwa raia

Wakongo wanachofanya sio sahihi kufanya shukrani ya punda mateke sio sawa
 
Mkuu kwa kuliona hili, unadhani nini kifanyike?
 
Tatizo la kongo waliomtoa Mobutu madarakani walikuwa watusi ambao aliwaonea sana pamoja na Wakongo walikuwa wanacheza miziki tu na ndombolo na kujificha ulaya ubelgiji nk wakila bata hawakuingia msituni kumtoa Mobutu

Baada ya watusi kumtoa mobutu na kuweka nchi tulivu ndipo kila diaspora la kongo linataka kuwa tawala la kongo na kuwaita watusi wavamizi waondoke wawaaachie wakongomani

Walipokuwa watusi wameingia kongo kumtoa Mobutu mbona walushangiliwa kila kona mitaani wakiitwa wakombozi wa kongo
Hawakuitwa wavamizi

Kuna shida wakongo hata humu kuna Wakongo lakini kuna wanaojielewa na wasiojiewa

Diaspora wakongo wataka kutawala Kongo na kuvurumisha watusi waliokomboa kongo akiwemo Raisi Tishekedi wakati hawakushiririki vita kutoa mobutu ndani ya konngo wao na baba zao wakila bata ubelgiji akili kichwani hawana
 
Miafrika akili haina kazi kuwana tu, hio Congo haiwezi kutulia sio sababu ya Kagame, ni sababu ya USA na Western hao hawawezi kukubali mwafrika aishi kwa amani na starehe kwenye mali zao.
Akili huna mbona Kagame na watusi waliokuwa wakionewa kongo walipoenda kumvurumisha dikteta mobutu kumtoa madarakani mbona hamkusema hilo kuwa Western powers na Kagame wanataka kukalia kongo na kuiba madini nk mbona Wapiganaji walishangiliwa sana na wakongo
 
Mkuu kwa kuliona hili, unadhani nini kifanyike?
Kwanza inatakiwa tupende nchi zetu kwanza kuliko kitu chochote, tusikubali kudhuru nchi zetu.

Pili, nilazima tujitahidi sana kutoa elimu ya kifo sababu kila mmoja atakufa, lazima kila mmoja afanye mazuri kwenye nchi yake, wananchi na viongozi.

Tuepukane na tamaa ya kupenda wewe tu upate vizuri, na wengine huwafikiri, lazima unacho penda wewe kiwe kizuri kwako na family yako, wenzako pia na family zao wapate wanacho kipenda.

Huwezi kufikiria tumbo lako bila kuwafikiria wenzako, ukianza mchezo wakufikiria tumbo lako na family yako tu, bila kuwafikiria wengine basi ujuwe unakaribisha chuki, ujambazi na etc

Tatizo kubwa la viongozi wa kiafrica na warabu, wanafikiria matumbo yao kwanza, na hapo ndipo adui wanapenya kutumia hizo tamaa zao.

US au Western hawawezi leta mzizi wa fitna kwa kiongozi anaye penda nchi yake, wananchi wake, na taifa lake.

Unless aone huyo kiongozi yuko mbali na hizo point.
 
We ndio kapime akili zako vizuri, umelewa nilicho ongea?

Au unarukia kujibu tu.
 
Palikua na mkataba wa kupewa ardhi mashariki ya congo, kabila akauvunja baada ya kuingia ikulu,na si watusi Bali Uganda na Rwanda,palikua na maslahi,yalipoenda kombo hata Uganda na Rwanda walipigana ndani ya Congo
 
Wanyarwanda wamekuwa wakishiriki katika kuwatoa madarakani viongozi wa Congo. Serikali ya Rwanda ilishiriki moja kwa moja katika kumuua Kabila kwa kutowajumuisha Wanyarwanda waliomsaidia katika mapinduzi katika Serikali yake mpya. Kwa kifupi M23 ni extended arm ya Rwanda iliyoundwa kwa lengo la kuiwezesha Rwanda kuiba ndani ya Congo
 
Ok sasa mkuu, mwisho umewaongelea walio kwenye position ya kusisitiza na kuhakikisha hayo yanafanyika kwenye nchi zao ( African leaders). Swali langu juu yako nini kifanyike ili turekebishe hali? We are in a vague current situation that'needs a reformation, wewe kama mwananchi nafasi yako ni ipi kurekebisha hali?
 
Hii hoja yako haina ukweli. Congo Mashariki inakaliwa na Watutsi hata kabla ya Ukoloni. Ilikuwa ndani ya Ufalme wa himaya ya watutsi. wakati wa ukoloni sehemu kubwa ya utawala wa Watutsi iliwekwa chini ya utawala wa Mbelgiji na kipande kuwa chini ya German East Afrika kama ambavyo wamasai wa walijikuta ndani ya himaya mbili za Mwingereza (Kenya) na Mjerumani (tanganyika). sawa sawa na Wamamonde n Wamakua na wanyasa na hata wakura na wajaluo. tatizo kongo baada ya uhuru wanataka Watutsi waondoke.
 
Mwananchi anaweza kuplay part yake kwenye faida ya nchi yake.

Mfano kama ana elimu aitumie hio elimu yake kwa faida ya watu wote, kama ana biashara ajaribu kuwapa maarifa na wengine vipi kufanya biashara zingine sio lazima kama yake, au kama yake na asichukue faida kubwa sana kukandamiza wananchi.

Kuwapa Ideas watu kwenye kilimo, transportation n.k

Mwananchi anaweza kusaidia nchi yake akawa mlinda amani, msaidizi wa kusaidia vilema n.k

Mwananchi sio kila kitu ategemee serekali imsaidie yeye pia anaweza isaidia serekali kwa njia tofouti
 
Mimi sijapinga hoja ya kuwa Congo ina Watutsi kuanzia wakati wa ukoloni. Hoja ni kuwa, hawa wamekuwa wakitumiwa na Rwanda katika kuihujumu Congo.
 
Tukirudi katika comment yako yako ya kwanza kabisa kwakuwaita waafrika ni kondoo sana na wanahitaji watu wa kuwafundisha wakafocus katika maisha ni vigumu sana, swali langu je wewe ni mmoja wa hao watakaowafundisha waafrika kwasababu tayari umeshapevuka na ni vigumu kupatikana au ni miongoni mwa waongeaji/watupa lawama tu bila suluhisho kivitendo?

Do Africans need people who are very talkative without being positive impact oriented?
Can you make it more substantiated please?
 
Mimi sijapinga hoja ya kuwa Congo ina Watutsi kuanzia wakati wa ukoloni. Hoja ni kuwa, hawa wamekuwa wakitumiwa na Rwanda katika kuihujumu Congo.
Hawajawahi kutumiwa na Rwanda kuihujumu Congo. Isipokuwa tangu mara tu baada ya uhuru hawa Watutsi wamekuwa wakitendewa sivyo kama vile hawastahili kuishi Congo. Kama Congo hawatakiwi wanatakiwa kukataliwa pamoja na kipande chao cha ardhi waliyokuwa wakiikalia tangu kabla ya ukoloni.
 
Shida ni hao watusi wanajikubali kua ni wakongo au bado wanajinasibu kua ni warwanda...

Mfano mmasai au mjaluo wa Tz atabaku kua mtz na mkenya anakubali kua ni mkenya..

Shida ya hao watusi unaowatetea hua wanajitia uspecial sana na pia hawakubali kua ni raia wa nchi hiyi wanaishi, sasa kama ni ivo warudi kwao, au waiishi kama wakimbizi
 
Tatizo si kuwakubalia , tatizo liko jamaa wanataka wakikubaliwa wawe na haki zote hasa za kisiasa za kugombea nafasi zote hadi urais na pia hata kuteuliwa wasiwe raia wa kukaa tu , kitu ambacho DRC hataki
 
Sawa sawa
 
UN wanafiki sana. Wakati Kagame na Kabalebe wanamtoa Mobutu walikuwa wapi?. Yani Rwanda ni Wazuri wakati wa kumtoa Dikteta ila wakati wa Kulinda kundi la Wanyamulenge lililotengwa nchini Kongo ni shida.
unauhakika wanalinda au wapo kuteka machimbo ya madini,

Hao hao rwanda walikua wanatuma vikosi vya uasi kuwa ua wanyamenge ili ionekane kua kuna genocide wapate sababu ya kuendelea kuwepo kongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…