Wanajeshi 3000 hadi 4000 wa Rwanda wanashirikiana na waasi wa M23 katika mapigano mashariki mwa Kongo

Wanajeshi 3000 hadi 4000 wa Rwanda wanashirikiana na waasi wa M23 katika mapigano mashariki mwa Kongo

Nipe comments nilio andika Wafrica ni makondoo, kuna tofauti ya mtu kushangilia genocide, kwa sababu amedangan'ywa eti Israel taifa teule.

Bibilia zenu zina ongelea neno Israel ambaye ni mtu, sio hio Israel ambayo ni nchi ilio undwa 1948, wakati huo bibilia zilisha tungwa hakuna wala taifa hilo mnalo jidai ni teule , sa hapo nikiwaita watu hao kondoo ni kosa.

Usichangan'ye mkristo na mataifa .

Kuna wakati napo sema miafrica au miarabu kumbuka kuna target ya % hapo naongelea wanao pigana vita, au wanao wasikiliza wazungu sio wote.

Kila point inatokana na kisa, leo nyie mnapo waita waislam ni magaidi, mmekuja na dalili zipi, mpaa kila anaye pigana na Israel au America ni gaidi?

Au mnafato Western propoganda na Israel, na wakusudia badhi ya wakristo hapo karibu 85%, sio wote.

Usilete point ambayo sija kusudia, wewe unaye shangilia genocide, kwanini unatafuta solutions za maisha sasa, sishika basi na wewe bunduki umalize matatizo, kama kila unapo ongelea mada basi ndio akili yako ndio hio.

Kila mada inajibiwa kutokana na insight
Sidhani kama kuna sehemu nimeongea kuunga mkono genocide au wanachofanya wazungu juu ya waafrika. Maswali yangu yalikuwa ni kukuchimba ili niweze kupata ufafanuzi wako wa kina juu ya kile unachokisema na kukiamini.
Miafrika akili haina kazi kuwana tu, hio Congo haiwezi kutulia sio sababu ya Kagame, ni sababu ya USA na Western hao hawawezi kukubali mwafrika aishi kwa amani na starehe kwenye mali zao.

Wafrika ni makondoo sana, kupata watu wenye akili wakafocus na maisha ya nchi zao, na kuhudumia wananchi zao ni vigumu sana
Hapo nilibold usipakimbie, umeniomba nikuoneshe wapi uliposema waafrika ni kondoo sana. Usiwe unasahau unachokisema mwanzo na kukonclude kwa ya mbele yanayokujia kichwani. Mpaka sasa najidhihirisha kuwa
1. Wewe ni mdini; you're very biased when it comes to westernization
2. Negative oriented person; Unapenda kulaumu pasipo kuwa na solutions katika kile unacholaumu.
Katika yote uliyoyaongea hakuna strong strategy ambayo waafrika wanaweza wakatumia kujikwamua toka katika hali uliyoiongelea.
Conclusions; kama vijana tujenge tabia ya kuchambua mambo with solutions ambazo hata ukiwezeshwa na kupewa nafasi ya kutatua utakuwa na uwezo wa kufanya moja mbili tatu na jamii ikaona kile unachokisimamia.
 
Huyu bingwa Kagame, namkubali sana

1720568366096.png
 
Sidhani kama kuna sehemu nimeongea kuunga mkono genocide au wanachofanya wazungu juu ya waafrika. Maswali yangu yalikuwa ni kukuchimba ili niweze kupata ufafanuzi wako wa kina juu ya kile unachokisema na kukiamini.
Vipi useme sidhani kwani wewe ni hi tu mada umechangia, wakati kuna mada zingine unawasupport Israel.

Hapo nilibold usipakimbie, umeniomba nikuoneshe wapi uliposema waafrika ni kondoo sana. Usiwe unasahau unachokisema mwanzo na kukonclude kwa ya mbele yanayokujia kichwani. Mpaka sasa najidhihirisha kuwa
1. Wewe ni mdini; you're very biased when it comes to westernization
2. Negative oriented person; Unapenda kulaumu pasipo kuwa na solutions katika kile unacholaumu.
Katika yote uliyoyaongea hakuna strong strategy ambayo waafrika wanaweza wakatumia kujikwamua toka katika hali uliyoiongelea.
Conclusions; kama vijana tujenge tabia ya kuchambua mambo with solutions ambazo hata ukiwezeshwa na kupewa nafasi ya kutatua utakuwa na uwezo wa kufanya moja mbili tatu na jamii ikaona kile unachokisimamia.
Hi point ulio highlighted ambayo tunaiongelea inawapoint wanao shiriki uwaji na kuwasupport Western na US agenda.

Ukisoma kuanzia mwanzo wa kujibu kwangu hio point naongelea wanao uwana. Wanao pigana vita huko Congo, ni nani wazungu?

Ulitaka niseme wazungu ni makondoo? Makondoo ni wale wafrica wanao uwana.

Nilisha kuambia kila mada inajibiwa kutokana na mada yenyewe, sa we akilini kwako wanao pigana kule Congo, ni wote hawa wanapigana kwa faida zao, na watoto zao?

Au wanepewa bunduki na tupesa ambazo hazita wasaidia lolote, wanao faidika ni Western, US na ma puppets wao tu, sa hao wana akili?

Si bora wangetafuta asali wakauza, au biashara zingine kuliko biashara kuwauwa watu wasio na hatia, utakuwa huna raha duniani wala kule akhera, lazima kwenye hesabu pale kwa Mungu utahukumiwa tu kwa makosa yako

Hio ya kusema nachukia Western sio kweli, nachukia vitendo vya serekali zao na wajinga wanao wasupport.
 
Back
Top Bottom