Wanajeshi 3000 hadi 4000 wa Rwanda wanashirikiana na waasi wa M23 katika mapigano mashariki mwa Kongo

Tusti waliopo Congo wanajitambua kama Wacongo ila Congo ndo haiwatambui. Inawaona kama wakuja.
 
mkuu we mwenye akili umesaidia nini hii nchi???

Wengine hatuna akili haya we mwenye akili umetatua tatizo gan la africa

Stupid barking dog
 
Umesahau na USA hukoo
 
Hawajawahi kutumiwa na rwanda, UN wanasema wanajeshi wa rwanda takribani 3000 hadi 4000 wako congo wakiwasaidia hao watutsi m23, kuchinja wakinamama na watoto na huku wakiwachomea wengine ndani ya nyumba zao, kwa hiyo unadhani ni sawa tukisema kuwa m23 ni jeshi kutoka rwanda? Au wanajeshi wa rwanda ndiyo m23 wenyewe? Kati ya m23 na rpf yupi ni mzalendo mwenye mapenzi mema kwa congo?
 
UN wanafiki sana. Wakati Kagame na Kabalebe wanamtoa Mobutu walikuwa wapi?. Yani Rwanda ni Wazuri wakati wa kumtoa Dikteta ila wakati wa Kulinda kundi la Wanyamulenge lililotengwa nchini Kongo ni shida.
Haya bhana, endeleeni kulinda kundi la wanyamulenge.
 
Tusti waliopo Congo wanajitambua kama Wacongo ila Congo ndo haiwatambui. Inawaona kama wakuja.
Watutsi hawatakiwi hata huko rwanda kwenyewe!! Usijifanye hujui chanzo cha 1994 genocide ni watutsi (20%)kujipa superiority against HUTUS(80%) na siku paka akilala wahutu watapokelewa kwa nderemo kwenye mipaka ya kongo watakapoenda kuwasaidia wakongo kuwafurusha hao inyenzi (cokroaches) wa mwisho baada ya kuhakikisha kuwa ardhi ya rwanda ipo safi kama sufi.
 
Nipe comments nilio andika Wafrica ni makondoo, kuna tofauti ya mtu kushangilia genocide, kwa sababu amedangan'ywa eti Israel taifa teule.

Bibilia zenu zina ongelea neno Israel ambaye ni mtu, sio hio Israel ambayo ni nchi ilio undwa 1948, wakati huo bibilia zilisha tungwa hakuna wala taifa hilo mnalo jidai ni teule , sa hapo nikiwaita watu hao kondoo ni kosa.

Usichangan'ye mkristo na mataifa .

Kuna wakati napo sema miafrica au miarabu kumbuka kuna target ya % hapo naongelea wanao pigana vita, au wanao wasikiliza wazungu sio wote.

Kila point inatokana na kisa, leo nyie mnapo waita waislam ni magaidi, mmekuja na dalili zipi, mpaa kila anaye pigana na Israel au America ni gaidi?

Au mnafato Western propoganda na Israel, na wakusudia badhi ya wakristo hapo karibu 85%, sio wote.

Usilete point ambayo sija kusudia, wewe unaye shangilia genocide, kwanini unatafuta solutions za maisha sasa, sishika basi na wewe bunduki umalize matatizo, kama kila unapo ongelea mada basi ndio akili yako ndio hio.

Kila mada inajibiwa kutokana na insight
 
mkuu we mwenye akili umesaidia nini hii nchi???

Wengine hatuna akili haya we mwenye akili umetatua tatizo gan la africa

Stupid barking dog
Kwani wewe ni katika hao wanao pigana vita? Muwe mnaelewa mtu anakusudia nini, kabla ya kujibu fikiria napo sema miafrica inayo uwana, wewe ni mmoja wapo au 😄

We ndio barking dog, kwani wewe uko Porini huko congo unapigana vita, basi wewe ndio hao miafrika isio kuwa na akili.
 
Kupigana ni nature ya binadamu hasa ukiwa masikini ! Wakongo hawana choice nchi za magharibi zina wauzia silaha waasi waue watu wao watoroshe madini
So ukielewa kinachoendelea huwezi kusema hawana akili
 
Kupigana ni nature ya binadamu hasa ukiwa masikini ! Wakongo hawana choice nchi za magharibi zina wauzia silaha waasi waue watu wao watoroshe madini
So ukielewa kinachoendelea huwezi kusema hawana akili
Sikuwa nafamu mwenye akili ni lazima auwe wenzake, ili maisha yake yawe mazuri, kwa hio hata majambazi utawasifia waingie kwenye majumba ya watu, wauwe wapate pesa.

Sawa nimekuelewa sasa, ndio mana akili yangu na wewe zimepishana sana, kama vile mbingu na ardhi 😄
 
Tatizo kwenye Nini?. Kulinda watu wenye asili ya kitusi nchini Kongo?. Halafu Kagame angejua angeyaachaga makongoman yapambane na Mobutu yenyewe. Akayasaidia kupitia James Kabarebe kumtoa Mobutu leo hayana shukrani.
Watu hao wenye asili ya kitutsi ni raia wa rwanda?
 
we akili huna!! Tukusamehe

sijui hata umri wako!!….
Unafikiri sudan watu wanapenda kuuliwa? au kuwana
Somalia,ukraine, drc,central africa….
Aisee ebu nenda kwene fb kwa watoto wenzio
 
we akili huna!! Tukusamehe

sijui hata umri wako!!….
Unafikiri sudan watu wanapenda kuuliwa? au kuwana
Somalia,ukraine, drc,central africa….
Aisee ebu nenda kwene fb kwa watoto wenzio
Mimi nadhani bora nikuwache na ujinga wako kama unadhani hao wanao pigana vita wana akili.

Mwenye akili hawezi kupigana vita isio na malengo, we jiulize Sudan wanao pigana lengo lao ni nini, Ukraine walikuwa na maisha mazuri kuliko sasa, lengo lao ni nini kumfurahisha Biden 😄

DRC ni vita vya wizi wanao faidi ni US na Western ndio nikasema miafrica mijinga.

We dogo mimi na kuzaa kabisa hata baba yako mdogo kwangu, nenda kanywe maziwa ulale.

Vita ni vile Hamasi na Hezbullah hivyo ndio vita vya kugombana, wana dai ardhi zao na hazirudi bila kuwala vichwa wayahudi.
 
Sasa mbona kama unanizaa mbona akili huna mzee!!

Eti wanapigana???
kuna mwananchi huwa anapiga kura kwamba tuanze kupigana au unajikuta uko katikati ya risasi??

Ni lini wa ukraine walipiga kura kua wanataka vita na Russia au ni wanasiasa wanaamua kwa manufaa yao??
Ni lini wakongo walisema sasa sisi tunataka kupigana na rwanda au waasi?

Mkuu mbona kama kichwa huna

Civilian mara zote ni victim babuu
Tumia akili hata kidogo!! basi
 
Si ndio nakuambia wewe akili huna wanaye pigana wawe viongozi au wananchi?

Mimi sijasema civilian wana makosa rudia uwe unaelewa nacho ongea, nilicho sema yanayo pigana vita kwa faida ya viongozi wao, au kwa ajili ya faida ya hao Western na US, ni mijinga iwe miafrica, miarabu au hao Ukraine.

We tatizo lako akili ni ndogo huelewi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…