Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wote elimu hawana, Kuna wasomi kule wale maafisa wa juu, kwani wabakaji wote hawajasoma au wamesoma, ni tabia tu za watu au mtu.Wanajeshi wetu wa bongo elimu Hawana wao wanaamini kuwa wanajeshi umemaliza kila kitu, waishie huko huko hatutaki vibaka sisi
aisee miaka hii kuna madudu yanaendelea uko nini? , kipindi cha nyuma huu ujinga haukuwepo kabisa
Lazima msala uwepo kwani wakuu wa huku wameenda kuchunguza piaHivi wakija huku si wana msala au?
Siti ya Mbele Kabisa TBC 1Msitutoe kwenye reli tunataka kuona kinacho jiri leo tukiuza bandari
Vitani ubakaji ni mkubwa sana.Acheni ubakaji,kama unampenda demu basi "ongea naye mpaka mwisho ni mia tano" in Masai voice
Nalog off
Walinda Amani wengi wa Tanzania Kongo wao huiba sana DhahabuSasa Hawa ni wanajeshi wenye sheria na nidhamu kubwa sembuse mwajiriwa wa kawaida?
Yote hii ni mifano ya jinsi Watzn hawana maadili,ukiacha Hilo la ubakaji ila Kuna wizi,uvivu ,uongo na kutafuta shortcut bila kusahau unafiki, visingizio na ulalamishi usio na Tija ndio maana hakuna sehemu Kuna Ufanisi.
Hadi UN wakufukuze ni kweli na Nchi haitaaminika tena.Damn it
Kama ni kweli Court martial them.
Lazima warudi tuWanajeshi wetu wa bongo elimu Hawana wao wanaamini kuwa wanajeshi umemaliza kila kitu, waishie huko huko hatutaki vibaka sisi