fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
Acha wabebe tu hyo bandari ila kwa huyu msichana navompenda bandari haina maana kwangu nimependa kijana wenu sioni wala sisikiiKwa RAIA wa sampuli hii Waarabu wameshabeba Bandari zetu.
Penzi ni kitovu cha uzembe. Ngoswe.Acha wabebe tu hyo bandari ila kwa huyu msichana navompenda bandari haina maana kwangu nimependa kijana wenu sioni wala sisikii
Usingelialia mitandaoni.Acha wabebe tu hyo bandari ila kwa huyu msichana navompenda bandari haina maana kwangu nimependa kijana wenu sioni wala sisikii
Sasa kwani si kasema yupo morogoro maana ake alikua Madagascar au huoni zote ni M? sehemu jirani izoMkuu SI uli niambia uko Madagascar 🤔, na Hauwezi kuishi nchi yenye vumbi Kama hii😂😁 fundi bishoo
Mkuu hizi lugha za kificho raia hawatakiwi kuzijua.Sasa kwani si kasema yupo morogoro maana ake alikua Madagascar au huoni zote ni M? sehemu jirani izo
Daah hii situation nayopitia ni ngumu mkuu roho inaniuma sana huwez aminiMkuu SI uli niambia uko Madagascar 🤔, na Hauwezi kuishi nchi yenye vumbi Kama hii😂😁 fundi bishoo
Ulimwengu huu mwenye kisu kikali ndio anayekula nyama, tusifarijiane.Usungelialia mitandaoni. Mwanaume anapenda, anamlunda ampendae lakuni hapotezi muda kwenye kulialia. Bora ungeomba ushauri, lakini wewe unalialia
Aaah!!! Sio kweLi mjeda anampa vtu demu lkn demu anavkataa sema haelewi kabsa huyu mjeshiongea na huyo mjeda kwanza labda kuna vitu hujui
Mkuu Ume toka lini Madagascar 🤔, tuanzie hapo😁😁.Daah
Daah hii situation nayopitia ni ngumu mkuu roho inaniuma sana huwez amini
Basi tuseme mkuu hapo unanishauri nn apo kijana wenu nko over stressed sjawahi penda hv naumia roho sanUsungelialia mitandaoni. Mwanaume anapenda, anamlunda ampendae lakuni hapotezi muda kwenye kulialia. Bora ungeomba ushauri, lakini wewe unalialia