little master
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 1,870
- 3,589
Kwamba wewe officer?Unakuta unapigwa biti na NCO
Tafuta hela tu hao watu wanaheshima sana tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba wewe officer?Unakuta unapigwa biti na NCO
Tafuta hela tu hao watu wanaheshima sana tu
Daaah aiseee huu moyo Wa kupenda hiv mmeutoa wapi kituko cha shetan kina kuja muda s mwingiAcha wabebe tu hyo bandari ila kwa huyu msichana navompenda bandari haina maana kwangu nimependa kijana wenu sioni wala sisikii
Wapi washenI tu wanapenda kutumia pesa kama silaha kwa mademu wenye tamaa
Jidanganye.Ndio utamu wenyewe huo vacation Dubai mengine hayatuhusu[emoji23][emoji23]
Halafu wanajua kupenda na likikupenda unalipelekesha tu kila unachotaka anakupaa
Oyaaa wajeda wote nawakubali sana kwenye suala la mapenzi
Mama Mzungu endelea kujidanganya sku wakuingize gridi ya taifaJidanganye.
Mapenzi hayana mwenyewe mkuu kupnda sio ushetaniDaaah aiseee huu moyo Wa kupenda hiv mmeutoa wapi kituko cha shetan kina kuja muda s mwingi
Huu siyo ukweli MkuuBro hamna mwanamke anayesumbuliwa na mwanaume ni either alishakula pesa za huyo mwanaume au wapo kwenye mahusiano na hapo msumbufu ni wewe.
Ushauri mzuri sana. Akili ndo kiboko ya watumia nguvuTumia akili
Usitumie nguvu kama yeye
Achana na madem wa kibongo awanaga chaguo maarum had wakifikisha miaka 35 ndo wanaanza kupoa wenge rudi madagasca tafuta pisi kariii afu rud bongo ulingishie.Nmetokanmda mrefu nko uku morogoro kwa sas nlkuja kuja kula maisha na my wangu ila dah roho inaniuma
Ukweli mchungu huuAchana na madem wa kibongo awanaga chaguo maarum had wakifikisha miaka 35 ndo wanaanza kupoa wenge rudi madagasca tafuta pisi kariii afu rud bongo ulingishie.
Uyo dem wa kibongo unae muina anakupenda sana unapo kuwa madagasca mjeda anamkaza
Na kwako ana winda pesa zako na promo za kuishi nje ya nchi
Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
Dooh mapenzi ka mkubwaKuruti ni kimashine kidogo cha jeshi..
Sasa wewe endelea kuzania demu wako mjeda ana msumbua.
Piga chini tafuta demu mwingine.
Mama Mzungu endelea kujidanganya sku wakuingize gridi ya taifa
Akileta undezi tia sumu tu. Mambo mengine ya kif*la sanaKwema niko chaka mji kasoro bahari huku nimepata mwanamke mzuri sana ananipenda tena yuko vzr haswaa ila changamoto ni Hawa jamaa sijui wapoje ningekua na uwezo wa kumroga ningemroga uyu jamaa anamsumbua demu wangu.
Mda mrefu sasa anafkia hatua ya kumtishia maisha kisa yy mjeshi.
Wakuu, naumia roho sana namuona kioenzi changu anakosa furaha kisa mtu mmoja tu.
Kama upo humu ww mjeda acha kufosi tafuta wako pesa na soon naenda kukupga kimbola naenda Tanga kununua uchawi ww s unarngia madaraka afu mtu mwenyewe kuruti hana vyeo hauna.
Oyaah mkuu huyo Mjeda ulimzabua..au ndio swaga za MitandaoniKwema niko chaka mji kasoro bahari huku nimepata mwanamke mzuri sana ananipenda tena yuko vzr haswaa ila changamoto ni Hawa jamaa sijui wapoje ningekua na uwezo wa kumroga ningemroga uyu jamaa anamsumbua demu wangu.
Mda mrefu sasa anafkia hatua ya kumtishia maisha kisa yy mjeshi.
Wakuu, naumia roho sana namuona kioenzi changu anakosa furaha kisa mtu mmoja tu.
Kama upo humu ww mjeda acha kufosi tafuta wako pesa na soon naenda kukupga kimbola naenda Tanga kununua uchawi ww s unarngia madaraka afu mtu mwenyewe kuruti hana vyeo hauna.