Wanajeshi acheni ubabe, mapenzi hayafosiwi. Kwa nini ufosi ikiwa mtu hakutaki?

Wanajeshi acheni ubabe, mapenzi hayafosiwi. Kwa nini ufosi ikiwa mtu hakutaki?

Kwema niko chaka mji kasoro bahari huku nimepata mwanamke mzuri sana ananipenda tena yuko vzr haswaa ila changamoto ni Hawa jamaa sijui wapoje ningekua na uwezo wa kumroga ningemroga uyu jamaa anamsumbua demu wangu.

Mda mrefu sasa anafkia hatua ya kumtishia maisha kisa yy mjeshi.

Wakuu, naumia roho sana namuona kioenzi changu anakosa furaha kisa mtu mmoja tu.

Kama upo humu ww mjeda acha kufosi tafuta wako pesa na soon naenda kukupga kimbola naenda Tanga kununua uchawi ww s unarngia madaraka afu mtu mwenyewe kuruti hana vyeo hauna.
Sasa kama mimi mjeda,harafu dem wangu achukuliwe na boya mmoja, unataka nikubali kirahisi kama raia? Sasa usoja wa, nini? Nilienda depo kwa, ajiri ya nini?
Ni sawa sawa na engineer wa umeme, switch isumbue, harafu nite fundi wa kitaa, mi nakubonda live! Nenda polisi!
Let's be honest bro! Hata ungekuwa wewe, mtu achukue dem wako, harafu ukubali kirahisi? Aah,wapi!! Raia tu huwa, wanapigana, sembuse uguse dem wa soja!!
 
Wapi Sasa
Pangawe , Sangasanga, Ngerengere, Mzinga

Sema Vizuri
 
Kwema niko chaka mji kasoro bahari huku nimepata mwanamke mzuri sana ananipenda tena yuko vzr haswaa ila changamoto ni Hawa jamaa sijui wapoje ningekua na uwezo wa kumroga ningemroga uyu jamaa anamsumbua demu wangu.

Mda mrefu sasa anafkia hatua ya kumtishia maisha kisa yy mjeshi.

Wakuu, naumia roho sana namuona kioenzi changu anakosa furaha kisa mtu mmoja tu.

Kama upo humu ww mjeda acha kufosi tafuta wako pesa na soon naenda kukupga kimbola naenda Tanga kununua uchawi ww s unarngia madaraka afu mtu mwenyewe kuruti hana vyeo hauna.
Nakumbuka miaka ya nyuma kuna faza mmoja alimpiga nyundo ya bega mjeda alikua anamfuatilia sana wife wake ilikua vichekesho sana maana mjeda alilia kama mbuzi mida ya saa moja hivi alikwatuliwa na nyundo na uzuri aliempiga alikua na ndugu anamuita uncle ambaye alikua mkuu wa kambi ya navy kigamboni hivyo mambo yakaisha . Huyo faza mpka leo namuona anapiga zake boda mpole sana ila sikuile anasema alishindwa kuvumilia kuona mjeda anamzuia mkewake asiende nyumbani kisa kamkataa tena anamzuia njiani asipite😂😂😂
 
Wew muwek Sawa demu wako tuu , ajibu kadiri inavyowezekana

Mwambie mwanamke wako ajiamin hakun lolote atalowez mfanya
ILA ikitokea jamaa kajichanganya kwako muwashie Moto

Ila kama ulikuta mahusiano Yao play your part


[emoji613]eti mwanajesh anatishia kuua mwanamke anae mtongoza[emoji880]


Hakun kitu kibay kama kumpambania mwanamke kwa mwanaume mwingne ni upuuzii
 
Kama una uhakika anamtishia maisha na ushahidi upo niambie nikupe njia sahihi ya kwenda kumuwajibisha huyo jamaa ila cha msingi awe mkeo au mchumba ambaye ni rasmi mpo kwenye mikakati ya ndoa , barua, au utambulisho unajulikana kanisani au kwa wazazi wenu wote.
Haijalish awe mchumba rasm au mchepuko hiyo ni kesi ukiwez kukusanya ushahid
 
Hatua ya kwanza, in such a situation, maamuzi hubaki kwa Mwanamke. Yeye ndiye mwenye jukumu la kumuweka mbali, siyo wewe.
Kama amefanya jitihada lakini imeshindikana, then face the person kiungwana ili uweze kupata the other side of the story, maana hadi hapo una one side of the story.
Hizo zote ni approaches, baada ya hapo ndiyo action plan hutengenezwa kulingana na taarifa zilizokusanywa.
Comments hii inapasw kumalz huu mjadala
Well said brother

Na rate 5star [emoji817][emoji91]
 
MTOA MADA DEMU ULIEMTOA BIKRA USIOE


nimeandk kwa maandish makubwa you will come later to thanks me [emoji123][emoji123][emoji113][emoji113][emoji113]
 
Wew muwek Sawa demu wako tuu , ajibu kadiri inavyowezekana

Mwambie mwanamke wako ajiamin hakun lolote atalowez mfanya
ILA ikitokea jamaa kajichanganya kwako muwashie Moto

Ila kama ulikuta mahusiano Yao play your part


[emoji613]eti mwanajesh anatishia kuua mwanamke anae mtongoza[emoji880]


Hakun kitu kibay kama kumpambania mwanamke kwa mwanaume mwingne ni upuuzii
Nmekuelewa vzr sana mkuu hakika umesema ukweli kbsa aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwema niko chaka mji kasoro bahari huku nimepata mwanamke mzuri sana ananipenda tena yuko vzr haswaa ila changamoto ni Hawa jamaa sijui wapoje ningekua na uwezo wa kumroga ningemroga uyu jamaa anamsumbua demu wangu.

Mda mrefu sasa anafkia hatua ya kumtishia maisha kisa yy mjeshi.

Wakuu, naumia roho sana namuona kioenzi changu anakosa furaha kisa mtu mmoja tu.

Kama upo humu ww mjeda acha kufosi tafuta wako pesa na soon naenda kukupga kimbola naenda Tanga kununua uchawi ww s unarngia madaraka afu mtu mwenyewe kuruti hana vyeo hauna.
We karoge sio uje humu utuombe ushauri.
Mwanaume unaamua na kusimamia maamuzi yako
 
Kama huyo demu wako kala vitu vya huyo Bwana lazima aliwe,Cha msingi fanya uchunguzi wa kina,huwa wanawasiliana vipi na huyo mjeda,
 
Kama huyo demu wako kala vitu vya huyo Bwana lazima aliwe,Cha msingi fanya uchunguzi wa kina,huwa wanawasiliana vipi na huyo mjeda,
Huyu dem nahisi amekula tu vtu vya huyu jamaa sio bure kabsa😰😰
 
Back
Top Bottom