dan87
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 394
- 175
Heavy weight ndezi, unata kuua mwenzio?paka conc. sulphuric acid mkuu ili utoe na kidevu kisiwepo kabisa maana akili huna.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heavy weight ndezi, unata kuua mwenzio?paka conc. sulphuric acid mkuu ili utoe na kidevu kisiwepo kabisa maana akili huna.
Asante sana mkuuPiga mvuke uso wako tumia wembe mpya kunyoa.
Jua uelekeo wa ndevu zako.
Usitumie nguvu kabisaa wakati wa kunyoa fanya km unafuta.
Paka sabuni yoyote acha ikauke
Osha kwa maji vuguvugu.
Interval ya kunyoa izingatiwe ili kuondoa kulazimisha.
•Inategemea na asili ya ngozi yk.
Kwanini haifai mkuu?Aifai iyo kitu
Hata hivyo, ndani ya week lazima ndevu ziote na kuchoma na kutoa vipele.
-Chakujiuliza ni hikikuwashwa na mapele juu! Hivyo vipele havina dawa
Hahaha waxing au?Kwa Bibi huko hyo kazi naweza kuifanya mimi,karibu. Hutoki vipele kabisa..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Fuga ndevu ili usikomae kidevu wewe,
Sasa utakuwa unakuna nini ukiwa unafikiria maisha?
Hebu tuwekee kwanza picha yako ukiwa na ndevu, na ile ambayo huna ndevu! Pamoja na picha za hao wanajeshi/askari ambao ni nadhifu wakiwa wamenyoa hizo ndevu, ili tulinganishe.Direct kwenye hoja
Mimi ni miongoni mwa wasiopenda ndevu kabisaa. Nikitoa ndevu naonekana nazifu sana na najisikia kujiamini kuliko nikiacha ndevu ziote.
Utaratibu wangu ni kunyoa mara Moja Kwa week na inanigalimu sana na inanipotezea muda. Hata hivyo, ndani ya week lazima ndevu ziote na kuchoma na kutoa vipele.
Mwanzo nilikua natumia nyembe nikaona sipati matokeo nayoyataka nikawa natumia mashine but no any improvement.
But wanajeshi na askali Kwa matakwa ya taaluma Yao huwa hawafugi ndevu na always wako smart. Ebu wakuu tusaidieni hints za namna ya kunyoa ndevu na kuhepuka kutokea vipele.
Karibuni
hahahahaSasa utakuwa unakuna nini ukiwa unafikiria maisha?
Sasa utakuwa ni mwanaume wa aina gani wewe usiye na ndevu? Hivi na wanawake nao wakisema hawataki kuwa na matiti, utawaelewa?Sizipendi ndevu
[emoji23][emoji23][emoji23]Yani videvu vyao laiiinii kama tako lamtoto. Sasa ukute kidevu cha mpwayungu village (JF person of the year 2022) kilivyo rough utadhani ngumi ya ajuza.
Hapana hairuhusiwiInaweza kutumika kwa nywele za kwa bibi
Hivi hii waxing wanavyovuta vile hawawezi nyofooa mbususu kweliHahaha waxing au?
Umenikumbushaa mbali 😅😅,unatak afe conc HClPaka conc. sulphuric acid mkuu ili utoe na kidevu kisiwepo kabisa maana akili huna.
Sheria uchwaraWanateseka Sana usiwaone videvu vyeupe .waulize wenye saloon karibu na kambi zao utaambiwa wananyoa mpaka Kwa mkopo maana ukikutwa na ndevu unapewa Lindo ndo kama sio zamu yako
Usijaribu loveInaweza kutumika kwa nywele za kwa bibi
Pia ushuz wa ngamia uliolewekwa kwa ustadi na ufasaha.Wanatumia unga wa risasi kupaka kidevuni kama After Shving
njoo pm mamii...Hahaha waxing au?