Wanajeshi wa Israel wameandamana kumpinga Netanyahu kwa kitendo cha kumfukuza Gallants

Wanajeshi wa Israel wameandamana kumpinga Netanyahu kwa kitendo cha kumfukuza Gallants

Narudia tena, ni hatari kupigana vita na hivi vikundi kama Hamas, Hizbollah nk, hawa wameshajikataa na hawana cha kupoteza
Una maanisha nini kusema kua Hamas na Hizbullah wameshajikataa na hawana cha kupoteza?

Hivyo vikundi vinapigania uhuru wao,hao ni freedom fighters ila westerners wamewaaminisha kua ni vikundi vya kigaidi kwa maslahi yao,unapochoka kuonewa na kufungiwa mipaka,utakua tayari kufanya lolote lile ili kujiokoa.
 
NETANYAHU anakisasi cha tangu ujanani baada ya kuuwawa kaka ktk oposheni entebe uyo jsmaaa ndio atasababisha kuanguka icho kitaifa vita inawagalimu sio pesa pesa wanazo tatizo kubwa wajeda wanakufa sana na vita sasa avipoi kwenye miji yao AD nayo tatizo tofaut n siku za nyumu hii inapelekea watu kuikimbia ISRAEL kwawingi na wengi wao wanasema awatorudi tena. ISRAEL ilifanyakazi sana kuwashawish watu waende Israel sasa mavita vita yanawachosha. Raia wajeda.na Netanyahu kakaza fuvu lake la vita vita akiwa na lengo la kuuwa wapalestin wengi kuliko yoyote,
Raia wa Israel wanaishi kama nguchiro wakihofia makombora
 

Attachments

  • IMG_20241106_215137.jpg
    IMG_20241106_215137.jpg
    30.4 KB · Views: 1
Una maanisha nini kusema kua Hamas na Hizbullah wameshajikataa na hawana cha kupoteza?

Hivyo vikundi vinapigania uhuru wao,hao ni freedom fighters ila westerners wamewaaminisha kua ni vikundi vya kigaidi kwa maslahi yao,unapochoka kuonewa na kufungiwa mipaka,utakua tayari kufanya lolote lile ili kujiokoa.

Mtu anayepigania haki yake na ambaye ameshapoteza mamia ya ndugu zake, kifupi tunasema amejikataa (Hana cha kupoteza) na kifo sio hofu tena kwake, lazima apigane mpaka mwisho apate haki yake.

Kupigana vita na watu wa namna hii ni stress, maana mtakuwa mnapigana vita isiyoisha na mwisho wake ni pale haki itakapopatikana.
 
Mtu anayepigania haki yake na ambaye ameshapoteza mamia ya ndugu zake, kifupi tunasema amejikataa (Hana cha kupoteza) na kifo sio hofu tena kwake, lazima apigane mpaka mwisho apate haki yake.

Kupigana vita na watu wa namna hii ni stress, maana mtakuwa mnapigana vita isiyoisha na mwisho wake ni pale haki itakapopatikana.
Nimekuelewa Mkuu.
 
Kuna mambo yanachanganya kidogo, hivi tulitarajia baada ya Yahudi kuvamiwa na Hamas asilipize na kutoa dozi nene aka dozi Bartazar kwa kobazi? Ingekua unyonge sana wazee
 
Bado sijaiamini hiyo taarifa kwamba mwanajeshi mwenye kiapo cha utii kwa mamlaka na kuifia nchi afanye uhaini/uasi huo hadharani.Ngoja niifuatilie mkuu.
Ndio taarifa haina uhakika lakini harakati za jeshi ni kusonga mbele tu hata kama munaambiwa ujinga ujinga, japo wengi IDF hawataki kwenda gaza kwakua watalazimika kuua watoto matokeo yake wanarudi vichaa. Kuna wale reserve waliandika barua kugoma kwenda Lebanon
 
Na bado laana itawaandama hao naamini ipo siku watapigana wenyewe kwa wenyewe..huwezi kuua watu kwa uonevu kisha ukaishi salama lazima maisha yako yataandamwa na mikosi tu.

Hao ni watu waliolaaniwa
 
Gallant alikuwa anapingana na Netanyahu kwa muda mrefu, hata suala la mateka, Gallant alionelea ni vyema yafanyike mazunguzo na si vita kuendelea...

Kama hao askari wanaandamana unafikiri ina maana ipi?
all in all, vita ni mbaya japo haepukiki duniani humu.

at this waring planet
 
Bado sijaiamini hiyo taarifa kwamba mwanajeshi mwenye kiapo cha utii kwa mamlaka na kuifia nchi afanye uhaini/uasi huo hadharani.Ngoja niifuatilie mkuu.
Mbona mara nyingi tu hao IDF huko Gaza waligoma,kuna wale zaidi ya mia walitia saini petition ya kugonga,wakarudishwa home,wapo waligoma kwenda msitari wa mbele,hilo jeshi ni hovyo,ni vile halikusukwasukwa tu,sasa mbinyo kidogo,nyufa kibao
 
Wanajeshi anaopinga uamuzi wa kumfukuza Gallant waziri wa Ulinzi kimewakasirisha na kuungana na wapinzani katika maandamano ya kumpinga Netanyahu hii imetokea leo Israel.

Zaidi Tazama hapa Wanajeshi Wa Israel wakiandamana
Anastasia ni antisemitic, hivyo akipata kataarifa kadogo tu ka kuichafua Israel ataikuza sana. Mm ninachjua Israel is a democracy tena iliyokomaa.usitegemee kuwe na coup. Mtaruhusiwa to vent your anger mtaaani, lakini itabidi mtumie ballot box kumtoa kiongozi madarakani
Au mtumie mahakama.
Kwa sasa waislamu wetu wa huko Gaza, Judea & Samaria na Lebanon wajue tu ni kichapo mpaka complete victory. Kwa Trump anataka wakati anaapishwa Netanyahu awe amezimaliza hizo vita, ili yeye afanyekazi ya kuleta amani ya kudumu na kuimaliza vita ya Ukraine na Russia bila mtutu wa bunduki. Hamas and Hezbollah are doomed
 
Back
Top Bottom