Wanajeshi wa Israel wameandamana kumpinga Netanyahu kwa kitendo cha kumfukuza Gallants

Wanajeshi wa Israel wameandamana kumpinga Netanyahu kwa kitendo cha kumfukuza Gallants

NETANYAHU anakisasi cha tangu ujanani baada ya kuuwawa kaka ktk oposheni entebe uyo jsmaaa ndio atasababisha kuanguka icho kitaifa vita inawagalimu sio pesa pesa wanazo tatizo kubwa wajeda wanakufa sana na vita sasa avipoi kwenye miji yao AD nayo tatizo tofaut n siku za nyumu hii inapelekea watu kuikimbia ISRAEL kwawingi na wengi wao wanasema awatorudi tena. ISRAEL ilifanyakazi sana kuwashawish watu waende Israel sasa mavita vita yanawachosha. Raia wajeda.na Netanyahu kakaza fuvu lake la vita vita akiwa na lengo la kuuwa wapalestin wengi kuliko yoyote,
Anaamini jeshi lake lina uwezo mkubwa sana na tashinda likini kinachosikitisha kila siku anapokea maiti
 
Kuondolewa gallant, askari kugoma ni dalili ya vita kwenda mrama,vita vingekua vinaenda poa waziri wa ulinzi asingefukuzwa,unamfukuzaje waziri wa ulinzi nchi ipo vitani!?
Ndo ujinga nimeona kwa Netanyahu ni kiongozi asiyekuwa na busara .kiongozi gani anagombna na kila mtu na kuwakoromea viongozi wa ulaya
 
Ndio taarifa haina uhakika lakini harakati za jeshi ni kusonga mbele tu hata kama munaambiwa ujinga ujinga, japo wengi IDF hawataki kwenda gaza kwakua watalazimika kuua watoto matokeo yake wanarudi vichaa. Kuna wale reserve waliandika barua kugoma kwenda Lebanon
Na pia isreli wako too exosted hawakutegemea kupigana vita virefu hivyo
 
Ndo ujinga nimeona kwa Netanyahu ni kiongozi asiyekuwa na busara .kiongozi gani anagombna na kila mtu na kuwakoromea viongozi wa ulaya
Mgonjwa akili yule jamaa,bill clinton aliudhika nae sana,ana superiority complex ya uteule,wakati ni mpoland jina la babu yake mileikowsky benzion wa Poland
 
Back
Top Bottom