Wanajeshi wa Israel wanakabiliwa na hatari kubwa ya kukamatwa nje ya nchi baada kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza

Wanajeshi wa Israel wanakabiliwa na hatari kubwa ya kukamatwa nje ya nchi baada kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza

Hii ni chuki tu dhidi ya wayahudi.

Wanataka kuwafunga mikono kwa kutumia vitisho vya sheria ila sidhani kama hii itaathiri operation tokomeza ugaidi hapo Gaza.
Ndio kwanza bunge la Israeli limepiga kura kuongeza kipigo zaidi kwa magaidi hasa upande wa kaskazini.
Hamna kurudi nyuma
 
Mkuu, wewe ni mjinga sana wa elimu. just google "genocide convention of 1948", isome uone maana ya genocide ni nini. kwa makosa ya aina hiyo, kitu ambacho israel anaweza kuwa amefanya ni crimes against humanity (mauaji ya halaiki), au wa crimes (makosa ya kivita). kwenye hayo makosa ya vitani yapo manne,
1. genocide (mauaji ya kimbari)
2. crimes against humanity (mauaji ya halaiki)
3. war crimes (makosa ya kivita)
4. crime of aggression (nchi kuvamia nchi nyingine bila sababu).

katika makosa hayo yote manne, Mahakama ya kimataifa ilipoangalia viini vya kosa, imeona Genocide (mauaji ya kimbari) hayajafanyika, kwa yote hayo unayoyaona Gaza hapajatokea mauaji ya kimbari, ila wakaona elements za makosa zilizoojenga substantial case ni "wa crimes" nayo sio kwa ajili ya mashambulizi, bali kwa sababu israel alitumia njia ya kunyima chakula kuingia Gaza. na Kiongozi wa icc ni mwarabu toka Misri. binafs ninachoamini, pale Israel anaweza kuwa amefanya makosa ya crimes against humanity kwa kupiga eneo lenye raia na hiyo war crimes.

sasa wewe ukiona kuna bomu limedondoshwa kwenye makazi ya watu unasema hiyo ni genocide, hapana, definition ya hilo kosa sio. kupiga maeneo ya raia kama anavyofanay israel ni crimes against humanity, kwa kiswahili ni MAUAJI YA HALAIKI (sio ya kimbari), tofautisha hayo makosa mawili. usichanganye mauaji ya kimbari (genocide) na mauaji ya halaiki kama yale ya gaza (crimes against humanity). na, nina uhakika, ICC hawajataja kosa la crimes against humanity kwa sababu waliona israel ana sababu za justification, magaidi wenu wengi walikuwa wanajichanganya na raia, ndio maana wamesita kidogo kutaja hilo kosa.

haya mambo huwa hayataki hasira, kama huna elimu na akili unatakiwa kusubiri wenye uelewa wakuelimishe na ukielimishwa unatakiwa ukubali kuelewa. kosa la genocide ni gumu sana kumeet vigezo vyake. kobaz wengi mnasikiliza al jazeera wanaposema kuna genocide gaza bila kujua lengo lao, lengo lao sio kwamba hawaelewi kuwa pale hakuna genocide ila kuna hayo makosa mengine, wanachotafuta ni kukoleza chumvi ili ulimwengu uone kama israel inafanya genocide. ni kampeni ya al jazeera kutangaza kwamba pale kuna genocide, ila hakuna elements za makosa ya genocide.
Masahihisho kidogo:
1. GENOCIDE-Mauaji ya Kimbari.
2. WAR-CRIME-Makosa ya kivita
3. CRIME AGAINST HUMANITY-Makosa dhidi ya binadamu.
 
Wanaukumbi,

Wakili aliyewasilisha kesi hiyo kwa niaba ya taasisi hiyo, Maira Pinheiro, alinukuliwa na vyombo vya habari vya Brazil akisema kwa vile Brazili imetia saini Mkataba wa Roma, inawajibika kuhakikisha kuwa uhalifu uliotolewa katika sheria hiyo (uhalifu wa kivita, uhalifu dhidi ya ubinadamu na mauaji ya halaiki) huchunguzwa na kuadhibiwa.

Sasa hivi hawa wanajeshi Magaidi wataendelea kukamatwa kila watakapo kuwa wanasafiri kwa Ugaidi wanaofanya huko Gaza.

Source: CNN https://search.app/3RMGSRBB1KUKwVPHA


View: https://x.com/silentlysirs/status/1875859180474761308?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hii ni chuki tu dhidi ya wayahudi.

Wanataka kuwafunga mikono kwa kutumia vitisho vya sheria ila sidhani kama hii itaathiri operation tokomeza ugaidi hapo Gaza.
Ndio kwanza bunge la Israeli limepiga kura kuongeza kipigo zaidi kwa magaidi hasa upande wa kaskazini.
Hamna kurudi nyuma
Changamoto ni Magaidi kujichanganya na Raia.
Hawajitokezi kama wapiganaji,
Hujitokeza kama wafugaji, watu ibada na wakulima wa kawaida.
Kumbe ndio haohao wapiganaji
 
Masahihisho kidogo:
1. GENOCIDE-Mauaji ya Kimbari.
2. WAR-CRIME-Makosa ya kivita
3. CRIME AGAINST HUMANITY-Makosa dhidi ya binadamu.
whatever the case, mauaji ya halaiki ni moja ya matendo yenye elements za makosa dhidi ya ubinadamu, kwa sababu sio crimes against humanity zote zinahusisha mauaji. ila ukiongea na raia wa kawaida anayetazama Gaza, yale mashambulizi kwenye maeneo ya raia, hospitali, shuleni n.k ili mtu aelewe huwa tunasema tu mauaji ya halaiki yaani yasiochagua combatants na non-combatants ili tu mtu aelewe haraka. ila kwa maana halisi, upo sahihi, ukitohoa crimes against humanity ni makosa dhidi ya ubinadamu.
 
Yahudi jeusi limechafukwa 😀
Arabu jeusi linalia lia....bado sana. Umefufuka upya. Mayahudi yametembeza kichapo hadi Assad kakimbia. Maarabu mengine nayo hoi. Maafrika tuna furahi... Wacha zipigwe.....
 
Kama ulikuwa hujui hii Palestina unayoisema wewe ilianzishwa na Yaser Arafat Mwaka 1967 huko nyuma halikuwepo taifa lililokuwa linaitwa Palestina. Israel ilikuwepo zaidi ya miaka 3,000 iliyopita!! Enzi za akina Daud na Suleman. Kwa taarifa yako hiyo nchi haikuwepo na haitakuwepo!!
Wewe zwazwa na wenyewe amuoni aibu kuwa mazwazwa na ndio kumpigania mungu wenu basi mnamdhalilisha mungu ajawapa iyo kazi ambayo amuiwezi kiasi sasa mnamdhalilisha sijui Jehova Wenye Akili watajiuliza kama mungu wenu nyinyi ni Wakweli kwann nyinyi mnatumia uwongo kumwinua mungu wenu!!! JE NIKWELI walemavu vipofu viziwi wanapona kupitia mikelele ya Manabii mitume wachungaji JE wafu!!!!!!!!! Kama sio kweli awawezi pona kwenye ukweli lkn wanaweza pono kwenye mchongo tu JE kwann mmeamua kumdhalilisha uyo mungu wenu. Mnamsemea uwongo kuwa anaponya lkn aponyi JE MUNGU kawatuma apana sasa mnaangakia nini njaaaaa tu. Naamin mungu aitaji uduma zenu kwamaana azina msaada kwake zaid mnafosi kumdhalilisha ohhh kaponya kile na kile wkt yeye anawachungulia tu mnavyomtumia kutajilika kupitia yeye naaamini siku akikasilika akaamua kuja basi viboko vitaanza kwa awa mitume na manabiii akiwadai pesa zake.!!!!! Kisha nyinyi mnaotumwa na wachungaji na ao mitume na wengine mudanganye watu yani munampigania ktk uwongo!!! Mtapigwa na bakora ya waya ya moto. Ndio akili zitawalejea acheni Utapeli
 
Wapalestina wakamatwe kwa kufanya ubakaji, uuaji wa wajawazito , wazee , watoo\to na wasio na hatia 7-1-2023
Ukiombwa ushahidi utatoa? Unadhani wapalestina ni akina congo na kenya!! Wale wanapigana kwa ajili ya Allah, wapo tayari kwa lolote ili ardhi wasidhulumike
 
Ee saafi sana watafia hapo hapo Israel hakuna kusafiri. Kwanza hao ni international land robbers kamwe usiwakaribishe kwenye nchi yako hawaaminiki
 
Ukiombwa ushahidi utatoa? Unadhani wapalestina ni akina congo na kenya!! Wale wanapigana kwa ajili ya Allah, wapo tayari kwa lolote ili ardhi wasidhulumike
Allah anasema vita yake atapigana mwenyewe, hajaomba msaada!

Kutoka 14:14

"Bwana atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya."
Huu ni ujumbe wa Musa kwa Waisraeli walipokuwa wakikabiliwa na Wamisri waliokuwa wakiwafuatilia. Mungu alionyesha uwezo wake wa kujipigania kwa kuwagawanyia Bahari ya Shamu.

2 Wafalme 19:34 "Kwa kuwa nitalitetea mji huu ili niuokoe, kwa ajili yangu mwenyewe na kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu."
Huu ni ushahidi mwingine wa Mungu kujipigania na kulinda jina lake pamoja na ahadi zake.​


Mayahudi Mungu wao anawapigania, ninyi mnampigania, aloo!
 
Wewe zwazwa na wenyewe amuoni aibu kuwa mazwazwa na ndio kumpigania mungu wenu basi mnamdhalilisha mungu ajawapa iyo kazi ambayo amuiwezi kiasi sasa mnamdhalilisha sijui Jehova Wenye Akili watajiuliza kama mungu wenu nyinyi ni Wakweli kwann nyinyi mnatumia uwongo kumwinua mungu wenu!!! JE NIKWELI walemavu vipofu viziwi wanapona kupitia mikelele ya Manabii mitume wachungaji JE wafu!!!!!!!!! Kama sio kweli awawezi pona kwenye ukweli lkn wanaweza pono kwenye mchongo tu JE kwann mmeamua kumdhalilisha uyo mungu wenu. Mnamsemea uwongo kuwa anaponya lkn aponyi JE MUNGU kawatuma apana sasa mnaangakia nini njaaaaa tu. Naamin mungu aitaji uduma zenu kwamaana azina msaada kwake zaid mnafosi kumdhalilisha ohhh kaponya kile na kile wkt yeye anawachungulia tu mnavyomtumia kutajilika kupitia yeye naaamini siku akikasilika akaamua kuja basi viboko vitaanza kwa awa mitume na manabiii akiwadai pesa zake.!!!!! Kisha nyinyi mnaotumwa na wachungaji na ao mitume na wengine mudanganye watu yani munampigania ktk uwongo!!! Mtapigwa na bakora ya waya ya moto. Ndio akili zitawalejea acheni Utapeli
Wewe zwazwa na wenyewe amuoni aibu kuwa mazwazwa na ndio kumpigania mungu wenu basi mnamdhalilisha mungu ajawapa iyo kazi ambayo amuiwezi kiasi sasa mnamdhalilisha sijui Jehova Wenye Akili watajiuliza kama mungu wenu nyinyi ni Wakweli kwann nyinyi mnatumia uwongo kumwinua mungu wenu!!! JE NIKWELI walemavu vipofu viziwi wanapona kupitia mikelele ya Manabii mitume wachungaji JE wafu!!!!!!!!! Kama sio kweli awawezi pona kwenye ukweli lkn wanaweza pono kwenye mchongo tu JE kwann mmeamua kumdhalilisha uyo mungu wenu. Mnamsemea uwongo kuwa anaponya lkn aponyi JE MUNGU kawatuma apana sasa mnaangakia nini njaaaaa tu. Naamin mungu aitaji uduma zenu kwamaana azina msaada kwake zaid mnafosi kumdhalilisha ohhh kaponya kile na kile wkt yeye anawachungulia tu mnavyomtumia kutajilika kupitia yeye naaamini siku akikasilika akaamua kuja basi viboko vitaanza kwa awa mitume na manabiii akiwadai pesa zake.!!!!! Kisha nyinyi mnaotumwa na wachungaji na ao mitume na wengine mudanganye watu yani munampigania ktk uwongo!!! Mtapigwa na bakora ya waya ya moto. Ndio akili zitawalejea acheni Utapeli
Hoja yako hii ipeleke kwenye jukwaa la dini huko ndiko unaweza kujibiwa vizuri! Lakini Baki ukijua hii Palestina unayoijua wewe leo ni ya Michongo ilianzishwa 1967 na Yasser Arafat lakini Israel ilikuwepo zaidi ya miaka 3,000 iliyopita Soma historia vizuri!!!!
 
Allah anasema vita yake atapigana mwenyewe, hajaomba msaada!

Kutoka 14:14

"Bwana atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya."
Huu ni ujumbe wa Musa kwa Waisraeli walipokuwa wakikabiliwa na Wamisri waliokuwa wakiwafuatilia. Mungu alionyesha uwezo wake wa kujipigania kwa kuwagawanyia Bahari ya Shamu.

2 Wafalme 19:34 "Kwa kuwa nitalitetea mji huu ili niuokoe, kwa ajili yangu mwenyewe na kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu."
Huu ni ushahidi mwingine wa Mungu kujipigania na kulinda jina lake pamoja na ahadi zake.​


Mayahudi Mungu wao anawapigania, ninyi mnampigania, aloo!
Tofautisha broo,
Huyu anayejipigania mwenyewe plus kupigania watumishi (wafuasi) wake na kuangamiza maadui wote ni Yehova, Mungu muumbaji.

Huyo anayepewa msaada wa kupiganiwa na kutetewa na wanadamu ni Allah
 
Back
Top Bottom