Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu naye aliwachokoza?[emoji116]TATIZO LA WAPALESTINA HUWA WANAANZA WAO UCHOKOZI, WENZIO WAKIJIBU WANAANZA KUJILIZA NA NDEVU ZAO
Ni kweli islaer ni taifa teule la mungu.., lakini ukifuatilia vitabu vya injili hii Hali haikuanza Leo,ndio maana hata bwana yesu aliwaonya sana kwamba kwa kuwa wamekuwa wakatili na kuona hii zawadi waliyopewa na mungu si kitu kwao,basi hii zawadi ya uzima wa milele watapewa watu wa mataifaNimeiona hii habari Al Jazeera nimesikitika sana
Halafu kuna wapuuzi wanasema Israel taifa teule la Mungu
SI KWELINi kweli islaer ni taifa teule la mungu
HUWA WANAKIMBILIA KUTAKA KUONEWA HURUMATATIZO LA WAPALESTINA HUWA WANAANZA WAO UCHOKOZI, WENZIO WAKIJIBU WANAANZA KUJILIZA NA NDEVU ZAO
Hivi mnajua kuwa Israel ndilo taifa pekee ambalo vipimo vyake huongezeka katika ramani ya dunia kwa kupokonya ardhi ya Wapalestina?HUWA WANAKIMBILIA KUTAKA KUONEWA HURUMA
Leo limefika ngapi?Hivi mnajua kuwa Israel ndilo taifa pekee ambalo vipimo vyake huongezeka katika ramani ya dunia kwa kupokonya ardhi ya Wapalestina?
Hata miaka hiyo Mungu hakuwapa ushindi wa mezani. Walipigana na adui zao vita haswa na ushindi ukaja kwa njia hizo. Ukiangalia vita vya Ukraine vizuri, utagundua Israeli ana huruma sana.Nimeiona hii habari Al Jazeera nimesikitika sana
Halafu kuna wapuuzi wanasema Israel taifa teule la Mungu
Kaangalie ramani ya Israel kwenye ramani ya dunia miaka ya 1990's na sasaLeo limefika ngapi?
Hata miaka hiyo Mungu hakuwapa ushindi wa mezani. Walipigana na adui zao vita haswa na ushindi ukaja kwa njia hizo. Ukiangalia vita vya Ukraine vizuri, utagundua Israeli ana huruma sana.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Kule Urusi na Ukraine uboronge,na huku pia uboronge.Ni kweli islaer ni taifa teule la mungu.., lakini ukifuatilia vitabu vya injili hii Hali haikuanza Leo,ndio maana hata bwana yesu aliwaonya sana kwamba kwa kuwa wamekuwa wakatili na kuona hii zawadi waliyopewa na mungu si kitu kwao,basi hii zawadi ya uzima wa milele watapewa watu wa mataifa
Ndipo tutawaona Ibrahim na isaka na yakobo wakifurahi katika ufalme wa mungu huku Wana wa ufalme( islaer) wakitupwa nje kwenye Giza Nene hambapo kutakuwapo kilio na kusaga meno
Kama hawakuweza kumstahi mwana pekee wa mungu, unafikiri hao wapalestna watawastahi kwa lipi?
Ni kweli islaer ni taifa teule la mungu.., lakini ukifuatilia vitabu vya injili hii Hali haikuanza Leo,ndio maana hata bwana yesu aliwaonya sana kwamba kwa kuwa wamekuwa wakatili na kuona hii zawadi waliyopewa na mungu si kitu kwao,basi hii zawadi ya uzima wa milele watapewa watu wa mataifa
Ndipo tutawaona Ibrahim na isaka na yakobo wakifurahi katika ufalme wa mungu huku Wana wa ufalme( islaer) wakitupwa nje kwenye Giza Nene hambapo kutakuwapo kilio na kusaga meno
Kama hawakuweza kumstahi mwana pekee wa mungu, unafikiri hao wapalestna watawastahi kwa lipi?
Israel lilikuwa taifa teule lakini baada ya kuwakataa manabii wa Mungu, Mungu akaachana nao.
Ona hapa Yesu aliwachana bila kuficha Wayahudi
MATHAYO 23:37, 38
37. Ee Yerusalemu, Yerusalemu! Unayewaua manabii. Unawapiga kwa mawe wale ambao Mungu amewatuma kwako. Mara nyingi nimetaka kuwasaidia watu wako. Nimetaka kuwakusanya watu wako kama kuku anavyowakusanya vifaranga wake chini ya mbawa zake. Lakini hukuniruhusu kufanya hivyo.
38. Sasa Hekalu lako litaachwa ukiwa kabisa.
Hii ilikuwa ni laana kwa taifa la Israeli la kale na kuanzia hapo wakawa watumwa kwa taifa la Roma (Roman Empire) na wakatawanyika kutoka pale Israeli kwenda maeneo ya Ulaya.
Eneo lao likawa ukiwa
Baadaye ardhi/eneo lao likachukuliwa na Wapalestina
Baada ya miaka mingi ya kutangatanga, kubaguliwa na mateso huko Ulaya, Marekani na maeneo mengine duniani, Wayahudi wakarudi kinguvu mwaka 1949 wakipewa support ya UN, Marekani na Uingereza kuwaondoa Wapalestina wakidai ni nchi yao ya ahadi kwenye movement iliyoitwa ZIONISM MOVEMENT
Yeah 😅😅😅Nabii musa (Moses)naye pia alipata tabu na hao wana Israel.
Kawatoa utumwani kwa pharaoh ila hizo tabu walizompa [emoji28][emoji28]