JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Sio huo tu, angalia na kaskazini, Tunisia inachowafanyia wakimbizi weusi wa Afrika, imewafukuza mjini, ikawapeleka Jangwani mpakani mwa Tunisia na Libya!!Huu ndiyo ukatili wa hali ya juu unaoendelea huko Palestina na huku Dunian ikifumbia macho haya yote.
View attachment 2700747
Kwanza, inawaona nuksi,haitaki uchangamano, nao,haitaki hata kuwapa uraia, inahofia wakiwa wengi, itazidi idadi ya wa Arab!