Wanajeshi wa SADC waua wapiganaji wa kiislamu 30

Wanajeshi wa SADC waua wapiganaji wa kiislamu 30

Kasema waislam wanampigania mungu wao,tatizo uelewa wako huwa mdogo
Unajua watu wanachanganya brother sio kila anachopgania muislamu basi kinauhusiano na dini yake unaweza kuwa muislamu lakini vita unavyopgana havihusiani na dini yako hila unapgana kwa maslahi yako binafsi hila watu wakiona muislam kashika bunduki wanajua jihadi sio kila vita ni jihadi
 
imhotep pita hapa perhaps mnaweza kuacha propaganda eti rwanda waliwamaliza hawa magaidi 😀,jeshi la rwanda wakati linafika mozambique tayari majeshi ya SADC yalishakuwepo kitambo na bado yapo frontline,jeshi la rwanda limeenda kupiga picha tu na kuwaaminisha wafuasi wake kama wafuasi kama wapo vizuri while hamna kitu
Jeshi la Rwanda kwanza msumbiji limeendana baina ya mkataba na msumbiji na wagner group ambao nao wanamkataba na nchi ya Rwanda kwaajili ya msumbiji na Afrika ya kati
Rwanda kazi yake kule ni kuwalinda wafaransa wanaochimba gesi hajaenda kwa mwamvuli wa SAMIM
 
He detailed that the deceased are two military personnel from Tanzania and Botswana and added that the clashes resulted in the death of more than 30 suspected terrorists and the seizure of weapons, ammunition and equipment.
Rip...
 
Na magari yetu waliyoharibu na wayacheue mazima mazima shenzi type wanawachafua waislamu wakati tuko nao kutwa tunabishana mambo ya ihefu huku hao wana lao jambo pambaf na wafe wote
 
Mpambano mkali baina ya wanajeshi wa SADC na wapiganaji wa kiislamu ambao humpigania 'mungu' wao umeshuhudiwa Msumbiji na hatimaye wapiganaji 30 wakawahishwa kule peponi.....


The mission sent by the Southern African Development Community (SADC) to northern Mozambique to combat terrorism in Cabo Delgado has confirmed the death of two of its members in clashes on November 29 in the district of Nangade that resulted in the death of more than 30 suspects.

The Regional Operations Coordination Mechanism of the SADC Mission in Mozambique (SAMIM) has indicated in a statement that "the unfortunate incident took place on November 29, 2022 in the area of Nkonga village, Nangade district, during a contact with Ahlu Sunnah Wa-Jamaah terrorists," a group popularly known as Al Shabaab.

He detailed that the deceased are two military personnel from Tanzania and Botswana and added that the clashes resulted in the death of more than 30 suspected terrorists and the seizure of weapons, ammunition and equipment.

The head of SAMIM, Mpho Molomo, and the SAMIM Force Commander, Xolani Mankayi, expressed their "heartfelt condolences" to the families of the deceased soldiers and reiterated the commitment of the force to "restore peace and stability in the province of Cabo Delgado (...) through the degradation of all types of terrorist activities and violent extremism".

The Mozambican authorities have highlighted during the last months an improvement of the security situation in the area due to joint operations with Rwandan special forces and troops deployed by SADC.

Thus, the Mozambican Minister of Defense, Cristovao Chume, assured in mid-November that the jihadist groups "do not have permanent bases" in the province of Cabo Delgado, before indicating that the jihadists are divided into small groups which have lost their positions due to the operations of the security forces.

Cabo Delgado has been the scene since October 2017 of attacks carried out by Islamist militiamen known as Al Shabaab, unrelated to the homonymous group operating in Somalia, which maintains ties with Al Qaeda. Since mid-2019 they have been mostly claimed by Islamic State in Central Africa (ISCA), which has stepped up its actions since March 2020.

Good work
 
Unajua watu wanachanganya brother sio kila anachopgania muislamu basi kinauhusiano na dini yake unaweza kuwa muislamu lakini vita unavyopgana havihusiani na dini yako hila unapgana kwa maslahi yako binafsi hila watu wakiona muislam kashika bunduki wanajua jihadi sio kila vita ni jihadi
Huenda unachotaka kusema sicho wanachomaanisha hawa waislam tuliowaona kibiti na sasa wako Mozambique
 
Watumie drones ili askari wasipate madhara. Naamini kwa SADC afrika ya kusini wapo juu kwenye teknolojia ya vita na vifaa vya kisasa
Siyo kila vita inaweza piganwa kwa drones, drones hushambulia structure na equipment,.
 
Unajua watu wanachanganya brother sio kila anachopgania muislamu basi kinauhusiano na dini yake unaweza kuwa muislamu lakini vita unavyopgana havihusiani na dini yako hila unapgana kwa maslahi yako binafsi hila watu wakiona muislam kashika bunduki wanajua jihadi sio kila vita ni jihadi


Ni kweli mkuu, mambo ya aina hiyo yanapatikana hata katika dini zingine, mfano kuna makanisa yanayofungisha ndoa za mashoga hadharani, je ni kweli Ukristo kupitia Biblia inaruhusu Ushoga ??.--- Uisilamu kupitia Qur'an hauruhusu aina yoyote ya uuaji, dhuluma, ugaidi, mateso na kila aina ya uhalifu na mtu akifanya mambo hayo ni sawa tu na yule padri aliyefungisha mashoga kanisani au mtu yeyote aliyefanya uhalifu kwa jina la Ukristo.

MK254 ningependa ujifunze jambo hilo kwani wewe umeonyesha chuki kubwa sana dhidi ya dini ya Uisilamu, kumbuka wafuasi wa dini wanaweza kwenda kinyume na sheria za dini ili kukidhi matamanio yao binafsi hivyo dini itabaki kama dini na mafundisho yake na wafuasi watabaki kuwa wafuasi ama wafuate mafundisho au wapotoke kwenye mafundisho ya dini.
 
Maneno ya Mtume bado yanaendelea kuua watu.

Nimeamini kuwa huyo mtume hakika alikuwa mtume wa Majini.

Majini kamwe hayaachi matendo maovu.
 
Maneno ya Mtume bado yanaendelea kuua watu.

Nimeamini kuwa huyo mtume hakika alikuwa mtume wa Majini.

Majini kamwe hayaachi matendo maovu.

Umeandika kwa chuki na ushabiki tu, unaelewa maana "jinni".??!
 
Back
Top Bottom