Wanajeshi wa SADC waua wapiganaji wa kiislamu 30

Wanajeshi wa SADC waua wapiganaji wa kiislamu 30

Eneo letu la kusini lipo kwenye hali ya hatariz hususan maadui zetu wanapigana vita za msituni (Guerrilla Warfare); eneo lote la Mtwara lina hii kadhia, nakumbuka Simbachawene alishawahi kuweka clear kwamba JW haliwezi kupigana na adui asiyeonekana
 
Ni kweli mkuu, mambo ya aina hiyo yanapatikana hata katika dini zingine, mfano kuna makanisa yanayofungisha ndoa za mashoga hadharani, je ni kweli Ukristo kupitia Biblia inaruhusu Ushoga ??.--- Uisilamu kupitia Qur'an hauruhusu aina yoyote ya uuaji, dhuluma, ugaidi, mateso na kila aina ya uhalifu na mtu akifanya mambo hayo ni sawa tu na yule padri aliyefungisha mashoga kanisani au mtu yeyote aliyefanya uhalifu kwa jina la Ukristo.

MK254 ningependa ujifunze jambo hilo kwani wewe umeonyesha chuki kubwa sana dhidi ya dini ya Uisilamu, kumbuka wafuasi wa dini wanaweza kwenda kinyume na sheria za dini ili kukidhi matamanio yao binafsi hivyo dini itabaki kama dini na mafundisho yake na wafuasi watabaki kuwa wafuasi ama wafuate mafundisho au wapotoke kwenye mafundisho ya dini.

Hiyo dini yenu na mwarabu mumeagizwa kuua wasio waislamu imekaa kigaidi gaidi na pia kuendekeza mambo ngono mpaka huko peponi, hamna sehemu duniani yenye waislamu wengi imekaa salama, ni mauaji tangu mwarabu alipoianzisha.
Haya hapa maagizo mliyopewa ya kuua watu wasio waislamu, nyie mnaojifanya kuishi kwa amani mumedandia tu

Verses that instructs killings in quran
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Umeandika kwa chuki na ushabiki tu, unaelewa maana "jinni".??!
Chuki kwa neno gani nililosema.
Hebu liweke hapa nilione.

Jinni ni ndugu wa Waislamu.
Kwa mujibu wa maelekezo ya Mtume.

Nyie ndio mtuelekeze
Kuwa hao ndugu zenu wa Kijini wapoje.
 
Huyo si muislamu Ni mpumbavu mmoja mvaa rozari mwenye chuki dhidi ya uislamu,,akihama hapo kwa shemej yake atakuwa na akili.
Umetanguliza chuki, na kwa sababu hiyo umejikuta unatetea dini yako kwa kuelekea kutusi dini nyingine

Hao Alhu Sunna wa Jama, wanadai vita yao ni hiyo, kosa lake liko wapi? Hata kama si kweli, ila mtoa post has nothing to do with your derogatory, kuwa na staha.
 
SADC, after failing abysmally to help uplift the regional people from economic woes and crushing poverty, has now shifted focus to a bloody militarism agenda.
 
Chuki kwa neno gani nililosema.
Hebu liweke hapa nilione.

Jinni ni ndugu wa Waislamu.
Kwa mujibu wa maelekezo ya Mtume.

Nyie ndio mtuelekeze
Kuwa hao ndugu zenu wa Kijini wapoje.


Unajua nini maana ya neno "jinn"??, inawezekana fikra zako zikawa hasi kuhusu neno "jinn" na hivyo kupelekea maana potofu kila unaposikia neno "jinn" likitajwa.

Hii ni sawa linapotajwa neno "Tongoza", kutongoza maana yake ni kumshawishi mtu ili atimize haja fulani, lakini leo ukizungumza "tongoza" moja kwa moja linakwenda kwenye mambo ya ngono kinyume na uasilia wa neno lenyewe, watu wameli "specify"hilo neno, ni hivyo hivyo kwa neno "jinn" watu wame li specify kumaanisha maana wanazofikiria wao kinyume na muktadha wa mahali husika ambapo neno hilo linaweza kupatikana.
 
Hiyo dini yenu na mwarabu mumeagizwa kuua wasio waislamu imekaa kigaidi gaidi na pia kuendekeza mambo ngono mpaka huko peponi, hamna sehemu duniani yenye waislamu wengi imekaa salama, ni mauaji tangu mwarabu alipoianzisha.
Haya hapa maagizo mliyopewa ya kuua watu wasio waislamu, nyie mnaojifanya kuishi kwa amani mumedandia tu

Verses that instructs killings in quran
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”


Eti unasema; "hiyo dini yenu na Mwarabu----"

Kutokana na hayo maneno yako ni dhahiri mtu anaweza kutambua chuki KALI uliyonayo juu ya Uisilamu, lazima utambue kuna Uisilamu na Waisilamu, sio kila muisilamu anaweza kufuata barabara mafundisho ya Uisilamu ni hivyo hivyo pia kwa Ukristo na Wakristo wapo Wakristo hawafuati Ukristo na matendo yao machafu wanayanathibisha na Ukristo.

Aya za Quran ulizotoa yakupasa pia usome aya hii;

(5:32 Qur'an ) " --- whoever killed a person unless it be for killing a person or creating disorder in the land it shall be as if he had killed all mankind"

Pia soma: (22:39 Qur'an) ujue ni kwa mazingira gani Waisilamu tunatakiwa tupigane, na hizo aya ulizoleta zipo chini ya hii aya, hii aya ndio msingi wa hizo aya.

Pia usisahau kusoma (Mathayo 10:34) ukumbuke na ujifunze Yesu anasemaje juu ya umwagaji damu.---- boriti hilo jichoni mwako.
 
Eti unasema; "hiyo dini yenu na Mwarabu----"

Kutokana na hayo maneno yako ni dhahiri mtu anaweza kutambua chuki KALI uliyonayo juu ya Uisilamu, lazima utambue kuna Uisilamu na Waisilamu, sio kila muisilamu anaweza kufuata barabara mafundisho ya Uisilamu ni hivyo hivyo pia kwa Ukristo na Wakristo wapo Wakristo hawafuati Ukristo na matendo yao machafu wanayanathibisha na Ukristo.

Aya za Quran ulizotoa yakupasa pia usome aya hii;

(5:32 Qur'an ) " --- whoever killed a person unless it be for killing a person or creating disorder in the land it shall be as if he had killed all mankind"

Pia soma: (22:39 Qur'an) ujue ni kwa mazingira gani Waisilamu tunatakiwa tupigane, na hizo aya ulizoleta zipo chini ya hii aya, hii aya ndio msingi wa hizo aya.

Pia usisahau kusoma (Mathayo 10:34) ukumbuke na ujifunze Yesu anasemaje juu ya umwagaji damu.---- boriti hilo jichoni mwako.

uislamu wenyewe unajichukia, tangu muarabu aanzishe hiyo dini isiyo na amani hata kidogo dunia haijawahi kutulia, mumekaa kigaidi gaidi na kuendekeza ngono hadi peponi, hamna sehemu hata moja yenye waislamu wengi isiyokua na mauaji na mavurugu.

Mumepandikizwa chuki moja kwa moja kwenye maandiko yenu

Verses that instructs killings in quran
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Mpambano mkali baina ya wanajeshi wa SADC na wapiganaji wa kiislamu ambao humpigania 'mungu' wao umeshuhudiwa Msumbiji na hatimaye wapiganaji 30 wakawahishwa kule peponi.....


The mission sent by the Southern African Development Community (SADC) to northern Mozambique to combat terrorism in Cabo Delgado has confirmed the death of two of its members in clashes on November 29 in the district of Nangade that resulted in the death of more than 30 suspects.

The Regional Operations Coordination Mechanism of the SADC Mission in Mozambique (SAMIM) has indicated in a statement that "the unfortunate incident took place on November 29, 2022 in the area of Nkonga village, Nangade district, during a contact with Ahlu Sunnah Wa-Jamaah terrorists," a group popularly known as Al Shabaab.

He detailed that the deceased are two military personnel from Tanzania and Botswana and added that the clashes resulted in the death of more than 30 suspected terrorists and the seizure of weapons, ammunition and equipment.

The head of SAMIM, Mpho Molomo, and the SAMIM Force Commander, Xolani Mankayi, expressed their "heartfelt condolences" to the families of the deceased soldiers and reiterated the commitment of the force to "restore peace and stability in the province of Cabo Delgado (...) through the degradation of all types of terrorist activities and violent extremism".

The Mozambican authorities have highlighted during the last months an improvement of the security situation in the area due to joint operations with Rwandan special forces and troops deployed by SADC.

Thus, the Mozambican Minister of Defense, Cristovao Chume, assured in mid-November that the jihadist groups "do not have permanent bases" in the province of Cabo Delgado, before indicating that the jihadists are divided into small groups which have lost their positions due to the operations of the security forces.

Cabo Delgado has been the scene since October 2017 of attacks carried out by Islamist militiamen known as Al Shabaab, unrelated to the homonymous group operating in Somalia, which maintains ties with Al Qaeda. Since mid-2019 they have been mostly claimed by Islamic State in Central Africa (ISCA), which has stepped up its actions since March 2020.

Vita vya kishoga hivyo. Mtu anajipiga mwenyewe halafu anapiga mayowe.
Wapiganaji wa kiislamu wametokea wapi huko Msumbiji.Wapiganaji wa aina hiyo hawajaonekana hata Saudia na Qattar watakuwepo Msumbjiji.
Tieni akili nyinyi.Msipiganishwa kama makuchi na kuupaka matope Uislamu kwa faida za mabeberu.
 
uislamu wenyewe unajichukia, tangu muarabu aanzishe hiyo dini isiyo na amani hata kidogo dunia haijawahi kutulia, mumekaa kigaidi gaidi na kuendekeza ngono hadi peponi, hamna sehemu hata moja yenye waislamu wengi isiyokua na mauaji na mavurugu.

Mumepandikizwa chuki moja kwa moja kwenye maandiko yenu

Verses that instructs killings in quran
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”


Wewe utakuwa umepagawa na Mapepo kwasababu huambiliki.

Hizo aya ulizoweka msingi wake ni hizi aya mbili hapa chini:-(2:39-40)Qur'an .

Screenshot_20221227-083102.png


Screenshot_20221227-083127.png
 
yeyote anae husisha uisilamu na magaidi huyo namuchukulia Kama chokotu hajui ujinga anaoufanya
Hao magaidi wanahusianisha harakati zao na uislam, tunawatenganisha vipi hapo!?
 
Vita vya kishoga hivyo. Mtu anajipiga mwenyewe halafu anapiga mayowe.
Wapiganaji wa kiislamu wametokea wapi huko Msumbiji.Wapiganaji wa aina hiyo hawajaonekana hata Saudia na Qattar watakuwepo Msumbjiji.
Tieni akili nyinyi.Msipiganishwa kama makuchi na kuupaka matope Uislamu kwa faida za mabeberu.

Magaidi wa waislamu wapo kote sio huko tu Msumbiji, tatizo hiyo dini ya muarabu imekaa kivita vita na maugaidi tangu...
 
Wewe utakuwa umepagawa na Mapepo kwasababu huambiliki.

Hizo aya ulizoweka msingi wake ni hizi aya mbili hapa chini:-(2:39-40)Qur'an .

View attachment 2459461

View attachment 2459462

Uniambie nini wakati maagizo ya kuamuru mauaji dhidi ya wasio waislamu yapo kabisa kwenye maandiko yenu, na kunao wenzenu wengi tu wanayatekeleza, it's in black and white, tatizo mumezoea kuttoambiwa ukweli, kitambo nilikua najiuliza hivi nini husababisha waislamu wafanye haya maugaidi tunayoshuhudia, hadi nikakutana na haya maandiko

Verses that instructs killings in quran
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Jeshi la Rwanda kwanza msumbiji limeendana baina ya mkataba na msumbiji na wagner group ambao nao wanamkataba na nchi ya Rwanda kwaajili ya msumbiji na Afrika ya kati
Rwanda kazi yake kule ni kuwalinda wafaransa wanaochimba gesi hajaenda kwa mwamvuli wa SAMIM
Watu wanachimba gesi .Nyinyi hamwishi kuwafanya waislamu kama kivuli chenu cha kujificha.
 
Magaidi wa waislamu wapo kote sio huko tu Msumbiji, tatizo hiyo dini ya muarabu imekaa kivita vita na maugaidi tangu...
Ukiambiwa waislamu wa Afghanistan wanapigana kujitawala wenyewe haishangazi.Na kama ikitokea vita kama hivyo huko nchi za kiarabu hakuna maswali.Kwa Msumbiji wametokea wapi na ushujaa huo wameutoa wapi,Nani anawapa silaha.Na kwanini hawashindwi pamoja na majeshi ya SADCC kuwepo huko.Eti wanakimbilia misituni.Ujinga mtupu.
 
Ukiambiwa waislamu wa Afghanistan wanapigana kujitawala wenyewe haishangazi.Na kama ikitokea vita kama hivyo huko nchi za kiarabu hakuna maswali.Kwa Msumbiji wametokea wapi na ushujaa huo wameutoa wapi,Nani anawapa silaha.Na kwanini hawashindwi pamoja na majeshi ya SADCC kuwepo huko.Eti wanakimbilia misituni.Ujinga mtupu.

Maugomvi na mavita vita yanayofanywa na waislamu duniani ni mengi mno hata kuhesabu utachoka, mengi huwa haya-make sense, tangu yule mwarabu muasisi wa hiyo dini, mauaji ya kikatili aliyofanya kwa wayahudi wa Banu Quraiza.
 
Uniambie nini wakati maagizo ya kuamuru mauaji dhidi ya wasio waislamu yapo kabisa kwenye maandiko yenu, na kunao wenzenu wengi tu wanayatekeleza, it's in black and white, tatizo mumezoea kuttoambiwa ukweli, kitambo nilikua najiuliza hivi nini husababisha waislamu wafanye haya maugaidi tunayoshuhudia, hadi nikakutana na haya maandiko

Verses that instructs killings in quran
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”


Wewe sio bure bali ni chokoraa wa kibera.

Kasome na (Mathayo 10:34) uongezee hapo.
 
Maugomvi na mavita vita yanayofanywa na waislamu duniani ni mengi mno hata kuhesabu utachoka, mengi huwa haya-make sense, tangu yule mwarabu muasisi wa hiyo dini, mauaji ya kikatili aliyofanya kwa wayahudi wa Banu Quraiza.
Wewe ni mtoto sana wa historia na huenda hata umri wako ni wa kumaliza shule.Vita vikuu vyote vilivyoangamiza mamilioni ya watu yameanzishwa na wakristo.Na hata vita vya Urusi na Ukraine vinavyoendelea mnavyodai vimeshauwa maelfu ya watu katika kipindi kisichofika hata mwaka 1 ni akina nyinyi wenyewe. wewe sijui ni mkristo wa madhehebu gani uliyejazwa chuki namna hiyo kwa waislamu.
Ulipata sense gani pale Marekani alipozivamia Afghanistan na Iraq na kuongoza fitna iliyopelekea kuuliwa kwa Gadafi.
 
Back
Top Bottom