Me I and my self
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,077
- 8,828
Hata sisi pia tunaangalia Al-Jazeera tunaona karibu wanataka kuukomboa, kila mtu aangalie Al-Jazeera yake.Hapa naangalia Al-Jazeera wanajeshi wa Ukraine wamefukuzwa hawana uwezo wa kukomboa huo mji