Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,753
Javelin we zisikie tu
Mbona siku hizi hasikiki na sijui ziliishia wapi - kitu kingine ambacho media za magharibi uwa hawakisemi ni hiki: linapo kuja suala la silaha yenye uwezo mkubwa Duniani dhidi ya vifaru (ATGM) hata ambavyo vina protective layers - silaha yenyewe uwezo mkubwa ni inayo undwa Urusi type Kornet-EM 9M133 hilo uwa hasilisemwi kabisa na media za magharibi.