Me I and my self
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,077
- 8,828
Hata sisi pia tunaangalia Al-Jazeera tunaona karibu wanataka kuukomboa, kila mtu aangalie Al-Jazeera yake.Hapa naangalia Al-Jazeera wanajeshi wa Ukraine wamefukuzwa hawana uwezo wa kukomboa huo mji
Acha kujidanganya mji wa Kherson upo chini ya ulinzi mzuri wa warusi na soon wananchi wanapewa uraia wa urusi hamna huo uwezo wa kuirudisha huo mji waukraine wamepigwa vibaya.hapo Sasa ni mji wa kirusiHata sisi pia tunaangalia Al-Jazeera tunaona karibu wanataka kuukomboa, kila mtu aangalie Al-Jazeera yake.
Ndoto ya mchanaRais wa Ukraine Volodymyr Zelensky anasema majeshi yake yanasonga mbele ‘’hatua kwa hatua’’ katika eneo la kusini linalokaliwa la Kherson...
Anaota huyo muachie yuko usingiziniZimeharibiwa tayari na hao waukraine wenu wamefukuzwa Kherson
Watu kama hao usiwajibu, unapoteza muda wako tu.Hata sisi pia tunaangalia Al-Jazeera tunaona karibu wanataka kuukomboa, kila mtu aangalie Al-Jazeera yake.
Nyie mnajitambua kweli?toka Jana hiyo mbona hamkombio Hamna huo uwezoHapo kwenye habari hiyo picha sio HIMARS hiyoooo???????
Huyu mnyama ni balaa. Toka jana vyombo vyote vya habari vimeripot Kherson ipo mbioni kukombolewa na Ukraine.
Propaganda na urussi.Kazuia vyombo vyote vya habari urusi kutangaza habari za vita zisizo wa favour wao.Yuko kama JPMNi kweli mkuu hao jamaa wanne wamefia huko.
Nyie west hamna la kuwafundisha urusi kuhusu Uhuru wa vyombo vya habari Kwanza mnatumia vyombo vya habari kutangaza propaganda zenu na uongo kwamba Ukraine wanashinda vita,alafu mmefungia nyombo vya habari za warusi.Alafu huyo magufuli ni Bora Sana kuliko viongozi wa kimagharibi wengi Sana unaona mpaka Sasa hivi wanajiuzulu wengi wameshindwa kuongoza nchi zao.Propaganda na urussi.Kazuia vyombo vyote vya habari urusi kutangaza habari za vita zisizo wa favour wao.Yuko kama JPM
Sababu ya hivyo visilaha uchwaraHapo kwenye habari hiyo picha sio HIMARS hiyoooo???????
Huyu mnyama ni balaa. Toka jana vyombo vyote vya habari vimeripot Kherson ipo mbioni kukombolewa na Ukraine.
RIP Wamepata walichokitaka.Mamluki 4 wa kigeni wameuliwa huko #Siversk
1. Edward Patrignani kutoka #Sweden
2. Emile-Antoine Roy-Sirois kutoka #Canada
3. Luke Lutsyshyn - USA
4. Brian Young - USA
#Zelenksy #UkraineRussianWar #Ukraine️ https://t.co/mAyvNrGmNIView attachment 2303195View attachment 2303196View attachment 2303197View attachment 2303199
Hawa hawawezi kuwa RIP magaidi hawaRIP Wamepata walichokitaka.
Ni hivi hivi mlitudanganya kuhusu yule snipper wa Canada.Mamluki 4 wa kigeni wameuliwa huko #Siversk
1. Edward Patrignani kutoka #Sweden
2. Emile-Antoine Roy-Sirois kutoka #Canada
3. Luke Lutsyshyn - USA
4. Brian Young - USA
#Zelenksy #UkraineRussianWar #Ukraine️ https://t.co/mAyvNrGmNIView attachment 2303195View attachment 2303196View attachment 2303197View attachment 2303199
Ehee lini na nani aliwadajganya kuhusu huyo mcanadaNi hivi hivi mlitudanganya kuhusu yule snipper wa Canada.
Bila ya kuutaja uislamu mkundu unakupwits **** weNaskia pia Rais wa China ametaka dini ya kiislam iachane na story za Muhammad ifuate mfumo wa China.View attachment 2303178
Uislamu siyo adui yako, adui yako Ni ushoga,ulevi, uzembe ,uvivu etcJamaa wanazani Putin atatetea dini yao