Nawapongeza hao mashujaa waliokufa wakipambana kutetea wayahudi wa Ukraine dhidi ya mfilisti Goliathi PutinMamluki 4 wa kigeni wameuliwa huko #Siversk
1. Edward Patrignani kutoka #Sweden
2. Emile-Antoine Roy-Sirois kutoka #Canada
3. Luke Lutsyshyn - USA
4. Brian Young - USA
#Zelenksy #UkraineRussianWar #Ukraine️ https://t.co/mAyvNrGmNIView attachment 2303195View attachment 2303196View attachment 2303197View attachment 2303199
vitu vingine unajitungia mwenyew hakuna media ya west imewai sema Ukraine inashinda vita , teamPutin huwa wana kamtindio ka ubongo , media ikitangaza mafanikio madogo ya silaha au kusonga mbele sehem fulan bas teamKobaz mnanuna mnadai wamesema Ukraine imeshinda vita , hv km hakuna sehem Ukraine imefanikiwa si Urusi angekuwa kaiteka Ukraine nzima mpk ss hv ? ukiona Urusi ilitoka Kyiev inamaana hali sio nzur kwakeNyie west hamna la kuwafundisha urusi kuhusu Uhuru wa vyombo vya habari Kwanza mnatumia vyombo vya habari kutangaza propaganda zenu na uongo kwamba Ukraine wanashinda vita,alafu mmefungia nyombo vya habari za warusi.Alafu huyo magufuli ni Bora Sana kuliko viongozi wa kimagharibi wengi Sana unaona mpaka Sasa hivi wanajiuzulu wengi wameshindwa kuongoza nchi zao.
hahahaaaaSafi sana, makobazi Sasa mnatambua Taifa linalofuata kristo ni teule. Kila ulimi utamkiri kristo.
muislamu mweny degree ya matusi akiupiga mwing kwny utetez wa din yakeBila ya kuutaja uislamu mkundu unakupwits **** we
kisa vinachinja watu ? mm silew sio shoga wala sio mvivu ss yananihusu vip mamb ya shoga au mlev au mvivu tukifanana wote hatutokuwa tofaut na mbuz , utofaut wetu ndo uzur wetu , muheshimu kila mtu na mfumo wake wa maisha kikubwa hakuingilii kweny anga zako piaUislamu siyo adui yako, adui yako Ni ushoga,ulevi, uzembe ,uvivu etc
Anaukemea ushoga wakati wao ndo waasisi.muislamu mweny degree ya matusi akiupiga mwing kwny utetez wa din yake
RUSSIA TAIFA TEULESafi sana, makobazi Sasa mnatambua Taifa linalofuata kristo ni teule. Kila ulimi utamkiri kristo.
Hahaha mkuu umenivunja mbavumuislamu mweny degree ya matusi akiupiga mwing kwny utetez wa din yake
Hongereni kwa ukomboz wa khersonSiyo hapo tuu tunachukua had I Crimea chezea himas (a.k.a mayele),mbona babu Putin atakufa kabla ya mda
Duh....comment ya ajabu kabisa.,Kila siku maeneo ya Ukraine yanachukuliwa halafu wewe unasema Russia haijafanya kitu....yaani mpaka ichukuliwe Kiev ndipo useme hapo Ukraine imeshindwa?! Hizo media za West zinawaghilibu mno aisee...vitu vingine unajitungia mwenyew hakuna media ya west imewai sema Ukraine inashinda vita , teamPutin huwa wana kamtindio ka ubongo , media ikitangaza mafanikio madogo ya silaha au kusonga mbele sehem fulan bas teamKobaz mnanuna mnadai wamesema Ukraine imeshinda vita , hv km hakuna sehem Ukraine imefanikiwa si Urusi angekuwa kaiteka Ukraine nzima mpk ss hv ? ukiona Urusi ilitoka Kyiev inamaana hali sio nzur kwake