Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,753
Javelin we zisikie tu
Vipi Kherson bado tu au iko mikononi mwa Ukraine??Kituo Cha mwisho ni crimea
Mkuu sisi kwa sasa tunaangalia kinachoendelea Ukraine na huu ndiyo uhalisia wenyewe.Uzuri hii ramani imeletwa na Al Jazeera na wala siyo zile 'propaganda za Magharibi'. Mkuu Morogoro kaskazini nimeamua kuchukua jukumu lako la kuleta update ya ramaniMbona siku hizi hasikiki na sijui ziliishia wapi - kitu kingine ambacho media za magharibi uwa hawakisemi ni hiki: linapo kuja suala la silaha yenye uwezo mkubwa Duniani dhidi ya vifaru (ATGM) hata ambavyo vina protective layers - silaha yenyewe uwezo mkubwa ni inayo undwa Urusi type Kornet-EM 9M133 hilo uwa hasilisemwi kabisa na media za magharibi.
Javelin ilikuwa special kwa ule msafara uliokuwa unaelekea kiyvMbona siku hizi hasikiki na sijui ziliishia wapi - kitu kingine ambacho media za magharibi uwa hawakisemi ni hiki: linapo kuja suala la silaha yenye uwezo mkubwa Duniani dhidi ya vifaru (ATGM) hata ambavyo vina protective layers - silaha yenyewe uwezo mkubwa ni inayo undwa Urusi type Kornet-EM 9M133 hilo uwa hasilisemwi kabisa na media za magharibi.
Pwani kuna nini? Kama kula nguruwe mbona huku dar wavaa kobaz wanaipiga sana.sorry kukuita mpuuz , kama haujaishi mikoa ya pwani bas krb ujionee , watu tunawastili tu
Wewe unajuaje kakosea?Uncle Putin inabidi akubali kakosea mahali....ajipange upya.
Bado nina imani na yeye.
.... are you still in your daylight dreams?Haya tunaomba mrejesho sasa ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha
Matokeo.Wewe unajuaje kakosea?
Una taarifa za leo? Angalia ramani uone maeneo yaliyokombolewa kwa wiki moja ukomenti tenaMkuu,kila mtu mwenye akili timamu anajua Urusi ni maji marefu - Ukraine na hayo mataifa 26 yanayo msaidia Zelensky yanatwanga maji kwenye kinu, bado Urusi itatimiza malengo yake iliyo jipangia huko Ukraine no matter what - na Putin alisha sema kama Merikani inataka kujiingiza moja kwa moja kwenye vita/mgogoro huu waje tu, tutajua jinsi ya ku-deal nao summarily - wenye akili wanajua Putin hatanii hata kidogo - hata kawa kujiingiza kwao kunaweza kusababisha WW3 Warusi wako tayari kwa lolote na watawashinda US na genge lake for the sake of the World's ever lasting peace - the entire World banks on Tzar Putin efforts to contain the most World hegemonic DEMON anaye fikiri ana hati miliki ya kuitawala Dunia na kufanya apendalo bila ya kuhojiwa na mtu - vita hii ya Ukraine ndio vitakuwa chanzo cha ku-witness the beginning of the end of Unipolar World.
Bado maeneo mengi yapo Chini Yake Ukraine karudisha maeneo machache Sana Sana kharkivMatokeo.
Au sio mkuu. Kumbe Russia ni bwege sasa inakimbia eneo lake yenyeweJamhuri ya watu wa KHERSON au KHERDON kua sehem ya RUSSIA TAIFA TEULE haikwepeki
Sent using Jamii Forums mobile app
Tayari ipo mikononi mwa UkraineVipi Kherson bado tu au iko mikononi mwa Ukraine??