Wanajeshi wa Ukraine wajisalimisha baada yakuishiwa chakula na silaha

Wanajeshi wa Ukraine wajisalimisha baada yakuishiwa chakula na silaha

Commanding post ya Jeshi la ukraine mjini kyieve yenye wanajeshi wengi maafisa yajisalimisha kwa majeshi ya urusi. Wanajeshi hao 61, wamepatiwa huduma muhimu, kama chakula na matibabu toka kwa jeshi la urussi. Inasemekana wamejisalimisha baada ya kuishiwa chakula, risasi na siraha, hii ni moja ya muondelezo wa mafanikio wanayopata Urussi siku hizi mbili baada ya hapo mwanzo kuzidiwa na kurudi kujipanga upya.
Jeshi la Russia limejikita zaidi kushambulia ghala za siraha, reserve za mafuta na commanding post za ukraine.
🇷🇺 Russian servicemen have taken control of a command post of the Ukrainian Armed Forces Nikolaevka on Kiev outskirts. 61 Ukrainian servicemen of the command post voluntarily surrendered, more than half of them senior officers of the Ukrainian Armed Forces.

▫️The servicemen laid down their arms en masse due to an acute shortage of supplies, ammunition and food.

▫️All servicemen who had laid down their weapons were evacuated from the combat zone and, if necessary, medical assistance was provided to them. All Ukrainian servicemen were also provided with food.

#MoD #Russia #Ukraine
@mod_russia_en
Propaganda hizi sasa
 
Lakini Russia ikitoa taarifa huwa haina ukakasi wowote wa propaganda maana inahitaji kushinda vita kivitendo wala si kimaneno kama hayo mabeberu ya magharibi
Duh!
NI kama useme TBC haifanyi propaganda.
Kule Russia kuna propaganda za kutisha.. Warusi wasio na access kwa vyombo huru vya habari vya nje hawajui kinachoendelea!
 
Dunia mpaka sasa hivi imeshajua wazi..kwamba hii vita Russia anapigana Marekani/Nato,tangu tulipoambiwa wanajeshi wa kujitolea wanaenda Ukraine kupigana dhidi ya Russia,yani Nato wakapeleka watu wao pamoja silaha..kwa upande wa Propaganda Juzi Serikali Uingereza Wameipatia shirika lao Propaganda BBC wazidi kudanganya ulimwengu kinaochoendelea kwenye battle ground!!
 
Commanding post ya Jeshi la ukraine mjini kyieve yenye wanajeshi wengi maafisa yajisalimisha kwa majeshi ya urusi. Wanajeshi hao 61, wamepatiwa huduma muhimu, kama chakula na matibabu toka kwa jeshi la urussi. Inasemekana wamejisalimisha baada ya kuishiwa chakula, risasi na siraha, hii ni moja ya muondelezo wa mafanikio wanayopata Urussi siku hizi mbili baada ya hapo mwanzo kuzidiwa na kurudi kujipanga upya.
Jeshi la Russia limejikita zaidi kushambulia ghala za siraha, reserve za mafuta na commanding post za ukraine.
🇷🇺 Russian servicemen have taken control of a command post of the Ukrainian Armed Forces Nikolaevka on Kiev outskirts. 61 Ukrainian servicemen of the command post voluntarily surrendered, more than half of them senior officers of the Ukrainian Armed Forces.

▫️The servicemen laid down their arms en masse due to an acute shortage of supplies, ammunition and food.

▫️All servicemen who had laid down their weapons were evacuated from the combat zone and, if necessary, medical assistance was provided to them. All Ukrainian servicemen were also provided with food.

#MoD #Russia #Ukraine
@mod_russia_en
picha?
 
...tangu tulipoambiwa wanajeshi wa kujitolea wanaenda Ukraine kupigana dhidi ya Russia,yani Nato wakapeleka watu wao pamoja silaha..
Hata Warusi wanasaidiwa na mamluki wengi kutoka Syria, Belarus, Chechnya, nk.


 
Hii vita propaganda nyingi na watu wengi washekuwa brainwashed, na leo shehena za siraha zimepokelewa Ukraine. Kunawatu wanachochea hii vita isiishe. Sasa dunia imekuwa vipande 2 pro Russia na Pro Ukraine (NATO)
Watu sampuli yako ndio wanaeneza taarifa hewa kwamba kuna wanajeshi wa Ukraine eti wamejisalimisha kwa warussia mbona wanajeshi wa Russia wanapopora supermarkets na kuiba vyakula hamsemi.
 
Mataira sana hayo mazee ya propaganda, mara Askari 40, 000 wa Russia wameuwawa, hata kwa akili ya Mtoto mdogo hawezi kuamini huo ujinga.

Lakini Russia ikitoa taarifa huwa haina ukakasi wowote wa propaganda maana inahitaji kushinda vita kivitendo wala si kimaneno kama hayo mabeberu ya magharibi
Watashinda mwaka gani halafu nini kilimkuta Sergei Shoigu.
 
Kwamba jana wamepelekewa silaha na Ujerumani leo wanajisalimisha?

Unaweza pata uchizi kujaribu kuendana na kasi ya taarifa ya hii vita
Mimi nashangaa, dunia nzima inapigana na Urusi peke yake bila mafanikio. Silaha na vifaa vingine vya kivita vinapelekwa Ukraine toka NATO lakini wapi, Warusi wanaendelea kuteka miji.
 
Back
Top Bottom