Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Propaganda hizi sasaCommanding post ya Jeshi la ukraine mjini kyieve yenye wanajeshi wengi maafisa yajisalimisha kwa majeshi ya urusi. Wanajeshi hao 61, wamepatiwa huduma muhimu, kama chakula na matibabu toka kwa jeshi la urussi. Inasemekana wamejisalimisha baada ya kuishiwa chakula, risasi na siraha, hii ni moja ya muondelezo wa mafanikio wanayopata Urussi siku hizi mbili baada ya hapo mwanzo kuzidiwa na kurudi kujipanga upya.
Jeshi la Russia limejikita zaidi kushambulia ghala za siraha, reserve za mafuta na commanding post za ukraine.
🇷🇺 Russian servicemen have taken control of a command post of the Ukrainian Armed Forces Nikolaevka on Kiev outskirts. 61 Ukrainian servicemen of the command post voluntarily surrendered, more than half of them senior officers of the Ukrainian Armed Forces.
▫️The servicemen laid down their arms en masse due to an acute shortage of supplies, ammunition and food.
▫️All servicemen who had laid down their weapons were evacuated from the combat zone and, if necessary, medical assistance was provided to them. All Ukrainian servicemen were also provided with food.
#MoD #Russia #Ukraine
@mod_russia_en
Kwa jinsi wanajeshi ukraine walivyo na hasira hawawezi wakakosa chakula kwa sababu hata Hao wanajeshi wa waurusi wanaweza kuwatumia kima kitoweo[emoji23][emoji23][emoji23]Labda washinde na njaa
Aliye kwambia wameshinda ni nani?Wanajeshi wa ukraine washinde vita halafu wajisalimishe.
Watu wenye vicha vya piliton acheni uongo.
Haujaona mlivyo chapika vikosi 20 vya urusi ktk vikosi 120 vimeuwawa [emoji23][emoji23][emoji23]Aliye kwambia wameshinda ni nani?
Duh!Lakini Russia ikitoa taarifa huwa haina ukakasi wowote wa propaganda maana inahitaji kushinda vita kivitendo wala si kimaneno kama hayo mabeberu ya magharibi
picha?Commanding post ya Jeshi la ukraine mjini kyieve yenye wanajeshi wengi maafisa yajisalimisha kwa majeshi ya urusi. Wanajeshi hao 61, wamepatiwa huduma muhimu, kama chakula na matibabu toka kwa jeshi la urussi. Inasemekana wamejisalimisha baada ya kuishiwa chakula, risasi na siraha, hii ni moja ya muondelezo wa mafanikio wanayopata Urussi siku hizi mbili baada ya hapo mwanzo kuzidiwa na kurudi kujipanga upya.
Jeshi la Russia limejikita zaidi kushambulia ghala za siraha, reserve za mafuta na commanding post za ukraine.
🇷🇺 Russian servicemen have taken control of a command post of the Ukrainian Armed Forces Nikolaevka on Kiev outskirts. 61 Ukrainian servicemen of the command post voluntarily surrendered, more than half of them senior officers of the Ukrainian Armed Forces.
▫️The servicemen laid down their arms en masse due to an acute shortage of supplies, ammunition and food.
▫️All servicemen who had laid down their weapons were evacuated from the combat zone and, if necessary, medical assistance was provided to them. All Ukrainian servicemen were also provided with food.
#MoD #Russia #Ukraine
@mod_russia_en
Hata Warusi wanasaidiwa na mamluki wengi kutoka Syria, Belarus, Chechnya, nk....tangu tulipoambiwa wanajeshi wa kujitolea wanaenda Ukraine kupigana dhidi ya Russia,yani Nato wakapeleka watu wao pamoja silaha..
googleweblight.com
Acha nikanywe pepsi,hii ni habari nzurivideo hiyo hapo
Watu sampuli yako ndio wanaeneza taarifa hewa kwamba kuna wanajeshi wa Ukraine eti wamejisalimisha kwa warussia mbona wanajeshi wa Russia wanapopora supermarkets na kuiba vyakula hamsemi.Hii vita propaganda nyingi na watu wengi washekuwa brainwashed, na leo shehena za siraha zimepokelewa Ukraine. Kunawatu wanachochea hii vita isiishe. Sasa dunia imekuwa vipande 2 pro Russia na Pro Ukraine (NATO)
🤣🤣🤣🤣🤣Hao ni warusi hata huelewi, chezea Russians wewe. Unafahamu ni kwa nini Putin amepiga marufuku vyombo vya habari vya Russia kutangaza habari za uvamizi wake, hata swali dogo tu hilo unashindwa kujiuliza.video hiyo hapo
Watashinda mwaka gani halafu nini kilimkuta Sergei Shoigu.Mataira sana hayo mazee ya propaganda, mara Askari 40, 000 wa Russia wameuwawa, hata kwa akili ya Mtoto mdogo hawezi kuamini huo ujinga.
Lakini Russia ikitoa taarifa huwa haina ukakasi wowote wa propaganda maana inahitaji kushinda vita kivitendo wala si kimaneno kama hayo mabeberu ya magharibi
Kila nchi kwenye vita huwa lazima itoe propaganda, NATO na chi zao ndiyo wanaongoza kwa propaganda katika vita hivi.Propaganda
Wapi wameshinda? Wameshawafurusha jeshi la Urusi nchini kwao?Wanajeshi wa ukraine washinde vita halafu wajisalimishe.
Watu wenye vicha vya piliton acheni uongo.
Mimi nashangaa, dunia nzima inapigana na Urusi peke yake bila mafanikio. Silaha na vifaa vingine vya kivita vinapelekwa Ukraine toka NATO lakini wapi, Warusi wanaendelea kuteka miji.Kwamba jana wamepelekewa silaha na Ujerumani leo wanajisalimisha?
Unaweza pata uchizi kujaribu kuendana na kasi ya taarifa ya hii vita
Watasema ya kongo hiivideo hiyo hapo