Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji12][emoji12][emoji1787][emoji1787]warussi wanakula kichapo uko kherson kina waumiza mpaka hawa warussi wetu wa mchamba wima mabonde kuinama mabwepande mpijimagohe bom-bom kijiwe Samli mkuranga kibiti bila kuwasahau wale wa kwa mtogole na bi nyau habari za kipigo zime wafikia
Here we go again - you are dead wrong Amigo.Pro Russia huwa mnatokwa povu mkiletewa habari ambazo hampendi kuzisikia.
Hapo Afghanistan usisahau pia Russia alishachakazwa akapakimbia kama nj swala la Historia.Unaongelea vita ya zaidi ya miaka 40 huko wakati tuko sasa hivi na Superpower anatolewa jasho na underdog pamoja na makeke yote yale ya Putin kabla ya Vita.Mnacho sahau ni kile kilicho tokea huko VietNam hamna habari kwamba Hyperpower wenu alipoteza military flying machines(fighter jets, bombers, choppers) zaidi ya 20,000 (elfu ishirini),je,hilo na jambo la kawaida kulikumba Taifa linalo jitangaza kila siku kwamba ni Mega Super Power linakuja kushindwa na kudhalilishwa na kijtaifa ambacho GDP yake hata mji ndogo wa huko Merikani - tafuteni video clip za 1975 kutoka Utube zinazo onyesha jeshi majeshi ya US yalivyo kuwa yanawakimbia wa VietCong,je, nini kilitokea huko Afghanistan mwaka juzi ya VietNam yalijirudia tena - mbona hayo hamuyasemi masaa yote Putin this Putin that - mara ooh, Russia si lolote si chochote kashindwa na Zelensky - je,na sisi tusemeje kuhusu u-superpower wa US baada ya kuvurumishwa mkuku kutoka VietNam na Afghanistan na ushahidi hupo lakini nyinyi hilo hamulioni kazi kubeza beza Putin na jeshi lake, hivi mmewahi kujiuliza swali la msingi kwamba kama Urusi hisingekuwepo Dunia ingekuwa hali gani? Ni wazi wote tungekuwa watu wa kupelekeshwa fang fang na Merikani, wangefanya wapendalo mpaka kufikia hatua ya kutufanya watumwa mambo leo,mara ngapi wanajiingiza kwenye internal affairs za mataifa mengine bila ya kupiga hodi,hawaendi mbali zaidi na njama zao kwa kuhofia Urusi na Uchina.
Hapo Afghanistan usisahau pia Russia alishachakazwa akapakimbia kama nj swala la Historia.Unaongelea vita ya zaidi ya miaka 40 huko wakati tuko sasa hivi na Superpower anatolewa jasho na underdog pamoja na makeke yote yale ya Putin kabla ya Vita.
Ungetupia na ka picha ka kanzu na BARAKA-SHIA ya kijeshi ingenoga zaidi; mweeeeeeia sasa Warusi wamechapisha uniform za kanzu za kijeshi zikiwa na barakashia kuwavuta majihadist kutoka pande zote duniani.
Warusi wa Tandika na wale wa Buza mshatengenezewa hadi kanzu kazi kwenu
Mwamba ameahidi kusaidiaRussia rasmi na utawala wa vibaraka wao waamua kuondoka mapema Kherson mara baada ya kukosa usambazaji wa Siraha baada ya vituo vya karibu vya kuhifadhi kulipuliwa.
Huku kikosi cha Anga ambacho kingeweza toa sapoti kipindi cha kuzuia uvamizi kuungua kwa moto wa Sigara ulioteketeza ndege zaidi ya 10 mithili zilipigwa na HIMARS.
Pia sasa Warusi wamechapisha uniform za kanzu za kijeshi zikiwa na barakashia kuwavuta majihadist kutoka pande zote duniani.
Warusi wa Tandika na wale wa Buza mshatengenezewa hadi kanzu kazi kwenu.
acha pumba , swali lipo clear sijui kwann unajikuta mganga wa kienyejUngekuwa walao umewahi kupitia jeshini "decoy tacticts" wouldn't have sounded Greek to you - need I clarify any further?
rudi kweny mada kuu , hizo story zko fungua post yakoHujajibu swali,narudia tena,je,kuondoka kwa majeshi ya USA huko VietNam na Afghanistan was it in orderly manner or not?? Kwani tatizo liko wapi?? tafuteni video clips na picha kutoka kwenye archives za Utube mjionee wenyewe yaliyo tokea.
Sasa tuje kwenye suala la majeshi ya Urusi kuondoka huko Afghanistan, kitu cha kwanza yaliagwa na utawala WA Najibura, tuliwaona akina mama wamejipanga barabarani mjini Kabul wakiwagawia wanajeshi wa Urusi maua, mikate na chumvi na kupeana mikono wakati wanajeshi wa Russia walipo kuwa wanaondoka - waliondoka Afghanistan kistaarabu sana - tofauti na jinsi majeshi ya US yalivyo ondoka huko Afghanistan na VietNam ushahidi tunao.
acha pumba , swali lipo clear sijui kwann unajikuta mganga wa kienyej
Kichapo kimekolea,[emoji12]Kuna mtu kaondoa ndege zake zote Crimea
Asante kwa mipasho.kama ningekuuliza hili swali 29/2/ basi hii insha ungechambia mwenyewe muda huuu mnafirimbwa huko mmeanza kubadili maneno.Lini Putin au jeshi lake liliwahi kutamka in public kwamba litaichukua Kiev ndani ya siku tatu - lini??
Mambo mengi yanayo semwa humu pamoja na media za magharibi ni adithi za kubuni tu - hawataki kusema ukweli kwamba katika operation inayo endelea lengo kuu la Putin lilikuwa and still is:kuwakomboa WA Ukraine wenye asili ya Urusi huko magharibi mwa Ukraine,kuwanyanganya silaha ma neo-NAZI (Azov) yote hayo Putin amefanikiwa kwa asili mia kubwa - kilicho baki ni kupitisha referendum kwa wale wanaopendelea kubaki chini ya utawala wa Zelensky au kujiunga na mother Russia, chaguo ni lao - majority walisha choka kwa kuwa chini ya Utawala wa Kiev ambao umekwisha angamiza zaidi ya raia hao 14,000, cha ajabu hakuna chombo cha habari cha magharibi hata kimoja kimewahi kulizungumzia hilo, wako kimya kabisa - kazi kumsema sema vibaya Putin na kumzulia tuhuma ambazo hazina kichwa wala miguu.
Waseme wapendalo lakini ukweli utaendelea kubaki pale pale, namely: Putin atawashinda ma mafia hawa na wafadhili wao wakuu kuabika mchana kweupe, the World banks on Putin noble efforts to contain western inept hegemony na huu ndio mwanzo makubwa yanakuja.
Wanataka washinde kwanza ndo wapewe habari mbayaPro Russia huwa mnatokwa povu mkiletewa habari ambazo hampendi kuzisikia.
Case ya us na Vietcong ni sawa kabisa na Ukraine na Russsiakimba.Mnacho sahau ni kile kilicho tokea huko VietNam hamna habari kwamba Hyperpower wenu alipoteza military flying machines(fighter jets, bombers, choppers) zaidi ya 20,000 (elfu ishirini),je,hilo na jambo la kawaida kulikumba Taifa linalo jitangaza kila siku kwamba ni Mega Super Power linakuja kushindwa na kudhalilishwa na kijtaifa ambacho GDP yake hata mji ndogo wa huko Merikani - tafuteni video clip za 1975 kutoka Utube zinazo onyesha jeshi majeshi ya US yalivyo kuwa yanawakimbia wa VietCong,je, nini kilitokea huko Afghanistan mwaka juzi ya VietNam yalijirudia tena - mbona hayo hamuyasemi masaa yote Putin this Putin that - mara ooh, Russia si lolote si chochote kashindwa na Zelensky - je,na sisi tusemeje kuhusu u-superpower wa US baada ya kuvurumishwa mkuku kutoka VietNam na Afghanistan na ushahidi hupo lakini nyinyi hilo hamulioni kazi kubeza beza Putin na jeshi lake, hivi mmewahi kujiuliza swali la msingi kwamba kama Urusi hisingekuwepo Dunia ingekuwa hali gani? Ni wazi wote tungekuwa watu wa kupelekeshwa fang fang na Merikani, wangefanya wapendalo mpaka kufikia hatua ya kutufanya watumwa mambo leo,mara ngapi wanajiingiza kwenye internal affairs za mataifa mengine bila ya kupiga hodi,hawaendi mbali zaidi na njama zao kwa kuhofia Urusi na Uchina.
Umesahau hoja ya ushoga. Au mwalimu wenu kasema usitumie tenaMnacho sahau ni kile kilicho tokea huko VietNam hamna habari kwamba Hyperpower wenu alipoteza military flying machines(fighter jets, bombers, choppers) zaidi ya 20,000 (elfu ishirini),je,hilo na jambo la kawaida kulikumba Taifa linalo jitangaza kila siku kwamba ni Mega Super Power linakuja kushindwa na kudhalilishwa na kijtaifa ambacho GDP yake hata mji ndogo wa huko Merikani - tafuteni video clip za 1975 kutoka Utube zinazo onyesha jeshi majeshi ya US yalivyo kuwa yanawakimbia wa VietCong,je, nini kilitokea huko Afghanistan mwaka juzi ya VietNam yalijirudia tena - mbona hayo hamuyasemi masaa yote Putin this Putin that - mara ooh, Russia si lolote si chochote kashindwa na Zelensky - je,na sisi tusemeje kuhusu u-superpower wa US baada ya kuvurumishwa mkuku kutoka VietNam na Afghanistan na ushahidi hupo lakini nyinyi hilo hamulioni kazi kubeza beza Putin na jeshi lake, hivi mmewahi kujiuliza swali la msingi kwamba kama Urusi hisingekuwepo Dunia ingekuwa hali gani? Ni wazi wote tungekuwa watu wa kupelekeshwa fang fang na Merikani, wangefanya wapendalo mpaka kufikia hatua ya kutufanya watumwa mambo leo,mara ngapi wanajiingiza kwenye internal affairs za mataifa mengine bila ya kupiga hodi,hawaendi mbali zaidi na njama zao kwa kuhofia Urusi na Uchina.
Wewe hujaenda jeshini Wala nn.ni mjinga mjinga upo kwenye kijiwe chini ya nguzo ya umeme.mnadanganyana eeeeh ile kwenda Kiev ni decoy.Ungekuwa walao umewahi kupitia jeshini "decoy tacticts" wouldn't have sounded Greek to you - need I clarify any further?
Kuna panga'nga'a huko juu kasema ilikuwa decoy.
Kuna mwamba huko juu ukimuuliza atakwambia ni decoy.Kuna mtu kaondoa ndege zake zote Crimea