ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Mods unganisha huu uziSalaam ndugu zangu kuna jambo limenifikirisha kidogo baada ya juzi kuja huyo mgeni kutoka Usa sasa baada ya kutua tu kila kitu cha ulinzi kilikuwa chini ya wageni kuanzia Airport mpka sehemu alipokuwa huyo mgeni na mpaka anaondoka wanajeshi wa kigeni ndio walikuwa wanaosimamia show nzima ya ulinzi ya viongozi wote wawili,
Sasa najiuliza hivi wanajeshi wetu wanajisikia kuona nchi yao inalinda na wengine ina maana wao hawaaminiki??
Kama rais aliyekuwa madarakani alikufa mikononi mwao unafikiri watawaamini? Sababu ni kuwa kila mwana usalama kwa bongo inawezekana akawa na bei maana kama walieuhusu rais aliyepo madarakani kauawa na waujai wanajigamba tena na wizi juu unadhani wataaminika????Salaam ndugu zangu kuna jambo limenifikirisha kidogo baada ya juzi kuja huyo mgeni kutoka Usa sasa baada ya kutua tu kila kitu cha ulinzi kilikuwa chini ya wageni kuanzia Airport mpka sehemu alipokuwa huyo mgeni na mpaka anaondoka wanajeshi wa kigeni ndio walikuwa wanaosimamia show nzima ya ulinzi ya viongozi wote wawili,
Sasa najiuliza hivi wanajeshi wetu wanajisikia kuona nchi yao inalinda na wengine ina maana wao hawaaminiki??
Biden akienda China au Russia Barabara hufungwa na ulinzi ni WA USA sembuse Tanzania?Salaam ndugu zangu kuna jambo limenifikirisha kidogo baada ya juzi kuja huyo mgeni kutoka Usa sasa baada ya kutua tu kila kitu cha ulinzi kilikuwa chini ya wageni kuanzia Airport mpka sehemu alipokuwa huyo mgeni na mpaka anaondoka wanajeshi wa kigeni ndio walikuwa wanaosimamia show nzima ya ulinzi ya viongozi wote wawili,
Sasa najiuliza hivi wanajeshi wetu wanajisikia kuona nchi yao inalinda na wengine ina maana wao hawaaminiki??
Zipo nchi ambazo haruhusiwi kwenda na ulinzi wake China na Urusi ni miongoni mwa hizo nchi.Salaam ndugu zangu kuna jambo limenifikirisha kidogo baada ya juzi kuja huyo mgeni kutoka Usa sasa baada ya kutua tu kila kitu cha ulinzi kilikuwa chini ya wageni kuanzia Airport mpka sehemu alipokuwa huyo mgeni na mpaka anaondoka wanajeshi wa kigeni ndio walikuwa wanaosimamia show nzima ya ulinzi ya viongozi wote wawili,
Sasa najiuliza hivi wanajeshi wetu wanajisikia kuona nchi yao inalinda na wengine ina maana wao hawaaminiki??
cha ajabu nini wakati sikutumia lugha fasaha? Ningekuelewa kama unge edit kiingereza mwanzo mwisho. Halafu kwenye hizo selective sentences lini uliona rais wa marekani akienda kwenye hizo/akienda, majeshi ya nchi hizo yatawekwa pembeni wao ndio wasimamie zoezi zima? Mimi kama mtanzania huwa sipendi nchi yangu idharauliwe kwa hali yeyote ilehatuko competent
Jiridhishe kabla ya ku-comment, umepotosha.
Ni dhahiri kuwa hawaaminiki. Linapokuja suala la ulinzi wa kiongozi wa Marekani, hawana mzaha, na ni popote duniani sio kwetu tu, maana lolote likimtokea kiongozi wao, Sheria zitawabana kujua ilikuwa aje.Salaam ndugu zangu kuna jambo limenifikirisha kidogo baada ya juzi kuja huyo mgeni kutoka Usa sasa baada ya kutua tu kila kitu cha ulinzi kilikuwa chini ya wageni kuanzia Airport mpka sehemu alipokuwa huyo mgeni na mpaka anaondoka wanajeshi wa kigeni ndio walikuwa wanaosimamia show nzima ya ulinzi ya viongozi wote wawili,
Sasa najiuliza hivi wanajeshi wetu wanajisikia kuona nchi yao inalinda na wengine ina maana wao hawaaminiki??
Ni popote.Ina maana Usa akienda hata nchi za Ulaya napo anafanya kama alivyofanya huku bongo??
wakati mwingine uwe unaelewa contexilization grammaticallz neno limetumikaje katika content. Nimeandika compentent unajua niliaminisha nini kwa kiswahili, kwani sikujua kuna competence? Kuna upotoshaji gani hapo? Jikite kwenye hoja achana na grammar/literatureBiden akienda China au Russia Barabara hufungwa na ulinzi ni WA USA sembuse Tanzania?
Ni popote waendapo. Huko maeneo ya Uchina, tuliona ndege ya spika wao inasindikizwa na videge vidogo vya kivita.Sasa kama hatuko compentence kwa medani za kijeshi inabidi washike wao tu ili likitokea la kutokea wa kulaumiwa ni wao. Hawa jamaa huwa wanajiona ni superior zaidi kuliko majeshi yote duniani. Wanafanya hivyo kwa nchi zenye uwezo mdogo wa kijeshi. Wakienda uingereza, china na urusi hawawezi kuweka pembeni majeshi ya nchi hizn washike wao. Hawana imani na ulinzi wa majeshi ya nchi masikini na huwa kero kwa kiongozi wao anapotembelea nchi hizo
...inakua poa, na wao wanakua wanaambuliapo raha ya kulindwa, tena na MarekaniSalaam ndugu zangu kuna jambo limenifikirisha kidogo baada ya juzi kuja huyo mgeni kutoka Usa sasa baada ya kutua tu kila kitu cha ulinzi kilikuwa chini ya wageni kuanzia Airport mpka sehemu alipokuwa huyo mgeni na mpaka anaondoka wanajeshi wa kigeni ndio walikuwa wanaosimamia show nzima ya ulinzi ya viongozi wote wawili,
Sasa najiuliza hivi wanajeshi wetu wanajisikia kuona nchi yao inalinda na wengine ina maana wao hawaaminiki??
Sio nchi zote Urusi na chinaNi popote.
Ile alikuwa anaenda Taiwan na alikuwa spika.Ni popote waendapo. Huko maeneo ya Uchina, tuliona ndege ya spika wao inasindikizwa na videge vidogo vya kivita.
Haya ndo majibu tunayoyataka,Kwakweli wanatia huruma alafu Askari wa marekani wakishaondoka wanaanza tena kuvimba mtaani bila aibu.Dah nahisi watakuwa wanyonge
Sie hatuna jeshi,tuna wanachama wa ccm waliovaa magwanda,viongozi wote wakubwa wa jeshi,Wana kadi za ccm,ni wapuuzi tu,wanachowaza ni ccm kukaa Madarakani tu,Salaam ndugu zangu kuna jambo limenifikirisha kidogo baada ya juzi kuja huyo mgeni kutoka Usa sasa baada ya kutua tu kila kitu cha ulinzi kilikuwa chini ya wageni kuanzia Airport mpka sehemu alipokuwa huyo mgeni na mpaka anaondoka wanajeshi wa kigeni ndio walikuwa wanaosimamia show nzima ya ulinzi ya viongozi wote wawili,
Sasa najiuliza hivi wanajeshi wetu wanajisikia kuona nchi yao inalinda na wengine ina maana wao hawaaminiki??
Dah nahisi watakuwa wanyonge
Ina maana Usa akienda hata nchi za Ulaya napo anafanya kama alivyofanya huku bongo??