Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,748
- 7,061
Nimependezwa sana na jibu hili, ambalo si utamaduni wa MEMBA wengi wa hapa JF. Yaani mtu akosolewe KIKEJELI/RI, au KISTAARABU, halafu aliyekosolewa ajibu KISTAARABU.Me sielewi ebu njoo inbox unishauri vizuri namna ya kuandika.nakuomba Sana dada yangu
Sasa mtu anayezungumza na maiti utakaaje naye karibu. Siku aliyionimaliza ni siku aliyopiga maiti makonde ya kutosha eti kwakuwa tu iligoma kufumba macho.[emoji13][emoji13][emoji13]mada zake huwa zinaniogopesha. Nikitaka kusoma huwa nakaa eneo la wazi maana unaweza guswa na jani ukahisi ni jini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante babu mchumba kwa kunijali.[emoji13][emoji13]Hapana. Kule watakufundisha tabia mbaya. Nami sipendi uwe na tabia mbaya
Tabia mbaya ntakufundisha mwenyewe
[emoji119][emoji119][emoji119] haumsingizii kweli?Sasa mtu anayezungumza na maiti utakaaje naye karibu. Siku aliyionimaliza ni siku aliyopiga maiti makonde ya kutosha eti kwakuwa tu iligoma kufumba macho.
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]Nimependezwa sana na jibu hili, ambalo si utamaduni wa MEMBA wengi wa hapa JF. Yaani mtu akosolewe KIKEJELI/RI, au KISTAARABU, halafu aliyekosolewa ajibu KISTAARABU.
Sasa ukinifundisha wewe inakuwa siyo tabia mbaya tena[emoji13] inasafishika.Tabia mbaya ntakufundisha mwenyewe
Ewaaa... tabia mbaya ya babu kwa mjukuu ni kama kufundwa. Kufundwa sio dhambiSasa ukinifundisha wewe inakuwa siyo tabia mbaya tena[emoji13] inasafishika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuona unavyoenda na chaki mwisho wake si mzuri Asprin atakutoa mchezoni simuda mrefu uharibu kipaji chakoSasa ukinifundisha wewe inakuwa siyo tabia mbaya tena[emoji13] inasafishika.
Sent using Jamii Forums mobile app
No.mimi nasema hivi kwa sababu nakubaliana na wengi Nina tatizo kwenye uandishi nina uwezo mkubwa lakini uwasilishaji Ni sifuri.Nimependezwa sana na jibu hili, ambalo si utamaduni wa MEMBA wengi wa hapa JF. Yaani mtu akosolewe KIKEJELI/RI, au KISTAARABU, halafu aliyekosolewa ajibu KISTAARABU.
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]ngoja nimsubiri kwa kweli.Niko serious akija hapa umuulize uone kama atabisha. Jamaa lichawi likikosa Mtu wa kumloga linaloga jogoo akose mtetea wa kugegeda.
CC Mshana Jr kwa uthibitisho
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Ewaaa... tabia mbaya ya babu kwa mjukuu ni kama kufundwa. Kufundwa sio dhambi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kashakuloga wewe sio bure
Abeeeeee?[emoji13][emoji13][emoji13]Nakuona unavyoenda na chaki mwisho wake si mzuri Asprin atakutoa mchezoni simuda mrefu uharibu kipaji chako
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona umepata mimba na hiyo bikira yako ujue tayari huyu mchawi kashafanya yake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kile kichwa bwana.