WanaJF Bora wa siku zote

WanaJF Bora wa siku zote

Weka vigezo huo ubora vipi...

Mayalla ni mtu wa jukwaa la siasa huko na majukwaa yapo zaidi ya ma5..

Kila mmoja ni Master wa jukwaa husika.

Kuna wenye michango jukwaa la wakubwa kule,wengine mmu so haitakua fair kwa upande wangu kuwajumuisha bila vigezo.
Mshana ni all weather aisee.
 
Si nilikwambia mimi pekee ndio nitakaedumu na wewe ukajifanya una kiranga sana. Yako wapi sasa?
kwako kigoma mwisho wa reli nimefika kwako

nilikuwa nafikiri kigoma ni mbali kumbe nipo tabora
 
Aisee huyu Mshana Jr anajua almost kila kitu.... hahah ukienda kwenye politics utamkuta nachangia tena deeply with critical knowledge,

ukiingia jukwaa la kimataifaa yumoo kajaa tele na ushauri kemkem anatoa

jukwaa la intelligensia siongei sana nyie wenyewe mnaonaga maana maswala ya ushirikina uchawi wanga majini wafu yumoo hahahaa

Jukwaa la vichekesho yumo kule piaaa duh

Karibia kila jukwaa yumoo

Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri wa hii njemba haikurupuki inapoanzisha uzi.

Njuzi zake ziko nondo, hata kama ni mistari 3 tu ukiipitia unapata ujumbe mzuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom