WanaJF Bora wa siku zote

WanaJF Bora wa siku zote

Aisee huyu Mshana Jr anajua almost kila kitu.... hahah ukienda kwenye politics utamkuta nachangia tena deeply with critical knowledge,

ukiingia jukwaa la kimataifaa yumoo kajaa tele na ushauri kemkem anatoa

jukwaa la intelligensia siongei sana nyie wenyewe mnaonaga maana maswala ya ushirikina uchawi wanga majini wafu yumoo hahahaa

Jukwaa la vichekesho yumo kule piaaa duh

Karibia kila jukwaa yumoo

Sent using Jamii Forums mobile app
Bila kusahau jukwaa la mapenzi na ishu za umalaya pia hakosekanagiii...[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji44][emoji44][emoji30][emoji30][emoji30][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]

Jr[emoji769]
 
Katika aspect angle ipi au umeaua kwa Mahaba mzito uliyonayo kwa Paskali na Mshana??Hapa ndani kuna idadi ya forum ngapi??Hebu tuondolee hapa upaukwa pakawa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 
Aisee huyu Mshana Jr anajua almost kila kitu.... hahah ukienda kwenye politics utamkuta nachangia tena deeply with critical knowledge,

ukiingia jukwaa la kimataifaa yumoo kajaa tele na ushauri kemkem anatoa

jukwaa la intelligensia siongei sana nyie wenyewe mnaonaga maana maswala ya ushirikina uchawi wanga majini wafu yumoo hahahaa

Jukwaa la vichekesho yumo kule piaaa duh

Karibia kila jukwaa yumoo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo majukwaa yote ina maana ni imara sana hakuna hata moja liliwahi kumwangusha?daimond kafanya shoo sehem mbali mbali juzi tuu hapa jukwaa limemndosha
 
Back
Top Bottom