WanaJF inatakiwa tuonane jamani

WanaJF inatakiwa tuonane jamani

Siyo kwa ubaya bali kwa mema tu...tupange ratiba ya kuonana hata Mara mbili kwa mwaka....tunaonana kwa ajili ya kufurahi,kubadilishana mawazo,kubadilisha mazingira,kupeana michongo na vingine vingi visivyo na madhara.

Tusibaguane wala kuweka matabaka ...Mali ni zetu lakini uhai si Mali yetu bas muda huu tupo hai tutengeneze aman na upendo sisi kwa sisi.Tanzania ni yetu bas tusitengane wandugu.NAWAPENDA SANA!
Support. Mi niko kwenye jiji la kizaramo[emoji4]
 
to yeye unaweza come na action plan kwanza mambo yote yawekwe bayani kuwa yeyote atakae taka ku-reveal identity yake ni kwamba atakua amei-reveal at his/her own risk/advantage, Ikiwa na maana kwamba si shuruti mtu kureveal Identity yake.
Next groups za whatsapp zitengenezwe kulingana na mikoa pendekezwa ya kukutana then watu wata join kupitia links husika na baada ya hapo mipango zaidi ya ku-arrange meetup itaendelea.
Mi ni new school wa JF sijawahi udhulia meetup yoyote ya JF, wala kushuhudia arrangement yoyote pia.
Nawasilisha.
 
Back
Top Bottom