WanaJF inatakiwa tuonane jamani

WanaJF inatakiwa tuonane jamani

Siyo kwa ubaya bali kwa mema tu...tupange ratiba ya kuonana hata Mara mbili kwa mwaka....tunaonana kwa ajili ya kufurahi,kubadilishana mawazo,kubadilisha mazingira,kupeana michongo na vingine vingi visivyo na madhara.

Tusibaguane wala kuweka matabaka ...Mali ni zetu lakini uhai si Mali yetu bas muda huu tupo hai tutengeneze aman na upendo sisi kwa sisi.Tanzania ni yetu bas tusitengane wandugu.NAWAPENDA SANA!
Nakumbuka miaka 5-7 kulikuwa na JF PARTY OF THE YEAR! Kuna wakati wings 2 zilifanya vzr sana kwenye hili yaani JF Dar Wing na JF Arusha Wing.
Kama vipi wale coordinators wairejeshe ile... it was amazing kwa kweli.
 
Na ndio ujiulize kwanini polisi walienda ofisi za jf na kutaka taarifa fulani za wana jf!..!
Jichanganye Sasa uone unavyochanganywa..

Hilo swali langu hapo juu la ming'ombe linamaana sana..[emoji23]
Nimekuelewa sana,nadhan hio ndio nzuri tukutane kin'gombe n'gombe tupige story tuachane,cha msingi wa arrange meeting point basi
 
Labuda lakini wengine tushaharibu humu hata usipojitaja Kuna mimtu ambayo shipa la mdomo lishakatika linaweza kukubambikiza jina la mwana jf mwengine..[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom