Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Inategemea, na vile utakavyonijia...Ole wako kuwe na mikono tena😁😁
Atakaye rudia adhabu yake heheheh ngoja nije piemu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea, na vile utakavyonijia...Ole wako kuwe na mikono tena😁😁
Atakaye rudia adhabu yake heheheh ngoja nije piemu
Ntakuja nkiwa msweet sweet vile unavyopendagaInategemea, na vile utakavyonijia...
Toa location na tarehe hutaamini hiyo nyomiSiyo kwa ubaya bali kwa mema tu...tupange ratiba ya kuonana hata Mara mbili kwa mwaka....tunaonana kwa ajili ya kufurahi,kubadilishana mawazo,kubadilisha mazingira,kupeana michongo na vingine vingi visivyo na madhara.
Tusibaguane wala kuweka matabaka ...Mali ni zetu lakini uhai si Mali yetu bas muda huu tupo hai tutengeneze aman na upendo sisi kwa sisi.Tanzania ni yetu bas tusitengane wandugu.NAWAPENDA SANA!
Kipensi na kitopu... Itapendeza sana... ila usicheke na kale kasauti kako kazuri...Ntakuja nkiwa msweet sweet vile unavyopendaga
Mwezi wa mfungo huuKipenzi na kitopu... Itapendeza sana... ila usicheke na kale kasauti kako kazuri...
Huwezi acha kucheka ukiniona...Mwezi wa mfungo huu
Nitakuja niko ndani ya abaya
Full kujitanda na kucheka sicheki
Acha bas na wew😆😆😆😆Huwezi acha kucheka ukiniona...
Nitatumia msamiati wa kenya... Nitakubandua...
Hahaha deal close wait and see...Acha bas na wew😆😆😆😆
Sitacheka maana sitaki kubanduliwa jaman..:
I will prove you wrong ili uache ubishi siku nyingine……Hahaha deal close wait and see...
Tuma roho yangu jamani.. 😍😍😍Natamani nikutumie na mimi baby ila siwezi kipenzi😍
Ushindi upo upande wangu daima...I will prove you wrong ili uache ubishi siku nyingine……
🤗🤗🤗🤗🥰 kwa maandishi inanoga mama yanguSiwezi au nikuimbie kidogo kwa maandishi😬😂😂
Hahahha ngoja tutaonaUshindi upo upande wangu daima...
mama yangu roho yangu.. nakupendaa.. 😍😍🥰😍😘.. mwanamke aibuAu basi naona aibu😎
Unajua kwamba kila mara ushindi upo kwangu, kama leo...Hahahha ngoja tutaona
Leo nimekuachia tu ushinde maana ulizidi ubishi ila ningeamua usingeweza kushindaUnajua kwamba kila mara ushindi upo kwangu, kama leo...
Ushindi daima...Leo nimekuachia tu ushinde maana ulizidi ubishi ila ningeamua usingeweza kushinda
Uchovu wooote umeisha kwa ukarimu na mpenzi yako 😊😍😍😍 ama kweli wewe ni roho yanguNakupenda pia baba❤️
Njoo piemu uniombe nisiharibu vitu 😁😁😁Ushindi daima...