WanaJF inatakiwa tuonane jamani

WanaJF inatakiwa tuonane jamani

Itoshe tu kusema mna mapenzi ya kitoto Darlin. Na msije mkasema nawaonea wivu hapa ila ni ujinga mnaofanya ili tujue nyie ni wapenzi? Kwani nyie kwenye hii dunia ndio wa kwanza kupendana?.

Thread ya mtu mwingine mnaifanya ya kwenu? Anzisheni thread yenu ya kuchart wawili, Acheni ujinga.

Kwani PM ziliwekwa za nini?
[emoji8][emoji8][emoji8]
 
Itoshe tu kusema mna mapenzi ya kitoto Darlin. Na msije mkasema nawaonea wivu hapa ila ni ujinga mnaofanya ili tujue nyie ni wapenzi? Kwani nyie kwenye hii dunia ndio wa kwanza kupendana?.

Thread ya mtu mwingine mnaifanya ya kwenu? Anzisheni thread yenu ya kuchart wawili, Acheni ujinga.

Kwani PM ziliwekwa za nini?
Mbona makasiriko ndugu

Waache watu wajimwae mwae maisha yenyewe ndo haya haya
 
Itoshe tu kusema mna mapenzi ya kitoto Darlin. Na msije mkasema nawaonea wivu hapa ila ni ujinga mnaofanya ili tujue nyie ni wapenzi? Kwani nyie kwenye hii dunia ndio wa kwanza kupendana?.

Thread ya mtu mwingine mnaifanya ya kwenu? Anzisheni thread yenu ya kuchart wawili, Acheni ujinga.

Kwani PM ziliwekwa za nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie uwiiiiih
 
Back
Top Bottom