HahahahahahhaaaaaaaSasa kama huo umri huo unachonga way na kuweka dawa nywele kama binti mcheza singeri..utaendelea kuomba msaada mpaka chooni..rubbish
Kwa umu ndani ni vigumu sana, labda muende kule Whatsappahsalamu
kwenu wapendwa wa mtandao wetu pendwa jf,,,,,,
katika kukaa na kufikiri nikapata wazo zuri na lenye tija kwa kila mtu humu ndani kama tuki litekeleza na kulifanyia kazi kwani lita jenga umoja na ushirikiano na kusababisha wengine wote kuiga,
jambo langu ni kwamba tuweke utaratibu wa kutoa pole, pongezi kwa maswala nyeti ya kimaisha kwa members pindi wanapo pitia wakati mgumu kama wa msiba, kufiwa au hata kufilisika kiuchumi,,,
na piaa uwepo utaratibu wa kutoa pongez njema kwa wale wanao pitia na kuweza kuoa, kuolewa kupanda cheo kazin, kupanda daraja kimaisha na kuajiriwa,
kwa kufanya hivyo itatuweka wote pamoja,
katika kufanya hivyo kuwe na utaratibu wa rambi rambi kwa mfiwa wau mchango kwa mfanikiwa,
ili kuwatia moyo hawa wana jamii wenzetu
nawasilisha,,,,,,
hongera nadhani lidhika na ulivyonavyo humu ukileta hiyo utajikuta umemchangia hata mkeo kisa kaja na uzi wakufiwa na mumewenimejiunga navyo vingi sana
hahahahahaaaaa mi siwezi maana waweza yataman matatizo yaje baada ya kuhisi unaibiwa maana mwaka mzima unawachangia wenzako we hupati tatizo mi nafikr utafute anayepata pata matatizo coz mi Mwenyezi Mungu kanitenga mbali na matatizo na Mshukuru sana kwa hilotehe tehe tehe,,,, lets tuungane mimi na wewe
hapo ndipo unapo fanya kufuru,, hakuna mwanadamu asie na tatizo hata la kujikojoleahahahahahaaaaa mi siwezi maana waweza yataman matatizo yaje baada ya kuhisi unaibiwa maana mwaka mzima unawachangia wenzako we hupati tatizo mi nafikr utafute anayepata pata matatizo coz mi Mwenyezi Mungu kanitenga mbali na matatizo na Mshukuru sana kwa hilo
Mkuu avatar yako inaonesha kama vile wewe ni chakula[emoji12] [emoji12] [emoji12]ahsalamu
kwenu wapendwa wa mtandao wetu pendwa jf,,,,,,
katika kukaa na kufikiri nikapata wazo zuri na lenye tija kwa kila mtu humu ndani kama tuki litekeleza na kulifanyia kazi kwani lita jenga umoja na ushirikiano na kusababisha wengine wote kuiga,
jambo langu ni kwamba tuweke utaratibu wa kutoa pole, pongezi kwa maswala nyeti ya kimaisha kwa members pindi wanapo pitia wakati mgumu kama wa msiba, kufiwa au hata kufilisika kiuchumi,,,
na piaa uwepo utaratibu wa kutoa pongez njema kwa wale wanao pitia na kuweza kuoa, kuolewa kupanda cheo kazin, kupanda daraja kimaisha na kuajiriwa,
kwa kufanya hivyo itatuweka wote pamoja,
katika kufanya hivyo kuwe na utaratibu wa rambi rambi kwa mfiwa wau mchango kwa mfanikiwa,
ili kuwatia moyo hawa wana jamii wenzetu
nawasilisha,,,,,,
huoni ni dhambi kusema nna matatizo wakati sina kwa sasa????hapo ndipo unapo fanya kufuru,, hakuna mwanadamu asie na tatizo hata la kujikojolea
Humu.kuna matapeli kuliko unavyofikiria....ahsalamu
kwenu wapendwa wa mtandao wetu pendwa jf,,,,,,
katika kukaa na kufikiri nikapata wazo zuri na lenye tija kwa kila mtu humu ndani kama tuki litekeleza na kulifanyia kazi kwani lita jenga umoja na ushirikiano na kusababisha wengine wote kuiga,
jambo langu ni kwamba tuweke utaratibu wa kutoa pole, pongezi kwa maswala nyeti ya kimaisha kwa members pindi wanapo pitia wakati mgumu kama wa msiba, kufiwa au hata kufilisika kiuchumi,,,
na piaa uwepo utaratibu wa kutoa pongez njema kwa wale wanao pitia na kuweza kuoa, kuolewa kupanda cheo kazin, kupanda daraja kimaisha na kuajiriwa,
kwa kufanya hivyo itatuweka wote pamoja,
katika kufanya hivyo kuwe na utaratibu wa rambi rambi kwa mfiwa wau mchango kwa mfanikiwa,
ili kuwatia moyo hawa wana jamii wenzetu
nawasilisha,,,,,,