WanaJF, kwa nini tusiweke mpango wa kusaidiana katika matukio mbalimbali

WanaJF, kwa nini tusiweke mpango wa kusaidiana katika matukio mbalimbali

Ni ngumu sana aiseee katika sehemu kama hii yenye watu wa kila aina yaani kuna wazuri, wabaya , matapeli yaani watu wa kila aina wamo humu.

We jitafutie marafiki zako kama ni watano au zaidi wa uhakika ambao mtashibana na hata likitokea jambo haitakuwa ngumu kwao kukusaidia.

Hivyo tu hizo nyingine unazozifikiria hazina tofauti na hadithi za Abunuasi sababu haziwezi zikawa na kufanikiwa pia.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
K
ahsalamu
kwenu wapendwa wa mtandao wetu pendwa jf,,,,,,
katika kukaa na kufikiri nikapata wazo zuri na lenye tija kwa kila mtu humu ndani kama tuki litekeleza na kulifanyia kazi kwani lita jenga umoja na ushirikiano na kusababisha wengine wote kuiga,
jambo langu ni kwamba tuweke utaratibu wa kutoa pole, pongezi kwa maswala nyeti ya kimaisha kwa members pindi wanapo pitia wakati mgumu kama wa msiba, kufiwa au hata kufilisika kiuchumi,,,
na piaa uwepo utaratibu wa kutoa pongez njema kwa wale wanao pitia na kuweza kuoa, kuolewa kupanda cheo kazin, kupanda daraja kimaisha na kuajiriwa,
kwa kufanya hivyo itatuweka wote pamoja,
katika kufanya hivyo kuwe na utaratibu wa rambi rambi kwa mfiwa wau mchango kwa mfanikiwa,
ili kuwatia moyo hawa wana jamii wenzetu
nawasilisha,,,,,,
Kwa umu ndani ni vigumu sana, labda muende kule Whatsapp
 
tehe tehe tehe,,,, lets tuungane mimi na wewe
hahahahahaaaaa mi siwezi maana waweza yataman matatizo yaje baada ya kuhisi unaibiwa maana mwaka mzima unawachangia wenzako we hupati tatizo mi nafikr utafute anayepata pata matatizo coz mi Mwenyezi Mungu kanitenga mbali na matatizo na Mshukuru sana kwa hilo
 
hahahahahaaaaa mi siwezi maana waweza yataman matatizo yaje baada ya kuhisi unaibiwa maana mwaka mzima unawachangia wenzako we hupati tatizo mi nafikr utafute anayepata pata matatizo coz mi Mwenyezi Mungu kanitenga mbali na matatizo na Mshukuru sana kwa hilo
hapo ndipo unapo fanya kufuru,, hakuna mwanadamu asie na tatizo hata la kujikojolea
 
ahsalamu
kwenu wapendwa wa mtandao wetu pendwa jf,,,,,,
katika kukaa na kufikiri nikapata wazo zuri na lenye tija kwa kila mtu humu ndani kama tuki litekeleza na kulifanyia kazi kwani lita jenga umoja na ushirikiano na kusababisha wengine wote kuiga,
jambo langu ni kwamba tuweke utaratibu wa kutoa pole, pongezi kwa maswala nyeti ya kimaisha kwa members pindi wanapo pitia wakati mgumu kama wa msiba, kufiwa au hata kufilisika kiuchumi,,,
na piaa uwepo utaratibu wa kutoa pongez njema kwa wale wanao pitia na kuweza kuoa, kuolewa kupanda cheo kazin, kupanda daraja kimaisha na kuajiriwa,
kwa kufanya hivyo itatuweka wote pamoja,
katika kufanya hivyo kuwe na utaratibu wa rambi rambi kwa mfiwa wau mchango kwa mfanikiwa,
ili kuwatia moyo hawa wana jamii wenzetu
nawasilisha,,,,,,
Mkuu avatar yako inaonesha kama vile wewe ni chakula[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Wewe usijidanganye!!

Unataka watu walizwe ee... Humu Kuna kila dizaini ya watu na ID zao ni fake sasa kufanya hayo uliyayaandika hapo Utaanzia wapi na kwa yupi ambae unamjua

Japo wapo ambao wanajuana lakini ni wachache sana
 
448560.jpg
Hivi ndivyo ulivyo ama unatamani kuwa hivo?
 
ahsalamu
kwenu wapendwa wa mtandao wetu pendwa jf,,,,,,
katika kukaa na kufikiri nikapata wazo zuri na lenye tija kwa kila mtu humu ndani kama tuki litekeleza na kulifanyia kazi kwani lita jenga umoja na ushirikiano na kusababisha wengine wote kuiga,
jambo langu ni kwamba tuweke utaratibu wa kutoa pole, pongezi kwa maswala nyeti ya kimaisha kwa members pindi wanapo pitia wakati mgumu kama wa msiba, kufiwa au hata kufilisika kiuchumi,,,
na piaa uwepo utaratibu wa kutoa pongez njema kwa wale wanao pitia na kuweza kuoa, kuolewa kupanda cheo kazin, kupanda daraja kimaisha na kuajiriwa,
kwa kufanya hivyo itatuweka wote pamoja,
katika kufanya hivyo kuwe na utaratibu wa rambi rambi kwa mfiwa wau mchango kwa mfanikiwa,
ili kuwatia moyo hawa wana jamii wenzetu
nawasilisha,,,,,,
Humu.kuna matapeli kuliko unavyofikiria....
 
Mkuu kwani huna magroup ya whatsup? Au hayatoshi? Na mbona kama una nywele za kike?
 
Back
Top Bottom