sureNi ngumu sana aiseee katika sehemu kama hii yenye watu wa kila aina yaani kuna wazuri, wabaya , matapeli yaani watu wa kila aina wamo humu.
We jitafutie marafiki zako kama ni watano au zaidi wa uhakika ambao mtashibana na hata likitokea jambo haitakuwa ngumu kwao kukusaidia.
Hivyo tu hizo nyingine unazozifikiria hazina tofauti na hadithi za Abunuasi sababu haziwezi zikawa na kufanikiwa pia.
Ha haha mkorofi weweKiukweli siwezi kuwa na ushirikiano na viduku.
ni mvulana wa dar huyu asikupe tabu kwa nywele hzoMkuu kwani huna magroup ya whatsup? Au hayatoshi? Na mbona kama una nywele za kike?
yaani misitu ya congo anataka igeuke kuwe kama singida! jKujuana tena hapo mnatutafuta kiaina.Hayo yapo kwenye magrupu yetu fb,wasap na mitaani yanatutosha.
Unataka kufyeka kichaka wewe.
Ku prove your argumentili ikusaidie nin