WanaJF, kwa nini tusiweke mpango wa kusaidiana katika matukio mbalimbali

WanaJF, kwa nini tusiweke mpango wa kusaidiana katika matukio mbalimbali

Mkuu kwani huna magroup ya whatsup? Au hayatoshi? Na mbona kama una nywele za kike?
nipe tofauti ya nywele za kike na za kiume kwa kuzitazama. wapi nywele huandikwa kua ni za kike au za kiume
 
448560.jpg
Hivi ndivyo ulivyo ama unatamani kuwa hivo?
ndivyo nilivyo mkuuu, kwani tatizo n nini
 
Ni ngumu sana aiseee katika sehemu kama hii yenye watu wa kila aina yaani kuna wazuri, wabaya , matapeli yaani watu wa kila aina wamo humu.

We jitafutie marafiki zako kama ni watano au zaidi wa uhakika ambao mtashibana na hata likitokea jambo haitakuwa ngumu kwao kukusaidia.

Hivyo tu hizo nyingine unazozifikiria hazina tofauti na hadithi za Abunuasi sababu haziwezi zikawa na kufanikiwa pia.
sure
 
Wazo lako ni zuri na wengine tumefanikiwa hilo kupitia groups kwakua huko hatutumii I'd zetu hizi za jf so inakua rahisi kujenga urafiki na undugu wa karibu
 
Kujuana tena hapo mnatutafuta kiaina.Hayo yapo kwenye magrupu yetu fb,wasap na mitaani yanatutosha.
Unataka kufyeka kichaka wewe.
yaani misitu ya congo anataka igeuke kuwe kama singida! j
 
Wazo lako ni zuri na wengine tumefanikiwa hilo kupitia groups kwakua huko hatutumii I'd zetu hizi za jf so inakua rahisi kujenga urafiki na undugu wa karibu
niunga nishe na mim huko em
 
Back
Top Bottom