Pi Network
JF-Expert Member
- Mar 22, 2016
- 290
- 319
- Thread starter
-
- #81
Asante kwa mtanzamo wako, shiriki unaweza kuwa mshindi na matokeo yatatangazwa hapaUmewakamata kama ulivyotaka,naona una enjoy tu comments zao na kuzipa rate.
Na hii inaonyesha ukiandika lolote lile utapata tu comments that's mitandao ya mawasiliano ilivyo duniani.
Waiting to see another chemsha bongo.
Asante kwa kushiriki, jaribu tena na tena. Mshindi atatangazwa baada ya mda mfupikula.
Unausogelea ushindi; 50,000 huenda ikawa yako, endelea kushiriki zaidi na zaidiulikuwa unatarajia kutoa tsh 50000 kwa member mmoja muda mfupi ujao hapa jamiiforums.
basi mi niwe tu mshindi wa piliUnausogelea ushindi; 50,000 huenda ikawa yako, endelea kushiriki zaidi na zaidi
Ulitaka kupunguza stress, ukaona ukiweka uzi wa namna hii utakua stress free..!Asante kwa kushiriki, jaribu tena na tena. Mshindi atatangazwa baada ya mda mfupi
Ulikuwa unataka kukumbuka kitu ulichokuwa unataka kukifanya hivyo ukasahau.Jamani kuna kitu nilikuwa natazamia kukifanya mda mfupi ujao, lakini kitendo tu kuingia humu ndani na kukutana na habari moto moto nyingine zenye kuburudisha, nyingine za kusisimua, na nyingine zenye kuhuzunisha kimesababisha kusahau hata nilichokuwa natarajia kufanya.
Hivyo kama kichwa cha habari kinavyojieleza shilingi 50,000/= itatolewa kwa atakae patia.
Nitakuwa mwaminifu kwa atakae shinda, na nakala ya malipo nitaiweka hapa hapa kwa idhini ya mshindi.
NB: Vigezo na masharti kuzingatiwa.
[UPDATE ] Mshindi wa bahati nasibu hii atatangazwa kesho asubuhi kupitia thread hii; hivyo washiriki wote na wanaoendelea kushiriki mnashauriwa kushiriki zaidi na zaidi kadili mtu awezavyo. Lakini pia hapo kesho mda wa saa mbili asubuhi jina la mshindi litabandikwa hapa na pesa yake itatumwa kwa njia ya simu ya mkononi kisha nakala ya malipo itawekwa hapa kama ushahidi.
Wenu mwaminifu "Wamjengoni"