WanaJF naomba kukumbushwa; zawadi nono kupitia M-PESA, Tigo Pesa, au Airtel Money kwa atakae patia

WanaJF naomba kukumbushwa; zawadi nono kupitia M-PESA, Tigo Pesa, au Airtel Money kwa atakae patia

Umewakamata kama ulivyotaka,naona una enjoy tu comments zao na kuzipa rate.

Na hii inaonyesha ukiandika lolote lile utapata tu comments that's mitandao ya mawasiliano ilivyo duniani.

Waiting to see another chemsha bongo.
Asante kwa mtanzamo wako, shiriki unaweza kuwa mshindi na matokeo yatatangazwa hapa
 
ulikuwa unatarajia kutoa tsh 50000 kwa member mmoja muda mfupi ujao hapa jamiiforums.
 
umechukua kompyuta yako ili ufanye kazi flan eitherusome na kutuma emails kadhaa za kiofisi,au kuna movie ulitaka uicheki/download lakini gafla ukasema uchungulie jf kidogo.ndipo ukasahau.

kama nimeshindwa basi kwaher
 
Ulitaka kutuma message muhimu badala yake ukaingia jamii forum
 
Duuuuuuh!!! hii kali

Kwanza nimpongeze baba Jesca Kwa utendaji wake mzuri wa kaz
Naona pesa imeanza kurudisha heshima yake.
Naona raia Wanavyokazana kubashiri wanatumia fursa vizuri ili wajinyakulie 50,000/=

Wazo zuri Wamjengoni naona unakusanya takwimu za Watz walioathiriwa na mfumo wa baba jesca wa kubana matumiz
Na kwa hilo umeweza

Good job Wamjengoni.
 
Jamani kuna kitu nilikuwa natazamia kukifanya mda mfupi ujao, lakini kitendo tu kuingia humu ndani na kukutana na habari moto moto nyingine zenye kuburudisha, nyingine za kusisimua, na nyingine zenye kuhuzunisha kimesababisha kusahau hata nilichokuwa natarajia kufanya.

Hivyo kama kichwa cha habari kinavyojieleza shilingi 50,000/= itatolewa kwa atakae patia.

Nitakuwa mwaminifu kwa atakae shinda, na nakala ya malipo nitaiweka hapa hapa kwa idhini ya mshindi.

NB:
Vigezo na masharti kuzingatiwa.


[UPDATE ] Mshindi wa bahati nasibu hii atatangazwa kesho asubuhi kupitia thread hii; hivyo washiriki wote na wanaoendelea kushiriki mnashauriwa kushiriki zaidi na zaidi kadili mtu awezavyo. Lakini pia hapo kesho mda wa saa mbili asubuhi jina la mshindi litabandikwa hapa na pesa yake itatumwa kwa njia ya simu ya mkononi kisha nakala ya malipo itawekwa hapa kama ushahidi.

Wenu mwaminifu "Wamjengoni"
Ulikuwa unataka kukumbuka kitu ulichokuwa unataka kukifanya hivyo ukasahau.
 
Hizi bando mnazojiunga baada ya kukusanya vile vichenchi chenchi mkitumwa Nazi gengeni ndio mnatuharibia JF siku hizi kwa hivi vithread visivyokua na kichwa wala miguu.
 
Jamaa ulitaka 1.kuangalia kama wewe nawe upo kwenye list ya wadaiwa sugu,sasa kabla hujaenda jukwaa la Elimu,ukaingia habari mchanganyiko.Ukasahau.2.ulitaka kujaribu nguo mpya uliyonunua.Kama sijapatia basi tena.
 
Back
Top Bottom