WanaJF Nendeni likizo ili na nyinyi mrudi kazini mkiwa Weupe

WanaJF Nendeni likizo ili na nyinyi mrudi kazini mkiwa Weupe

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Yaani Jamaa kaenda Likizo siku kadhaa tu lakini karudi ule weusi wote umeisha, kawa mweupe peee huku mwili ukiwa umepukutika kama vile anavyotuelekeza Profesa Janabi yaani, Daaah!!

Nawaomba wanaJF wenzangu nendeni likizo ili mkirudi mng'are huku vitambi vikiwa vishawaporomoka, kwani hamtaki kupungua hii miili yenu ili muwe sawa kiafya?
 
Yaani Jamaa kaenda Likizo siku kadhaa tu lakini karudi ule weusi wote umeisha, kawa mweupe peee huku mwili ukiwa umepukutika kama vile anavyotuelekeza Profesa Janabi yaani, Daaah!!

Nawaomba wanaJF wenzangu nendeni likizo ili mkirudi mng'are huku vitambi vikiwa vishawaporomoka, kwani hamtaki kupungua hii miili yenu ili muwe sawa kiafya?
Ungeweka hata picha ya mpapai kama umeshindwa kumpiga picha.
 
Yaani Jamaa kaenda Likizo siku kadhaa tu lakini karudi ule weusi wote umeisha, kawa mweupe peee huku mwili ukiwa umepukutika kama vile anavyotuelekeza Profesa Janabi yaani, Daaah!!

Nawaomba wanaJF wenzangu nendeni likizo ili mkirudi mng'are huku vitambi vikiwa vishawaporomoka, kwani hamtaki kupungua hii miili yenu ili muwe sawa kiafya?
Vipi na Sambwanda limepungua? Au alienda kufanya marekebisho kulipunguza ?
 

Attachments

  • Screenshot_20240716_193908_Google.jpg
    Screenshot_20240716_193908_Google.jpg
    382.5 KB · Views: 2
Unataka majadiliano katika Hilo Kweli..??Naamini kuna ya maana zaidi na ya Msingi mnoo tunayopaswa jadili,,si Hilo Halina Afya Kwanza Kwa Ustawi wetu wa Nafsi,, Mwili na Akili,Halina Afya Kwa Ustawi Wetu Wa Afya ya Mifupa Damu na Nyama,,,na pia Halina Afya Kwa Mustakabali Wa nchi Yetu Kiujumla... Punguza kisukari hicho kitakumaliza mapema kama unadili na mambo madogomadogo kama hayo Haswaa Maisha ya Mtu.
 
Back
Top Bottom